Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwasimamia wananchi njiani na mitutu ya bunduki ni sawa na bureKukurukeni tu lakini zama za chama kimoja ndio hizi. Mwenzenu mmoja ameanza mapema kampeni kwa kuwasalimia wananchi kila anapopita
Nakaa kimya mkuu ila expect the unexpectedKuwasimamia wananchi njiani na mitutu ya bunduki ni sawa na bure
#NO HATE NO FEARNakaa kimya mkuu ila expect the unexpected
Kukurukeni tu lakini zama za chama kimoja ndio hizi. Mwenzenu mmoja ameanza mapema kampeni kwa kuwasalimia wananchi kila anapopita
Hii ikiwa kweli MATOKEO tutayaona.Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Itafsirini hii kwenye lugha wanayoielewa wananchi, vinginevyo, haina 'impact' yoyote.#NO HATE NO FEAR
Umesahau kuwa mnawapiga na kuwakamata wakikutana?Ndio mnaanza kukurupuka sasa?
Kwa kujipa moyo hamjamboView attachment 1311600
View attachment 1311601
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Wakati ccm wao wanaiba bila kifichoKwa kujipa moyo hamjambo
Poleni
Teh! Rais wa wanyonge halafu anawaogopa wanyonge wake. Yaani huyu jamaa baada ya 2020 atakuwa anahutubia akiwa amesima juu ya kifaru.Kuwasimamia wananchi njiani na mitutu ya bunduki ni sawa na bure
Kalamu 1 namtuma Makene akuletee kadi ya Chadema unaonekana una madini fulani yanayoweza kusaidiaItafsirini hii kwenye lugha wanayoielewa wananchi, vinginevyo, haina 'impact' yoyote.
"HAKUNA CHUKI HAKUNA WOGA", au kitu kama hicho.
Watu wataelewa maana yake, hasa kutokana na hali ya vitisho iliyopo na inayoendelea.
Chapisha 'stickers' na zisambaze nchi nzima.
ANZIA HAPO.
😂😂😂😂Umesahau kuwa mnawapiga na kuwakamata wakikutana?
Maazimio ya mkutano mkuu ni kuwa kama mbwai na iwe mbwai mikutano hii 2020 itafanyika.
Mzee wenu kasikia sasa anagwaya hadi halali usiku anavizia wapi kuna tamasha apige simu.
Tusubiri kusikia Polepole akitumwa kwenda kwa machangu Kona bar ili wapigiwe simu, "hamjambo! Nawapenda sana, chapeni kazi msisumbuliwe, nitahakikisha mnapatiwa vifaa vya kazi bure! CCM oyee!"
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazishi ya Chadema uktoba mwaka huuKuwasimamia wananchi njiani na mitutu ya bunduki ni sawa na bure
kwani kuna tatizoNdio mnaanza kukurupuka sasa?