Tathmini fupi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga

Tathmini fupi mechi ya Tp Mazembe vs Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mchezo ulikuwa mzuri
Nampongeza coach Saed Ramovic
Alikuja na mbinu nzuri zaidi ya kuzuia kipindi cha Kwanza ndo maana akaanza na viungo wengi wenye tabia ya kukaba yaani Duke Abuya, Aucho, Mudathir na Nzengeli

Kipa Diara amecheza vizuri mno alichezesha timu vyema,
Majeraha aliyoyapata mapema angeomba kutoka, amelazimisha kucheza na maumivu akaruhusu goli

Job & Bacca
Wamecheza vizuri mno kama kawaida Yao nawapongeza

Kibabage
Yanga tumecheza kama tupo pungufu
Kibabage hawezi kukaba wala kushambulia, yaani yupo yupo tu
Nina Imani viongozi wanaliona hili na wataziba pengo lake

Abuya na Aucho
Wamecheza vyema, nawapongeza sana
Kurudi Kwa Aucho Sasa Yanga tuna matumaini kufanya vyema mechi zijazo

Maxi Nzengeli
Leo mechi imemkataa
Alikuwa na siku mbaya sana, hakucheza vizuri,

Mudathir
Alikuwa na papara, amecheza vibaya mno, maamuzi yake kama mtu aliyewekwa kuchezesha timu hayakuwa mazuri

Pacome zouzou
Amecheza wastani
Hana fitness Bado nadhani kutokana na maisha yake ya anasa

Kennedy Musonda
Amecheza wastani tu
Musonda Huwa hasimami, mipira ikaja yupo kwenye kibendera, nadhani hajui kama yeye ndo striker

Chama & Aziz ki
Wamecheza vizuri Kwa muda walioingia

Mzize &Dube
Wamecheza vizuri sana. Walifanya kila lililo zuri
Nawapa heko wamepambana

Hii sare ina maana kubwa Nina uhakika tunafuzu na tutaleta kombe la CAFCL nyumbani

Eng Hersi kama utaweza kupata beki wa kushoto wa TP Mazembe Ernest Lozalo Sita
Huyu beki nimefatilia huu msimu wa pili namfatilia
Ni beki hatari sana
Na Leo hakuwa vizuri ila ukimpata huyu mwamba itasaidia

Mwisho
Nawatakia kila heri watani kesho kwenye Yale mashindano Yao vicoba

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
 
Kibabage na match ijayo ataanza ..match zote alizo anza unaona kabsa uyu ni tatizo
 
Yanga angeshinda angefufua matumaini sare haisaidii chochote.

Mc alger akishinda mechi zake zote za nyumbani anafikisha alama 10.

Al hilal akishinda mechi zake zote za nyumbani anafikisha alama 12.

Yanga akishinda mechi zake za nyumbani anafikisha alama 7.

TUKIWAKI ndio option pekee.
 
Kwa mpira huu wa papatu papatu al hilal anachukua point 3 vizuri tu pale mauritania.
 
Kw
Yanga angeshinda angefufua matumaini sare haisaidii chochote.

Mc alger akishinda mechi zake zote za nyumbani anafikisha alama 10.

Al hilal akishinda mechi zake zote za nyumbani anafikisha alama 12.

Yanga akishinda mechi zake za nyumbani anafikisha alama 7.

TUKIWAKI ndio option pekee.
Kwaiyo kushinda away ni dhambi
 
Le
Mchezo ulikuwa mzuri
Nampongeza coach Saed Ramovic
Alikuja na mbinu nzuri zaidi ya kuzuia kipindi cha Kwanza ndo maana akaanza na viungo wengi wenye tabia ya kukaba yaani Duke Abuya, Aucho, Mudathir na Nzengeli

Kipa Diara amecheza vizuri mno alichezesha timu vyema,
Majeraha aliyoyapata mapema angeomba kutoka, amelazimisha kucheza na maumivu akaruhusu goli

Job & Bacca
Wamecheza vizuri mno kama kawaida Yao nawapongeza

Kibabage
Yanga tumecheza kama tupo pungufu
Kibabage hawezi kukaba wala kushambulia, yaani yupo yupo tu
Nina Imani viongozi wanaliona hili na wataziba pengo lake

Abuya na Aucho
Wamecheza vyema, nawapongeza sana
Kurudi Kwa Aucho Sasa Yanga tuna matumaini kufanya vyema mechi zijazo

Maxi Nzengeli
Leo mechi imemkataa
Alikuwa na siku mbaya sana, hakucheza vizuri,

Mudathir
Alikuwa na papara, amecheza vibaya mno, maamuzi yake kama mtu aliyewekwa kuchezesha timu hayakuwa mazuri

Pacome zouzou
Amecheza wastani
Hana fitness Bado nadhani kutokana na maisha yake ya anasa

Kennedy Musonda
Amecheza wastani tu
Musonda Huwa hasimami, mipira ikaja yupo kwenye kibendera, nadhani hajui kama yeye ndo striker

Chama & Aziz ki
Wamecheza vizuri Kwa muda walioingia

Mzize &Dube
Wamecheza vizuri sana. Walifanya kila lililo zuri
Nawapa heko wamepambana

Hii sare ina maana kubwa Nina uhakika tunafuzu na tutaleta kombe la CAFCL nyumbani

Eng Hersi kama utaweza kupata beki wa kushoto wa TP Mazembe Ernest Lozalo Sita
Huyu beki nimefatilia huu msimu wa pili namfatilia
Ni beki hatari sana
Na Leo hakuwa vizuri ila ukimpata huyu mwamba itasaidia

Mwisho
Nawatakia kila heri watani kesho kwenye Yale mashindano Yao vicoba

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Hujaweka msimamo wa kundi, chini kabisa ya uzi huu adhimu.
 
