Tathmini hotuba ya Rais Samia miaka 60 ya Jeshi la Polisi: Uzuri, ubaya, utata na mapendekezo mahsusi

Tathmini hotuba ya Rais Samia miaka 60 ya Jeshi la Polisi: Uzuri, ubaya, utata na mapendekezo mahsusi

Kwa mtazamo wangu Rais ameonyesha hofu,kutokujiamini,kukaririshwa uongo dhahiri na mbaya zaidi kuwa easily manipulated .
Inatia hofu huenda kuna genge linalomuendesha kutikisika na kuhofia kivuli chake.
Kwa mipasho Ile walio na sikio lake wamnong' oneze sio lazima kuwa Rais na maisha ya mstaafu ni bora na stress free.
Tiss wamemuacha aendelee kulishwa matango pori na kina Makonda. Maana inaonekana wao ndo anawaona wa maana
 
"Mauwaji ni kawaida '
Anashangaa kwanini mnalia lia wakati kuteswa na kuuwawa ni jambo la kawaida? Kwanini kuuwawa kwa huyu 'mmoja' ndio mlipukwe na kelele?
Wengine walipouwawa mlikuwa wapi?
Sababu ni 'kawaida' mnapaswa mvumilie kwa kukaa kimya au ikiwezekana mfurahie.
Hata huko Marekani watu wanauwawa. Na hivi karibuni mgombea wa urais Marekani yamefanyika majaribio mara mbili ya kumuuwa.
Rais kaeleweka, kazi kwenu 'samaki' mnaosubiriiwa mnenepe mliwe.
 
Narudia tena ! Narudia tena ! CDM vunjeni uongozi wenu wa juu kila kukicha mmekuwa mnawaza maandamano mkidhani ndo njia sahihi ya kutafuta kile mnachokiitaji kumbe ndo mnaenda kukizika chama hatukatai wananchi tunapenda upinzani lakini upinzani huo umekuwa ukileta wasi wasi na mashaka vifuani mwetu !! Why CDM not Other Political Parties mnahisi mnaonewa Mahakama zipo kusanyeni ushahidi pelekeni Mahakamani lakini sio kutuhumu yule mchawi halafu ushahidi hamna na kutafuta umaarufu namna hyo. kuna watu familia zao zipo nje ya TZ sisi ambao familia zetu zipo huko Tz tunataka Amani itawale...ukiona umezidiwa maarifa unapaswa utumie akili na sio makalio...Dead Pray Movie is a lesson to you.Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongozi wake wote Aamin.
 
7. Mapendekezo
  • Rais aweke bayana hadidu za rejea kwa ajili ya Tume ya Waziri Mkuu.
  • Rais atoe tamko la kuvitaka vyombo vya dola kuacha kuwakamata wakosoaji wa serikali kwa njia ya hoja. Kazi mojawapo ya rais ni kulinda uhuru wa raia katika suala la kufikiri na kueleza fikra zao bila hofu ya kutekwa, kuteswa na kuwekwa kuzuizini.
  • Rais atoe agizo la kuachiwa kina Soka kwa sababu kosa lao ni kuikosoa serikali kwa njia ya hoja, na jambo hili sio kosa la jinai, sio uhaini na sio ugaidi.
  • Rais aagize watu wote waliokaa kikao cha kuandaa vurugu wanafikishwa mbele ya sheria badala ya kuwa mlalamikaji na afisa propaganda. Kanuni ya kutofautisha kati ya taasisi na magenge ya wahuni ndani ya taasisi itumike hapa pia kama vilivyotumika kwa upande wa serikali.
  • Rais amwagize mwanasheria mkuu wa serikali kusababisha marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kuondoa dosari zilizo katika vifungu vya 3, 5(2) na 19(1). Vifungu hivi vinaweza kusababisha machafuko nchini kupitia mikono ya maafisa usalama watakaoamua kuvitumia kufanya kazi za kipolisi.

