Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumaye ndo wakuja .IMEWAUMA SANA, HAMKUJUA KATIKA ENZI HIZI ZA JIWE HATOKI MTU. NDIYO MAANA WAKUJA HAWAKUCHAGULIWA LABDA ALIYEAMINIWA NA ROHO MTAKATIFU KAMA NYARANDU Erythrocyte
Mkuu umeongea kweli tupu, Ccm ilishakufa kitambo kama chama cha siasa, inabidi wajue kuwa kweli wanapambana na dola na siyo ccm.Hivi CCM ipo? CHADEMA kuna kitu inabidi mjue...mnapingana na dola sio CCM kama chama cha Siasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka kuwe na fair competition miongoni mwa wanao gombea uenyekiti wa chama. Sio kama sasa .
Sent using Jamii Forums mobile app
AminaCHADEMA IPO ILIKUEPO NA ITAENDELEA KUWEPO! ✌🏾✌🏾✌🏾💪🏾💪🏾💪🏾
CHADEMA NI MSINGI WA DEMOKRASIA NA MAENDELEO YA KWELI TANZANIA.
MUNGU IBARIKI CHADEMA🙏🏾
Uvuvio w roho mtaktifuChadema tuna nguvu sana hadi nashangaa
umeandika hivi kwa vile ni verified member ?Chadema itaenda weeeeeeeeeee,ila ikifika dakika ya tisini anakuja mtu anashambulia goli kilaini kabisa,tatizo kipa huwa anasahau kudaka anabaki kushangaa uzufri wa uwanja na kusikiliza kelel za mashabiki.
Siyo,walikuwa wanamverified mtu mwingine wakajikuta wamekosea jina.umeandika hivi kwa vile ni verified member ?
Unawaharibia wenzako! Nadhani umeona kelele za simba leo zimewanufaisha yangaView attachment 1311600
View attachment 1311601
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Haraka haraka haina baraka.Ndio mnaanza kukurupuka sasa?
Ya simba na yanga yaache kulekuleUnawaharibia wenzako! Nadhani umeona kelele za simba leo zimewanufaisha yanga
Inaonesha huna weledi au ni agent wa CCMYa simba na yanga yaache kulekule
Chadema ilikuwa ya Dr. Slaa na Zito tuView attachment 1311600
View attachment 1311601
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Chadema wanachekesha na kisikitisha sana mkuuNdio mnaanza kukurupuka sasa?
Kabisa, Chama kinapendwa mno hadi raha💓💓Uvuvio w roho mtaktifu
Sio kwamba kawaShika Ila anadhoofisha upinzani. Ndo alisababisha tushindwe uchaguzi 2015 kwa kumpokea Lowassa.
kwani kuna tatizoNimesema kuna tatizo, au?
Liko wapi?kwani kuna tatizo