alianza kusema hayo steven wassira kabla ya 2015, lakini yeye ndiye amepotea kwenye medani za siasaMazishi ya Chadema uktoba mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alianza kusema hayo steven wassira kabla ya 2015, lakini yeye ndiye amepotea kwenye medani za siasaMazishi ya Chadema uktoba mwaka huu
Mtamuua Magufuli wa watu unajua sometime nakuwa namwonea huruma nguvy anyotumia kufanya watu wampende na bado kuna harakati hizi za kumpinga na zinaungwa mkono kiasi hiki najikuta natafakari na kujiweka kwenye viatu vyake. I am human dont judge me for my emotions though!View attachment 1311600
View attachment 1311601
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
Ndio nashangaa jinsi bado watu wanakusanyika dhidi yake. kwa majigambo yooote sikutarajia bado majimboni huko chadema bado inawika kiasi hikisiasa Ni hoja sio mapolis .mapolis walinde usalama Wa RAIA Na Mali zao
Wasaidizi wake inabidi wamfiche na kum-reassure kuwa hali ni nzuri maana hawezi amini akiona hayaBaba lao ana allergy na picha kama hizo
siasa Ni hoja sio mapolis .mapolis walinde usalama Wa RAIA Na Mali zao
Kazi kubwa iliyobaki ni kuhamasisha wanachama wajiandikishe. Nilikuwa Tukuyu hadi last week nimeona kuna uandikishwaji unaendelea. CCM wanahamasishana kupitia Wajumbe wa nyumba kumi kumi lakini sijaona mwamko wa Chadema.View attachment 1311600
View attachment 1311601
Chadema sasa inashambulia kama kansa ya damu inavyoshambulia wahanga
asante kwa taarifaKazi kubwa iliyobaki ni kuhamasisha wanachama wajiandikishe. Nilikuwa Tukuyu hadi last week nimeona kuna uandikishwaji unaendelea. CCM wanahamasishana kupitia Wajumbe wa nyumba kumi kumi lakini sijaona mwamko wa Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angeleta maendeleo ya kuondolea watu njaa na sio sera za kuwafanya watu wafe njaaWasaidizi wake inabidi wamfiche na kum-reassure kuwa hali ni nzuri maana hawezi amini akiona haya
Siku nikikuinamisha kilivyo ndio utaacha kubana pua, umesikia?
Nimesema kuna tatizo, au?kwani kuna tatizo
Nasubiri tu waTanzania wawakabidhi mikoba, halafu utaona moto nitakaowasha kuwachoma vidole vyenu kwa madudu mtakayokuwa mnawafanyia waTanzania.Kalamu 1 namtuma Makene akuletee kadi ya Chadema unaonekana una madini fulani yanayoweza kusaidia
Na sina hakika kama CHADEMA na vyama vingine wamejipanga sawa sawa kulitimiza hili.Watanzania wanachokikosa zaidi ya kitu chochote, ni uhuru na demokrasia yao.