Raia Mwema.
Mkuu Mama Amoni, asante sana kwa bandiko hili, wewe ni baraka na hazina kubwa humu jf, watu wenye kuweza kufanya analysis ya kuchambua hotuba wanahesabika.
Ubarikiwe sana.
P
 
View attachment 3099128
Rais Samia ktk Hafla Moshi
View attachment 3099159
Hoja ya Deusdedit Soka kuhusi intelijensia hafifu ya Jeshi la Polisi

1. Utangulizi

Akiwa katika Chuo cha Polisi Tanzania kilichooko mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro, mnamo tarehe 17 Septemba 2024, Samia Suluhu Hassan, alivaa kofia zake zote kama Rais, Amiri Jeshi Mkuu, na Mkuu wa Nchi katika Jamhuri ya Muungano wa Kidemokrasia ya Tanzania.

Akiwa amevaa kofia hizo metoa hotuba ya dakika 57 ya kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa mwaka 2024 uliofanyika sambamba na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania.

Katika andiko hili nafanya tathmini ya uzuri, ubaya, na utata kabla ya kujadili hotuba hiyo, kuhitimisha na kutaja mapendekezo mahsusi.

2. Matamko mazuri yenye sura ya kujenga

  • Jeshi letu la polisi linapaswa Kwenda na wakati.
  • Jeshi la polisi lilete bajeti kwa ajili ya kujiimarisha tekinolojia ya kufanya “saveilansi” kwa kutumia mbinu za kisasa na nitatekeleza mahitaji yao mara moja.
  • Jeshi la polisi liboreshe mbinu zake za kuzuia vifo vinavyotokana na ajali za barabarani zinazoweza kuzuilika.
  • Kwa mujibu wa majukumu yake ya kisheria Jeshi la polisi halipaswi kuwafumbia macho wale wote wenye nia ovu ya kuleta vurugu na uvunjifu wa amani.
  • Jeshi la polisi lijitazame na kujisahihisha ili kurudisha Imani yake mbele ya jamii ili kuzuia aibu iliyotokea kule Mwanza jana ambapo ni wazi kuwa umma hauna imani tena na jeshi hili.
  • Bado nina nia ya kuendeleza utekelezaji wa falsafa ya 4R, yaani, “Reforms, Resilience, Reconciliation, and Rebuilding.”
  • Damu ya kila mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu maana uhai wa kila binadamu hauna bei.
  • Hatutaruhusu kamwe mataifa ya nje kuingilia uhuru wetu wa kujiamulia mambo yetu ya ndani.
  • Kwa kuwa uchaguzi ujao utapita lakini Tanzania itabaki, nalitaka jeshi la polisi linakuwa macho kabla, wakati na baada ya uchaguzi dhidi ya mtu yeyote mwenye nia ya kuhatarisha amani kwa kisingizio cha uchaguzi.
  • Sikubaliani na matukio ya mauaji yanayohusisha wazazi, viongozi wa dini, wapenzi na waganga wa jadi.
  • Jeshi la polisi liandae mpango kazi wenye kuonyesha vigezo vya kupima ufanisi ili tuweze kupima kasi ya utendaji wa kazi zenu.
View attachment 3099127

