Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wananchi wameanza kuamka sasaKuna vibaka zaidi ya CCM aka Vibaka wa Sukari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wameanza kuamka sasaKuna vibaka zaidi ya CCM aka Vibaka wa Sukari.
Ila polisi wenyewe kunichukulia sheria mkononi ruksa? Mbona wanaua watu hovyo mgodini bila kuwapeleka mahakamani?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.
Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).
Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo
Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola.
Kujua Chanzo SOMA
- TARIME: CHANZO CHA WAITARA KUFURUSHWA SIRARI
Mbona kama vibakaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mbunge wa Tarime Mwita Waitara leo ameshushwa jukwaani na kufurushwa na Wananchi alipokuwa kwenye Mkutano wa hadhara kjijiji cha Kanisani, Kata ya Sirari.
Bado haijajulikana sababu hasa za Wananchi hao kumfurumusha mbunge wao huyo (Tunaendelea kufuatilia).
Bali tunalishukuru Jeshi la Polisi kumuokoa na kumkimbiza Mh Mbunge ili kuepuka kipigo
Tunaendelea kusisitiza kwamba Wananchi waache hii tabia ya kujichukulia sheria mkononi, hii nchi inaendeshwa kwa utaratibu, kama kuna jambo lolote waende kwenye vyombo vya dola.
Kujua Chanzo SOMA
- TARIME: CHANZO CHA WAITARA KUFURUSHWA SIRARI
Watake wasitake mwita waitara ndiye mbunge wao, AJAYE!, (Nchi haiwezi kuendeshwa na wahuni)Hao ni vibaka wa chadema na sio wananchi
Watanzania tungekuwa tuna uthubutu kama watu Tarime nchi ingenyooka