Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Tathimini yangu Kati ya Simba Day na Yanga Day

Mapato ndo nini???we zungumzia burudani na matokea!!!...kwanza mmewekwa bai mbili mkiwa kwenye siku yenu.

Uwanja haujajaa sasa mna nini cha kulinganisha na mabingwa wa soka wa ukanda huu wa cecafa
 
Simba ina washabiki watu wa kelele tu na kusumbuana Yanga ina mashabiki wengi wenye vipato na wanaojitambua

Angalia wanavyonunua kadi, jezi na hawaji uwanjani kwa mihemko wanakuja kwa mapenzi ya timu

Yanga sio watu wa lawama ndio maana hata timu ilivyofanya vby miaka minne bado walisimama na timu yao.

Simba kazengua mwaka mmoja tu tayari kelele zishaanza na mwaka huu asipochukua ubingwa sijui hali itakiwaje .

Eti mzungu tumepigwa wakati hana hata wiki.

Tujifunze kuvumilia tuache mihemko tujifunze kuwa na heshima kwa wenzetu wakifanya vzr.

Huu ni utawala wa Yanga ukubali ukatae ndio ukweli wenyewe.

[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa unajua kujifariji wewe ..sasa watoto wadogo wale wamewalala kwenu unasema utawala wenu???mngewafunga wale kwanza ndo uandike hivyo
 
Mapato ndo nini???we zungumzia burudani na matokea!!!...kwanza mmewekwa bai mbili mkiwa kwenye siku yenu.

Uwanja haujajaa sasa mna nini cha kulinganisha na mabingwa wa soka wa ukanda huu wa cecafa
Mkuu unadhani Simba wangeweka kiingilio Kama cha YANGA....wangepata mapato makubwa,???
 
Back
Top Bottom