Tathimini yangu: Machi 8, 2025, Simba itaifunga Yanga goli 3 hadi 5

Tathimini yangu: Machi 8, 2025, Simba itaifunga Yanga goli 3 hadi 5

Kwasasa Simba imeshajipata.
1. Ina safu ya ushambuliaji kali kuliko timu yoyote ligi kuu. Very aggressive
2. Ina vijana wengi wenye pumzi ya kutosha. Tofauti na Yanga
3. Wana uwezo wa kutanzua mitego kwa timu pinzani inayojilinda zaidi. Tofauti na Yanga
4. Mabeki wa Simba ni wepesi wa kusaidia Mashambulizi. Tofauti na Yanga
5. Forward line ya Simba ina speed . Tofauti na Yanga.
6. Simba wanapokwenda kushambulia inaonekana kabisa ni timu yenye mipango. Tofauti na Yanga papatupapatu.
7. Ahoua (1) , Mpanzu(1),Chasambi(1), Ateba(2) na kibu Denis (2). Jumla goli 7.

Ila Yanga ikiamua kujilinda basi goli zitapungua hadi 3.

Kuna kiongozi wa ndani kabisa Simba kadokeza kuwa kacha na wachezaji wameshatoa hakikisho la asilimia 100% kushinda hiyo tarehe 8 NA HIVI SASA WAPO NA PROJECT YA KUTAFUTA UHAKIKA WA GOLI 5 HADI 7.

Kuna mgogoro mkubwa sana unakuja baada ya tarehe 8 na huenda hata kuondoka kwa Ramovich ni baada ya kuona hesabu za tarehe nane zinaonyesha mafuriko
Yanga anakula 2. Yule kocha wa yanga hamalizi game 5 atafukuzwa
 
Naomba kujua kama hizi timu mbili zimekutana msimu huu!
 
Comrade una ID ngapi humu jamii forums kiasi cha kufikia hatua ya kujisahau na kuji quote mwenyewe? Au wewe ndiyo Muite?

Jamaa yangu una I'd ngapi wewe hadi unajisahau unajijibu mwenyewe?

Duh
Msichoelewa hapo ni nini hadi mnakimbilia kusema nina ID nyingi? Hapo nimekoti post yangu ya zamani kuambatana na maelezo yangu kuonyesha alichosema mleta mada nimeshawahi kukitabiri kuja kutokea.
 
Mleta mada unachowahi nini sasa wakati mechi ni 8,march? Yaani unamaanisha umehaha sana mpaka uamue kujifariji mapema? Acha utoto.
 
Sawa,andaeni timu tu, tofauti na ile ngao ya jamii ya Penati Tanga, sikumbuki Mikia walipata lini matokeo zaidi ya kujaza threads tu humu,kila wakija wanapasuka
 
Kwasasa Simba imeshajipata.
1. Ina safu ya ushambuliaji kali kuliko timu yoyote ligi kuu. Very aggressive
2. Ina vijana wengi wenye pumzi ya kutosha. Tofauti na Yanga
3. Wana uwezo wa kutanzua mitego kwa timu pinzani inayojilinda zaidi. Tofauti na Yanga
4. Mabeki wa Simba ni wepesi wa kusaidia Mashambulizi. Tofauti na Yanga
5. Forward line ya Simba ina speed . Tofauti na Yanga.
6. Simba wanapokwenda kushambulia inaonekana kabisa ni timu yenye mipango. Tofauti na Yanga papatupapatu.
7. Ahoua (1) , Mpanzu(1),Chasambi(1), Ateba(2) na kibu Denis (2). Jumla goli 7.

Ila Yanga ikiamua kujilinda basi goli zitapungua hadi 3.

Kuna kiongozi wa ndani kabisa Simba kadokeza kuwa kacha na wachezaji wameshatoa hakikisho la asilimia 100% kushinda hiyo tarehe 8 NA HIVI SASA WAPO NA PROJECT YA KUTAFUTA UHAKIKA WA GOLI 5 HADI 7.