3. Matamko mabaya yenye sura ta vitisho
  • Tarehe 11 Septemba 2024 Chadema walifanya mkutano huko Arusha, ambapo ajenda kuu ilikuwa ni jinsi ya kutumia maandamano kama mbinu ya kuvuruga amani na utulivu nchini.
  • Wanataka kumwondoa Rais madarakani kwa njia ya maandamano lakini Rais hawezi kuondolewa kwa njia hiyo.
  • Wamesahau misukosuko waliyopita hapo nyuma mpaka wakakimbia nchi nami kuwarejesha kwa kutumia falsafa ya 4R zangu wanayoikejeli
View attachment 3099129
4. Matamko tata yenye sura ya vijembe na mkanganyiko
  • Ukimya wangu sio ujinga maana unanipa fursa ya kutafakari.
  • Kauli za wakosoaji wangu wengi ni uropokaji bila werevu maana wao ni kama debe shinda lisiloacha kuvuma.
  • Sio sawa kwa kifo kimoja tu cha Ally Mohamed Kibao wa Chadema kusababisha mtikisiko wa mwili na akili kiasi cha kuibua mihemuko ya kuhatarisha amani na utulivu wakati ni kifo kama vifo vya watu wengine waliouwawa siku za nyuma na wanaoendelea kuuawa kila siku kwa sababu mbalimbali, na katika matukio haya mengine hakukuwepo na mihemuko ya aina hiyo.
  • Balozi za kigeni zilizokemea na kutaka uchunguzi wa kifo cha Mohamed KIbao ufanyike zilifanya hivyo bila baraka za Marais wa nchi wanazoziwakilisha na kinyume cha mwongozo wa kidiplomasia wa Viena.
View attachment 3099132

5. Mjadala wa kutathmini kauli za Rais Ssmia

Tathmini yangu itajikita katika moja kuu: endapo Rais Samia anajua na kuelewa tofauti kati ya uhalifu na uadilifu au hapana?

Rais Samia amesema "kifo ni kifo" kwa maana kuwa kifo cha Ally Mohammed Kibao hakina tofauti na vifo vinavyotakana na sababu baki kama vile ajali za barabarani. Maswali sasa yanazuko:

Rais Samia h+anajua tofauti kati ya kifo kinachosababisha kwa makusudi na kifo kinachotokea kwa bahati mbaya?

Rais Samia anajua tofauti kati ya uovu wa kimaadili na uovu wa kifizikia, yaani moral evil versus physical evil?

Rais Samia anajua tofauti kati ya tendo la jinai lenye kiima cha dhamira na kiarifa cha utekelezaji, yaani mens rea versus mens reus?

Rais Samia anajua kuwa sayansi inayochunguza anatomia na fiziolojia ya matendo ya kihalifu (criminological praxiology) inasema kuwa kila kitendo kinachofanyika kwa makusudi ni kama mnyororo wenyw sehemu tatu, yaani LENGO, MBINU NA MAZINGIRA, na kwamba uadilifu wa kitendo hicho unapimwa kwa kuangalia pingili zote tatu kwa mpigo ili kujiridhisha kuwa hakuna pingili yoyote yenye doa la uovu?

Siku Rais Samia alipokuwa kiapo cha Urais kwa mara ya kwanza Rais alitwambia kuwa tumwamini kama Rais makini kwa kuwa yeye amelelewa katika familia yenye maadili yanayowezesha kuwa mkuu wa nchi bila kujali jinsia, dini wala hali yake baki. Katika mazingira ya hotuba ya sasa bado anataka tuamini maneno yake yale?

Na swali kubwa zIdi: wasaidizi wa Rais waliosaidia kuandaa na kuandika hotuba ya Rais wanao weledi kiasi gani hadi wampotoshe Rais kwa kiwango hiki?

Lakini pia, yeye Rais akipotishwa kwa nini akubali kulishwa matango pori bila kuyachukua kabisa?

Kuna jawabu moja tu kwa maswali haya: Kuna ombwe la kimaadili na kiweledi katika Ikulu ya Tanzania.

