Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wana JF.
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema, wewe ambae unapitia changamoto moja au nyingine Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze kukabiliana nayo.
Back to the topic.
Leo katika kuperuzi mtandao wa Youtube nimekutana video iliyopostiwa na mwanahabari anajiita Lil Ommy yeye kichwa cha habari..
"Yammi Afunguka kuhusu Tumbo lake, KITOVU, Kiuno chake na idadi ya Shanga alivokua nazo".
Video>>>>>
View: https://www.youtube.com/watch?v=hx1vanYyE_I
Hivi kweli kama taifa lililojaa vijana wengi wenye changamoto mbalimbali hichi ndio kitu ambacho ndugu Ommy ameona kina tija tukijue? Naishiwa maneno ila hiki kizazi kina laana sio bure.
Wassalaam.
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema, wewe ambae unapitia changamoto moja au nyingine Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze kukabiliana nayo.
Back to the topic.
Leo katika kuperuzi mtandao wa Youtube nimekutana video iliyopostiwa na mwanahabari anajiita Lil Ommy yeye kichwa cha habari..
"Yammi Afunguka kuhusu Tumbo lake, KITOVU, Kiuno chake na idadi ya Shanga alivokua nazo".
Video>>>>>
View: https://www.youtube.com/watch?v=hx1vanYyE_I
Hivi kweli kama taifa lililojaa vijana wengi wenye changamoto mbalimbali hichi ndio kitu ambacho ndugu Ommy ameona kina tija tukijue? Naishiwa maneno ila hiki kizazi kina laana sio bure.
Wassalaam.