gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Habari,
Tarura hivi sasa mna mfumo wa ukusanyaji charges za maegesho kwa njia ya kielectronics. Huu mfumo kiukweli ni mfumo wa OVYO sana kwani unamuumiza sana mmiliki wa gari. Mfumo huu pia unatengeneza mwanya wa upotevu mapato sana kulinganisha na ule wa awali. Ninasema haya kwa sababu:
1. Sasa hivi hawa wanaoandika hizi charges hawaweki tena vile vikaratasi, yaani wao wanaandika charges bila kumjulisha mmiliki, kwa hiyo mmiliki anakuwa ana deni bila yeye kujua. (Na hivi mmeweka fine ya 10,000 hapa tatizo linakuwa kubwa sana)
2. Utaratibu unafahamika kuwa ukipaki gari zaidi ya dk 10 (kama sijakosea) ndio uchajiwe gharama za parking, lakini kwa sasa sio hivyo, Yaani hata ukipaki dk 2 na kuwasha hazard, unaandikiwa masikini bila hata kujua.
3. Sijui kama hamjui kuwa hawa wakusanyaji wenu wanakusanya sana fedha kwa kuwaambia wamiliki wa magari hawatawaandikia.
Hebu jaribuni basi kuwa wabunifu
1. Tengenezeni mfumo mtu akiandikiwa charges tu, apate notification kwenye simu yake, (hii ni very easy sana dereva ana leseni) ambayo imekuwa linked na NIDA, na makampuni ya simu
2. Wekani mfumo deni likiandikwa ili liwe validy lazima dereva afanye confirmation (either aweke namba yake ya leseni) kisha hizi fine zenu ndio zitokee hapo. Tena mki-link hizi fine mpya na leseni itakuwa very easy hata jeshi la polisi kuwasaidia katika ukusanyaji wa madeni yenu.
Tarura hivi sasa mna mfumo wa ukusanyaji charges za maegesho kwa njia ya kielectronics. Huu mfumo kiukweli ni mfumo wa OVYO sana kwani unamuumiza sana mmiliki wa gari. Mfumo huu pia unatengeneza mwanya wa upotevu mapato sana kulinganisha na ule wa awali. Ninasema haya kwa sababu:
1. Sasa hivi hawa wanaoandika hizi charges hawaweki tena vile vikaratasi, yaani wao wanaandika charges bila kumjulisha mmiliki, kwa hiyo mmiliki anakuwa ana deni bila yeye kujua. (Na hivi mmeweka fine ya 10,000 hapa tatizo linakuwa kubwa sana)
2. Utaratibu unafahamika kuwa ukipaki gari zaidi ya dk 10 (kama sijakosea) ndio uchajiwe gharama za parking, lakini kwa sasa sio hivyo, Yaani hata ukipaki dk 2 na kuwasha hazard, unaandikiwa masikini bila hata kujua.
3. Sijui kama hamjui kuwa hawa wakusanyaji wenu wanakusanya sana fedha kwa kuwaambia wamiliki wa magari hawatawaandikia.
Hebu jaribuni basi kuwa wabunifu
1. Tengenezeni mfumo mtu akiandikiwa charges tu, apate notification kwenye simu yake, (hii ni very easy sana dereva ana leseni) ambayo imekuwa linked na NIDA, na makampuni ya simu
2. Wekani mfumo deni likiandikwa ili liwe validy lazima dereva afanye confirmation (either aweke namba yake ya leseni) kisha hizi fine zenu ndio zitokee hapo. Tena mki-link hizi fine mpya na leseni itakuwa very easy hata jeshi la polisi kuwasaidia katika ukusanyaji wa madeni yenu.