Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?
FB_IMG_16600172800698483.jpg
 
Mkuu mi nishabiki wa Yanga ila ulichoandika sio tathimini bali uzi wa kuisifia Yanga.
Hapana mkuu.....unakosea data mbna ziko wazi kimapato yanga wamepata zaidi ya Simba

Simba wameujaza uwanja Zaid ya yanga
 
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
Ivi unafahamu kuna utofauti kati ya ranking za league na taifa.
Kiligi, ligi ya Tanzania inaongoza East Africa sio ug brathee.

Na swala la mapato, mlitumwa muweke kiingilio cha juu? Ile ni siku ya mashabiki kufurahi, sio mapato.
 
Ivi unafahamu kuna utofauti kati ya ranking za league na taifa.
Kiligi, ligi ya Tanzania inaongoza East Africa sio ug brathee.

Na swala la mapato, mlitumwa muweke kiingilio cha juu? Ile ni siku ya mashabiki kufurahi, sio mapato.
Yaaah mkuu....nmezungumzia kwa kigezo cha ranking za nchi
 
Ivi unafahamu kuna utofauti kati ya ranking za league na taifa.
Kiligi, ligi ya Tanzania inaongoza East Africa sio ug brathee.

Na swala la mapato, mlitumwa muweke kiingilio cha juu? Ile ni siku ya mashabiki kufurahi, sio mapato.
Lkn kwa mapato....unadhani ni kwann Simba haijawahi kumshinda yanga kwenye gate collections
 
Ivi unafahamu kuna utofauti kati ya ranking za league na taifa.
Kiligi, ligi ya Tanzania inaongoza East Africa sio ug brathee.

Na swala la mapato, mlitumwa muweke kiingilio cha juu? Ile ni siku ya mashabiki kufurahi, sio mapato.
Kwa kigezo gani acha timu iongeze mapato




Kumbuka lengo la timu ya mpira sio kutoa burudani tuu
 
Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
 
1. Badili heading hiyo sio thathmini.
2. St. George sio Gwambina wale wanashiriki CAF kama tunavyoshiriki sisi Simba
3. Yanga imejali pesa lakini Simba imejali washabiki wake, hayo mapato ndo umeyatoa insta kwa chunda wenu
MMeona mapato Tu , nani kasema ndo yanaendesha timu.

 
Ku
Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
Kufanya vzur ndo kufungwa sekunde ya 27 mkuu?hamna team kule....bora kuangalia rede utaona hata chupi kulikon kushabikia utopolo
 
Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
Mkuu umeandika kiutopolo kabisa tofauti na tunavyokufahamu hususan unapoanzisha uzi wa siasa. Nimeamini maneno ya manara kuhusu wana yanga.
 
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
Hii sio tathmini huu ni ushabiki wa upande mmoja
 
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
Haya sasa waambie wenzio wenye Kinyesi kuwa Ethiopia yenye soka bovu ilitinga robo fainali ya AFCON 2021 na 60% ya wachezaji inatoka St George
 
Back
Top Bottom