6. Hitimisho kuhusu aliyoyasema na aliyoyasahau
  • Kauli ya Rais kuhusu “waropokaji” inaweza kuchochea ukamataji holela kama ule uliofanyika dhidi ya Deusdedith Soka kwa sababu tu ya kauli zake za kuvikosoa vyombo vya dola (tazama video hapo juu).
  • Rais hajasema lolote kuhusu hadidu za rejea za Kamati ya Waziri Mkuu aliyosema ameiunda kwa ajili ya kuchungiza mauaji holela, na hivyo kuleta shaka katika uhalisia wa kazi ya kamati hiyo.
  • Rais anasema kuwa kuna watu walifanya kikao kilichopanga kufanya uhalifu lakini hajaelekeza vyombo vya dola kuchukua hatua zozote dhidi yao, jambo linaloleta mashaka katika kile anachokisema.
  • Rais ametoa kauli zenye kubatilishana katika suala la kukuza na kuhami uhai wa raia wasio na hatia, maana hakutofautisha vifo kwa kuzingatia sababu zake.
  • Rais hakusema lolote kuhusu marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa yam waka 2023 inayoweza kuchochea machafuko nchini.
View attachment 3099134

7. Mapendekezo
  • Rais aweke bayana hadidu za rejea kwa ajili ya Tume ya Waziri Mkuu.
  • Rais atoe tamko la kuvitaka vyombo vya dola kuacha kuwakamata wakosoaji wa serikali kwa njia ya hoja. Kazi mojawapo ya rais ni kulinda uhuru wa raia katika suala la kufikiri na kueleza fikra zao bila hofu ya kutekwa, kuteswa na kuwekwa kuzuizini.
  • Rais atoe agizo la kuachiwa kina Soka kwa sababu kosa lao ni kuikosoa serikali kwa njia ya hoja, na jambo hili sio kosa la jinai, sio uhaini na sio ugaidi.
  • Rais aagize watu wote waliokaa kikao cha kuandaa vurugu wanafikishwa mbele ya sheria badala ya kuwa mlalamikaji na afisa propaganda. Kanuni ya kutofautisha kati ya taasisi na magenge ya wahuni ndani ya taasisi itumike hapa pia kama vilivyotumika kwa upande wa serikali.
  • Rais amwagize mwanasheria mkuu wa serikali kusababisha marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kuondoa dosari zilizo katika vifungu vya 3, 5(2) na 19(1). Vifungu hivi vinaweza kusababisha machafuko nchini kupitia mikono ya maafisa usalama watakaoamua kuvitumia kufanya kazi za kipolisi.

Raia Mwema.

Hakika ni uchambuzi bora kabisa
 
CHADEMA NI WAPUUZI SANA TENA WASIO NA AKILI KABISA, "" HIVI NCHI HII ITAKAPOVURUGIKA HUO UPINZANI WAO WATAUFANYIA KATIKA NCHI GANI"""
N. B, Tunao maadui wengi sana wanaosubiria kwa kiu kubwa sana sisi wenyewe tuivuruge nchi waanze kumwaga fedha kwa watu na vikundi mbalimbali alimradi nchi ikibidi isiikalike kabisa
CCM ndiyo wapuuzi kwa kutumia Polisi kutekana kuua wapinzani
 
Wapinzani na Watanzania kwa ujumla tuanze kujilinda binafsi.

Hizi Land cruiser za wasiojurikana dawa yake ni kiberiti tu.

Kwa hotuba ya mama amebariki kinachoendelea, na amekubali kudanganywa kulinda Urais wake, mtu yeyote makini hata ukiandikiwa kitu ni lazima usome na uedit wewe mwenyewe.

Nakumbuka Magufuli majina ya uteuzi ilifika anaandika kwa mkono kwenye note book hataki kuingizwa mkenge kuchomekewa majina.

Kama mna kumbukumbu nzuri huyu mama ameshateuwa jina na kulitenguwa siku hiyohiyo hapo ndio mjuwe ni ushahidi kuna genge la watu wanaomzunguka wako bize to fabricate story.
 
View attachment 3099128
Rais Samia ktk Hafla Moshi
View attachment 3099159
Hoja ya Deusdedit Soka kuhusi intelijensia hafifu ya Jeshi la Polisi

1. Utangulizi

Akiwa katika Chuo cha Polisi Tanzania kilichooko mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro, mnamo tarehe 17 Septemba 2024, Samia Suluhu Hassan, alivaa kofia zake zote kama Rais, Amiri Jeshi Mkuu, na Mkuu wa Nchi katika Jamhuri ya Muungano wa Kidemokrasia ya Tanzania.