Kuna mgogoro mkubwa sana unakuja baada ya tarehe 8 na huenda hata kuondoka kwa Ramovich ni baada ya kuona hesabu za tarehe nane zinaonyesha mafuriko
Ubaya ubwege hamna kitu
 
Kwasasa Simba imeshajipata.
1. Ina safu ya ushambuliaji kali kuliko timu yoyote ligi kuu. Very aggressive
2. Ina vijana wengi wenye pumzi ya kutosha. Tofauti na Yanga
3. Wana uwezo wa kutanzua mitego kwa timu pinzani inayojilinda zaidi. Tofauti na Yanga
4. Mabeki wa Simba ni wepesi wa kusaidia Mashambulizi. Tofauti na Yanga
5. Forward line ya Simba ina speed . Tofauti na Yanga.
6. Simba wanapokwenda kushambulia inaonekana kabisa ni timu yenye mipango. Tofauti na Yanga papatupapatu.
7. Ahoua (1) , Mpanzu(1),Chasambi(1), Ateba(2) na kibu Denis (2). Jumla goli 7.

Ila Yanga ikiamua kujilinda basi goli zitapungua hadi 3.

Kuna kiongozi wa ndani kabisa Simba kadokeza kuwa kacha na wachezaji wameshatoa hakikisho la asilimia 100% kushinda hiyo tarehe 8 NA HIVI SASA WAPO NA PROJECT YA KUTAFUTA UHAKIKA WA GOLI 5 HADI 7.

Kuna mgogoro mkubwa sana unakuja baada ya tarehe 8 na huenda hata kuondoka kwa Ramovich ni baada ya kuona hesabu za tarehe nane zinaonyesha mafuriko
Mkuu amka, acha kuota ndoto.
 
Kwasasa Simba imeshajipata.
1. Ina safu ya ushambuliaji kali kuliko timu yoyote ligi kuu. Very aggressive
2. Ina vijana wengi wenye pumzi ya kutosha. Tofauti na Yanga
3. Wana uwezo wa kutanzua mitego kwa timu pinzani inayojilinda zaidi. Tofauti na Yanga
4. Mabeki wa Simba ni wepesi wa kusaidia Mashambulizi. Tofauti na Yanga
5. Forward line ya Simba ina speed . Tofauti na Yanga.
6. Simba wanapokwenda kushambulia inaonekana kabisa ni timu yenye mipango. Tofauti na Yanga papatupapatu.
7. Ahoua (1) , Mpanzu(1),Chasambi(1), Ateba(2) na kibu Denis (2). Jumla goli 7.

Ila Yanga ikiamua kujilinda basi goli zitapungua hadi 3.

Kuna kiongozi wa ndani kabisa Simba kadokeza kuwa kacha na wachezaji wameshatoa hakikisho la asilimia 100% kushinda hiyo tarehe 8 NA HIVI SASA WAPO NA PROJECT YA KUTAFUTA UHAKIKA WA GOLI 5 HADI 7.

Kuna mgogoro mkubwa sana unakuja baada ya tarehe 8 na huenda hata kuondoka kwa Ramovich ni baada ya kuona hesabu za tarehe nane zinaonyesha mafuriko
Mlishndwa kuifunga ile yanga ya mabakuli mje muifunge hii na kpnd kile mlikuwa bora kuliko saivi
 
Mlishndwa kuifunga ile yanga ya mabakuli mje muifunge hii na kpnd kile mlikuwa bora kuliko saivi
Yanga ya mabakuli ilikula 4 kwa 1 labda kama umesahau tukukumbushe? Yanga bora ya mayele ilikula 2 kwa 0 umesahau tukukumbushe?
 
Yanga kwenye mechi za derby hawatabiriki kwasababu kipindi simba ya moto na yanga mbovu ya mwinyi zahera lakini simba walikuwa wanapata tabu kuwafunga yanga.
 
Jmosi usiku tutakombiana humu
 
Back
Top Bottom