Tathimini ya mechi ya Azam vs Simba

Uchambuzi uchwara huu. Umeandika Azam walishindwa kuwazuia viungo hatari wa simba hapo hapo tena unasema magoli yote waliofungwa Azam ni uzembe wao. Yaani viungo hatari wakizalisha magoli ni uzembe kwa timu pinzani?
Pamoja na makosa ya Moris lakini si kila timu(utopolo fc ikiwemo) ingeweza kubadilisha hilo kosa kuwa goli.
Goli kama la Nyoni yanafungwa hata pale epl ila wewe unaita uzembe na si kosa la kimchezo.
 
Mpangumbe ...nimeli-note jina lako...utapata ujumbe saa tatu usiku March 8
 
Mzee Bakhresa na mtoto wake Yusuph ni mikia lialia ndio maana wakawatoa wachezaji wao muhimu ili kuinusuru mikia..tena wako tayari Azam ifungwe na mikia wapate raha
 
Hakukuwa na tukio lolote la kutoa penalt pale. Hata wachambuzi wengine walisema si penalt. Pia picha za marudio zilionyesha hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
ile penalty hata mchambuzi wa Azam mechi ya jana alisema kuna contact..tumeshawazoe wanawake bila ya kuwezeshwa hamuwezi..mpira wote umetoka na assistant referee anaukwepa ..Bruce Kangwa anapiga kelele Kapombe anaachiwa apige krosi..pathetic
 
Wakitaka kuzijua mbinu za kinyonga basi waambie wachome msitu msondo ngoma hao
 
Pole umeongea kwa maumivu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa vijora fc hata hawaeleweki saizi wanadai kuwa Azam FC ni tawi la Simba.
Wamesahau kuwa Singida UTD sio tawi tu bali ni shina lao.vilevile kuna katimu kanaitwa Toto Afirika hili nalo ni tawi lao tena haka katimu kalikuwa kapo ridhaa ifungwe na timu zote ila sio Simba pia ilikuwa ipo radhi ishinde mechi zote ila si dhidi ya Vyura fc. Lakini wao inawauma sana sisi kuachiwa na Azam Fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…