Akiwa amevaa kofia hizo metoa hotuba ya dakika 57 ya kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa mwaka 2024 uliofanyika sambamba na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania.

Katika andiko hili nafanya tathmini ya uzuri, ubaya, na utata kabla ya kujadili hotuba hiyo, kuhitimisha na kutaja mapendekezo mahsusi.

2. Matamko mazuri yenye sura ya kujenga

  • Jeshi letu la polisi linapaswa Kwenda na wakati.
  • Jeshi la polisi lilete bajeti kwa ajili ya kujiimarisha tekinolojia ya kufanya “saveilansi” kwa kutumia mbinu za kisasa na nitatekeleza mahitaji yao mara moja.
  • Jeshi la polisi liboreshe mbinu zake za kuzuia vifo vinavyotokana na ajali za barabarani zinazoweza kuzuilika.
  • Kwa mujibu wa majukumu yake ya kisheria Jeshi la polisi halipaswi kuwafumbia macho wale wote wenye nia ovu ya kuleta vurugu na uvunjifu wa amani.
  • Jeshi la polisi lijitazame na kujisahihisha ili kurudisha Imani yake mbele ya jamii ili kuzuia aibu iliyotokea kule Mwanza jana ambapo ni wazi kuwa umma hauna imani tena na jeshi hili.
  • Bado nina nia ya kuendeleza utekelezaji wa falsafa ya 4R, yaani, “Reforms, Resilience, Reconciliation, and Rebuilding.”
  • Damu ya kila mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu maana uhai wa kila binadamu hauna bei.
  • Hatutaruhusu kamwe mataifa ya nje kuingilia uhuru wetu wa kujiamulia mambo yetu ya ndani.
  • Kwa kuwa uchaguzi ujao utapita lakini Tanzania itabaki, nalitaka jeshi la polisi linakuwa macho kabla, wakati na baada ya uchaguzi dhidi ya mtu yeyote mwenye nia ya kuhatarisha amani kwa kisingizio cha uchaguzi.
  • Sikubaliani na matukio ya mauaji yanayohusisha wazazi, viongozi wa dini, wapenzi na waganga wa jadi.
  • Jeshi la polisi liandae mpango kazi wenye kuonyesha vigezo vya kupima ufanisi ili tuweze kupima kasi ya utendaji wa kazi zenu.
View attachment 3099127

3. Matamko mabaya yenye sura ta vitisho
  • Tarehe 11 Septemba 2024 Chadema walifanya mkutano huko Arusha, ambapo ajenda kuu ilikuwa ni jinsi ya kutumia maandamano kama mbinu ya kuvuruga amani na utulivu nchini.
  • Wanataka kumwondoa Rais madarakani kwa njia ya maandamano lakini Rais hawezi kuondolewa kwa njia hiyo.
  • Wamesahau misukosuko waliyopita hapo nyuma mpaka wakakimbia nchi nami kuwarejesha kwa kutumia falsafa ya 4R zangu wanayoikejeli
View attachment 3099129
4. Matamko tata yenye sura ya vijembe na mkanganyiko
  • Ukimya wangu sio ujinga maana unanipa fursa ya kutafakari.
  • Kauli za wakosoaji wangu wengi ni uropokaji bila werevu maana wao ni kama debe shinda lisiloacha kuvuma.
  • Sio sawa kwa kifo kimoja tu cha Ally Mohamed Kibao wa Chadema kusababisha mtikisiko wa mwili na akili kiasi cha kuibua mihemuko ya kuhatarisha amani na utulivu wakati ni kifo kama vifo vya watu wengine waliouwawa siku za nyuma na wanaoendelea kuuawa kila siku kwa sababu mbalimbali, na katika matukio haya mengine hakukuwepo na mihemuko ya aina hiyo.
  • Balozi za kigeni zilizokemea na kutaka uchunguzi wa kifo cha Mohamed KIbao ufanyike zilifanya hivyo bila baraka za Marais wa nchi wanazoziwakilisha na kinyume cha mwongozo wa kidiplomasia wa Viena.
View attachment 3099132

5. Mjadala wa kutathmini kauli za Rais Ssmia

Tathmini yangu itajikita katika moja kuu: endapo Rais Samia anajua na kuelewa tofauti kati ya uhalifu na uadilifu au hapana?

