Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
Umeongea fact Sana mkuu
 
1. Badili heading hiyo sio thathmini.
2. St. George sio Gwambina wale wanashiriki CAF kama tunavyoshiriki sisi Simba
3. Yanga imejali pesa lakini Simba imejali washabiki wake, hayo mapato ndo umeyatoa insta kwa chunda wenu
MMeona mapato Tu , nani kasema ndo yanaendesha timu.

Vp mkuu tukiachana na hayo unadhani kufungwa kwa yanga......kunaweza kusababisha Simba kushinda tareh 13???
 
Ku
Kufanya vzur ndo kufungwa sekunde ya 27 mkuu?hamna team kule....bora kuangalia rede utaona hata chupi kulikon kushabikia utopolo
Mkuu.....unadhani saint George ilikuwa ni kipimo sahihi kwa mnyama?
 
Mkuu umeandika kiutopolo kabisa tofauti na tunavyokufahamu hususan unapoanzisha uzi wa siasa. Nimeamini maneno ya manara kuhusu wana yanga.
Tatizo Wana Simba hawataki kuambiwa ukweli [emoji23][emoji23]
 
Haya sasa waambie wenzio wenye Kinyesi kuwa Ethiopia yenye soka bovu ilitinga robo fainali ya AFCON 2021 na 60% ya wachezaji inatoka St George
Mkuu....una maanisha saint George ndiyo waliotinga robo fainali ya AFCON 2021
 
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)

Tathimini kwa simba ( wakimataifa)

Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...

Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....

Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13

Tathimini kwa YANGA ( wananchi)

Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)

Mapato ( gate collections)

SIMBA=. 313, 860,000

YANGA = 521, 460,000

Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa

Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693
Mbona Congo Drc vita haijawahi kuisha lakini wana mpira na vilabu bora kuliko Tanzania [emoji1241] na wachezaji wa vilabu vyetu tunasajili kutoka huko. Jenga hoja ama futa uzi.
 
Lipumba alikuwa mgeni wa heshima, umesahau hilo.
Au labda nakosea?
 
Ule uwanja unabeba watu zaidi ya 60,000 na jana umeonesha kujaa kabisa, ajabu kwenye hesabu za Simba kuna pungufu ya watu 15000

Rudieni piga hiyo photoshop
Kumbuka kulikuwa na vingilio tofauti tofauti
 
Back
Top Bottom