TASAF: Hali ya Umaskini Tanzania yapungua, Makonda atakiwa kurejesha fedha za TASAF kama alizitumia

TASAF: Hali ya Umaskini Tanzania yapungua, Makonda atakiwa kurejesha fedha za TASAF kama alizitumia

Najiuliza tu angekuwa RC mwingine ndiye kachukua pesa angebaki ofisini? Jpm inawezekana kuna mengi anafanya mazuri ila kumkumbatia Makonda wakati anafanya makosa mengi ambayo wengine wanatolewa kazini ni udhaifu na double standard sana......kwasilimia fulani WaTz wengi wanamchukia Jpm kwasababu ya huyu RC wake.

Acha tuendelee tutafika tu
 
Najiuliza tu angekuwa RC mwingine ndiye kachukua pesa angebaki ofisini? Jpm inawezekana kuna mengi anafanya mazuri ila kumkumbatia Makonda wakati anafanya makosa mengi ambayo wengine wanatolewa kazini ni udhaifu na double standard sana......kwasilimia fulani WaTz wengi wanamchukia Jpm kwasababu ya huyu RC wake.

Acha tuendelee tutafika tu
Bashite,chalamila,muro,sabaya,mnyeti, gambo,hapi wanakinga ya utumbuzi sahau kuhusu hilo.
Wengine wanatumbuliwa live hao watabembelezwa warudishe rejea makontena
 
Hivi wizara ya ujenzi ni safi sana sijawahi sikia utumbuzi kule hali miradi au zimwi likujualo
 
Bashite,chalamila,muro,sabaya,mnyeti, gambo,hapi wanakinga ya utumbuzi sahau kuhusu hilo.
Wengine wanatumbuliwa live hao watabembelezwa warudishe rejea makontena
Anakosea kila mtu apate haki yake kulingana na matendo yake.......
 
Kusema umasikini umepungua ni kututusi sie wadanganyika,labda umepungua kwa familia ile
 
"Mkuu,unajua huyu Jurgen naye anatakiwa atengenezewe mambo mapema,sasa kuna viwanja kule Ununio watu walikuwa hawaviendelezi,nimeongea na Waziri Lufungusho kuwa awanyanganye ampe kimoja Jurgen,waonaje mkuu?"
Alisikika "curvy man" mmoja.
 
Maskini Makondaa kama namuona. .. Sasa ajiandae kuzitapika fedha za TASAF... Kwa kuwa yeye sio masikini.
download.jpeg
 
Makonde is above the law:-
1.Kamchapa Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba akazawadiwa U DC Kinondoni na Raisi Jk
2.Kamzima Nape na report ya kuvamia kituo cha Utangazaji Clouds,Nape aliambulia Kufukuzwa uwaziri na kuonyeshwa bastola na wasiojulikana.
3.Vyeti fake yeye havimuhusu kwa kuwa ni mteule wa Raisi Magu.
4.Kaingiza vifaa vya ofisini bila kulipa kodi lakini Waziri wa fedha alipolalama Raisi Mangu alimwomba yaishe kwa kumwamulu alipe kodi.
5.Aliagiza Meli ya serikali China kutoa huduma za afya badala ya wizara ya afya inayoongozwa na Waziri Mwalimu.
6.Pompeo imemlima ban kuingia Marekani lakini hadi leo serikali ya Magu haijatoa tamko la serikali.

Ni bora kuchezea black mamba kuliko kuchezea Makonda.
 
Back
Top Bottom