Rais Samia amesema "kifo ni kifo" kwa maana kuwa kifo cha Ally Mohammed Kibao hakina tofauti na vifo vinavyotakana na sababu baki kama vile ajali za barabarani. Maswali sasa yanazuko:

Rais Samia h+anajua tofauti kati ya kifo kinachosababisha kwa makusudi na kifo kinachotokea kwa bahati mbaya?

Rais Samia anajua tofauti kati ya uovu wa kimaadili na uovu wa kifizikia, yaani moral evil versus physical evil?

Rais Samia anajua tofauti kati ya tendo la jinai lenye kiima cha dhamira na kiarifa cha utekelezaji, yaani mens rea versus mens reus?

Rais Samia anajua kuwa sayansi inayochunguza anatomia na fiziolojia ya matendo ya kihalifu (criminological praxiology) inasema kuwa kila kitendo kinachofanyika kwa makusudi ni kama mnyororo wenyw sehemu tatu, yaani LENGO, MBINU NA MAZINGIRA, na kwamba uadilifu wa kitendo hicho unapimwa kwa kuangalia pingili zote tatu kwa mpigo ili kujiridhisha kuwa hakuna pingili yoyote yenye doa la uovu?

Siku Rais Samia alipokuwa kiapo cha Urais kwa mara ya kwanza Rais alitwambia kuwa tumwamini kama Rais makini kwa kuwa yeye amelelewa katika familia yenye maadili yanayowezesha kuwa mkuu wa nchi bila kujali jinsia, dini wala hali yake baki. Katika mazingira ya hotuba ya sasa bado anataka tuamini maneno yake yale?

Na swali kubwa zIdi: wasaidizi wa Rais waliosaidia kuandaa na kuandika hotuba ya Rais wanao weledi kiasi gani hadi wampotoshe Rais kwa kiwango hiki?

Lakini pia, yeye Rais akipotishwa kwa nini akubali kulishwa matango pori bila kuyachukua kabisa?

Kuna jawabu moja tu kwa maswali haya: Kuna ombwe la kimaadili na kiweledi katika Ikulu ya Tanzania.

6. Hitimisho kuhusu aliyoyasema na aliyoyasahau
  • Kauli ya Rais kuhusu “waropokaji” inaweza kuchochea ukamataji holela kama ule uliofanyika dhidi ya Deusdedith Soka kwa sababu tu ya kauli zake za kuvikosoa vyombo vya dola (tazama video hapo juu).
  • Rais hajasema lolote kuhusu hadidu za rejea za Kamati ya Waziri Mkuu aliyosema ameiunda kwa ajili ya kuchungiza mauaji holela, na hivyo kuleta shaka katika uhalisia wa kazi ya kamati hiyo.
  • Rais anasema kuwa kuna watu walifanya kikao kilichopanga kufanya uhalifu lakini hajaelekeza vyombo vya dola kuchukua hatua zozote dhidi yao, jambo linaloleta mashaka katika kile anachokisema.
  • Rais ametoa kauli zenye kubatilishana katika suala la kukuza na kuhami uhai wa raia wasio na hatia, maana hakutofautisha vifo kwa kuzingatia sababu zake.
  • Rais hakusema lolote kuhusu marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa yam waka 2023 inayoweza kuchochea machafuko nchini.
View attachment 3099134