Mchezo ulikuwa mzuri
Nampongeza coach Saed Ramovic
Alikuja na mbinu nzuri zaidi ya kuzuia kipindi cha Kwanza ndo maana akaanza na viungo wengi wenye tabia ya kukaba yaani Duke Abuya, Aucho, Mudathir na Nzengeli

Kipa Diara amecheza vizuri mno alichezesha timu vyema,
Majeraha aliyoyapata mapema angeomba kutoka, amelazimisha kucheza na maumivu akaruhusu goli

Job & Bacca
Wamecheza vizuri mno kama kawaida Yao nawapongeza

Kibabage
Yanga tumecheza kama tupo pungufu
Kibabage hawezi kukaba wala kushambulia, yaani yupo yupo tu
Nina Imani viongozi wanaliona hili na wataziba pengo lake

Abuya na Aucho
Wamecheza vyema, nawapongeza sana
Kurudi Kwa Aucho Sasa Yanga tuna matumaini kufanya vyema mechi zijazo

Maxi Nzengeli
Leo mechi imemkataa
Alikuwa na siku mbaya sana, hakucheza vizuri,

Mudathir
Alikuwa na papara, amecheza vibaya mno, maamuzi yake kama mtu aliyewekwa kuchezesha timu hayakuwa mazuri

Pacome zouzou
Amecheza wastani
Hana fitness Bado nadhani kutokana na maisha yake ya anasa

Kennedy Musonda
Amecheza wastani tu
Musonda Huwa hasimami, mipira ikaja yupo kwenye kibendera, nadhani hajui kama yeye ndo striker

Chama & Aziz ki
Wamecheza vizuri Kwa muda walioingia

Mzize &Dube
Wamecheza vizuri sana. Walifanya kila lililo zuri
Nawapa heko wamepambana

Hii sare ina maana kubwa Nina uhakika tunafuzu na tutaleta kombe la CAFCL nyumbani

Eng Hersi kama utaweza kupata beki wa kushoto wa TP Mazembe Ernest Lozalo Sita
Huyu beki nimefatilia huu msimu wa pili namfatilia
Ni beki hatari sana
Na Leo hakuwa vizuri ila ukimpata huyu mwamba itasaidia

Mwisho
Nawatakia kila heri watani kesho kwenye Yale mashindano Yao vicoba

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Mechi nzuri wapi mechi wa devoid of quality, mpira umekuwa nje ya uwanja for too long throw in kibao, yanga offside kibao.
Threat kubwa ya mazem e ilikuwa kwa flanks na evetualy walipata goli kupitia cross.

Kipindincha pili yanga waliamka pamoja nanuzembe pia wa mazembe
 
Mechi nzuri wapi mechi wa devoid of quality, mpira umekuwa nje ya uwanja for too long throw in kibao, yanga offside kibao.
Threat kubwa ya mazem e ilikuwa kwa flanks na evetualy walipata goli kupitia cross.

Kipindincha pili yanga waliamka pamoja nanuzembe pia wa mazembe
Sawa naheshimu mawazo yako
 
Mchezo ulikuwa mzuri
Nampongeza coach Saed Ramovic
Alikuja na mbinu nzuri zaidi ya kuzuia kipindi cha Kwanza ndo maana akaanza na viungo wengi wenye tabia ya kukaba yaani Duke Abuya, Aucho, Mudathir na Nzengeli

Kipa Diara amecheza vizuri mno alichezesha timu vyema,
Majeraha aliyoyapata mapema angeomba kutoka, amelazimisha kucheza na maumivu akaruhusu goli

Job & Bacca
Wamecheza vizuri mno kama kawaida Yao nawapongeza

Kibabage
Yanga tumecheza kama tupo pungufu
Kibabage hawezi kukaba wala kushambulia, yaani yupo yupo tu
Nina Imani viongozi wanaliona hili na wataziba pengo lake

Abuya na Aucho
Wamecheza vyema, nawapongeza sana
Kurudi Kwa Aucho Sasa Yanga tuna matumaini kufanya vyema mechi zijazo

Maxi Nzengeli
Leo mechi imemkataa
Alikuwa na siku mbaya sana, hakucheza vizuri,

Mudathir
Alikuwa na papara, amecheza vibaya mno, maamuzi yake kama mtu aliyewekwa kuchezesha timu hayakuwa mazuri

Pacome zouzou
Amecheza wastani
Hana fitness Bado nadhani kutokana na maisha yake ya anasa

Kennedy Musonda
Amecheza wastani tu
Musonda Huwa hasimami, mipira ikaja yupo kwenye kibendera, nadhani hajui kama yeye ndo striker

Chama & Aziz ki
Wamecheza vizuri Kwa muda walioingia

Mzize &Dube
Wamecheza vizuri sana. Walifanya kila lililo zuri
Nawapa heko wamepambana

Hii sare ina maana kubwa Nina uhakika tunafuzu na tutaleta kombe la CAFCL nyumbani

Eng Hersi kama utaweza kupata beki wa kushoto wa TP Mazembe Ernest Lozalo Sita
Huyu beki nimefatilia huu msimu wa pili namfatilia
Ni beki hatari sana
Na Leo hakuwa vizuri ila ukimpata huyu mwamba itasaidia

Mwisho
Nawatakia kila heri watani kesho kwenye Yale mashindano Yao vicoba

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Hakuna mchezaji wa Yanga aliyecheza kama Pacome kwa leo, alikuwa kila mahali. Washambuliaji wameshindwa kumalizia mipira sliyokuwa anawapa.
 
Back
Top Bottom