Mshasha wane
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 234
- 633
Bwana Ambakisye acha kutupanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mapato mmeyatoa wapi wakati wahusika hawajatoa?Mapato yaliyopatkana Simba dayView attachment 2318698
Ule uwanja unabeba watu zaidi ya 60,000 na jana umeonesha kujaa kabisa, ajabu kwenye hesabu za Simba kuna pungufu ya watu 15000Mapato yaliyopatkana Simba dayView attachment 2318698
Umeongea fact Sana mkuuSimba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua
Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu
Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.
Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .
Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.
Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.
Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.
Vp mkuu tukiachana na hayo unadhani kufungwa kwa yanga......kunaweza kusababisha Simba kushinda tareh 13???1. Badili heading hiyo sio thathmini.
2. St. George sio Gwambina wale wanashiriki CAF kama tunavyoshiriki sisi Simba
3. Yanga imejali pesa lakini Simba imejali washabiki wake, hayo mapato ndo umeyatoa insta kwa chunda wenu
MMeona mapato Tu , nani kasema ndo yanaendesha timu.
Kwa kupoteza mechi & shabby pre-seasonYaaah mkuu....nmezungumzia kwa kigezo cha ranking za nchi
Mbona Congo Drc vita haijawahi kuisha lakini wana mpira na vilabu bora kuliko Tanzania [emoji1241] na wachezaji wa vilabu vyetu tunasajili kutoka huko. Jenga hoja ama futa uzi.Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa ...mbeya (green city)
Tathimini kwa simba ( wakimataifa)
Tamasha la Simba day limekua Bora kuliko matamasha yote yaliyowahi kufanyika hapa nchini...kutokana na mpangilio wa matukio yaliyofanyika na kufanikiwa kuujaza uwanja zaidi Zaid ya wananchi ambapo kulikuwa na some gaps za viti...
Simba imecheza na timu kutoka Ethiopia..(timu ya waimba kwaya)..wote tunajua kuwa Ethiopia hamna soka bali Kuna wanariadha zaidi, pia Kuna Vita so hakikuwa kipimo sahihi kwa mnyama .....
Kwasisi wataalamu tunasema Simba kapiga bomu mochwari.....( Kaingia kwenye pango la popo bawa kinyume nyume) ....Kama unabisha Tukutane tareh 13
Tathimini kwa YANGA ( wananchi)
Yanga imecheza na vipers kutoka Uganda ......nadhani Uganda inajulikana kwa soka hapa kuwa kinara wa EAC....Kama unabisha refer to FIFA ranks..then wamefungwa so wamepata pa kurekebisha na kijifunza mengi. Ambayo impact yake itaanza kuonekana August 13 na kuendelea Hadi fainali ya CAF champions ( najua mtabisha).So yanga wamejifunza mengi ( congratulations kwao)
Mapato ( gate collections)
SIMBA=. 313, 860,000
YANGA = 521, 460,000
Kwa upande wa mapato yanga bado hakamatiki pamoja na Simba kuujaza uwanja wa mkapa
Je!!! ni ipi tathimini yako kwa hizi timu mbili?View attachment 2318693