7. Mapendekezo
  • Rais aweke bayana hadidu za rejea kwa ajili ya Tume ya Waziri Mkuu.
  • Rais atoe tamko la kuvitaka vyombo vya dola kuacha kuwakamata wakosoaji wa serikali kwa njia ya hoja. Kazi mojawapo ya rais ni kulinda uhuru wa raia katika suala la kufikiri na kueleza fikra zao bila hofu ya kutekwa, kuteswa na kuwekwa kuzuizini.
  • Rais atoe agizo la kuachiwa kina Soka kwa sababu kosa lao ni kuikosoa serikali kwa njia ya hoja, na jambo hili sio kosa la jinai, sio uhaini na sio ugaidi.
  • Rais aagize watu wote waliokaa kikao cha kuandaa vurugu wanafikishwa mbele ya sheria badala ya kuwa mlalamikaji na afisa propaganda. Kanuni ya kutofautisha kati ya taasisi na magenge ya wahuni ndani ya taasisi itumike hapa pia kama vilivyotumika kwa upande wa serikali.
  • Rais amwagize mwanasheria mkuu wa serikali kusababisha marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kuondoa dosari zilizo katika vifungu vya 3, 5(2) na 19(1). Vifungu hivi vinaweza kusababisha machafuko nchini kupitia mikono ya maafisa usalama watakaoamua kuvitumia kufanya kazi za kipolisi.

Raia Mwema.
Wahalifu wanapokaribia kufa hujisahau na kutamba sana kwa jamii.
 
Tathmini ya hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi inahitaji kuangazia vipengele kadhaa: uzuri, ubaya, utata, na mapendekezo mahsusi. Hapa kuna tathmini hiyo:

Uzuri
1. Kusisitiza Amani na Usalama:
Rais Samia alisisitiza umuhimu wa amani na usalama nchini, akitambua mchango wa Jeshi la Polisi katika kudumisha utulivu.

2. Mafanikio ya Polisi:
Aliweza kutaja mafanikio mbalimbali ya Jeshi la Polisi, ikiwemo kupunguza uhalifu na kuimarisha ushirikiano na jamii.

3. Mabadiliko ya Kitaalamu:
Hotuba yake ililenga mabadiliko ya kitaaluma na teknolojia katika Jeshi la Polisi, ikionyesha dhamira ya kuboresha huduma za kipolisi.

Ubaya
1. Kukosekana kwa Mipango Maalum:
Katika hotuba, hakukuwa na mipango maalum ya kushughulikia changamoto zinazowakabili polisi, kama vile ukosefu wa vifaa na rasilimali.

2. Kukosa Uwazi:
Wakati alitaja mafanikio, haikuwekwa wazi jinsi polisi wanavyoweza kuboresha zaidi na kukabiliana na changamoto zilizopo.

Utata

1. Rai kuhusu Haki za Binadamu:
Kutokana na historia ya matukio yanayohusisha ukiukwaji wa haki za binadamu na Jeshi la Polisi, baadhi ya maoni yalionyesha utata katika namna hotuba ilivyoshughulikia masuala haya.

2. Ushirikiano na Jamii:
Ingawa alisisitiza umuhimu wa ushirikiano, baadhi ya waandishi wa habari waliona kuwa mawasiliano baina ya polisi na jamii bado ni duni.

Mapendekezo Mahsusi
1. Kuweka Mipango ya Maendeleo: Kuweka mikakati ya wazi ya maendeleo ya Jeshi la Polisi, ikiwa ni pamoja na bajeti na rasilimali.

2. Kujenga Uhusiano Bora na Jamii;
Kuimarisha mawasiliano na ushirikiano na jamii kupitia kampeni za elimu na ushirikiano wa kijamii.

3. Kuweka Mifumo ya Usimamizi wa Haki za Binadamu:
Kuanzisha mifumo ya ufuatiliaji wa haki za binadamu ndani ya Jeshi la Polisi ili kuboresha uwajibikaji.

Kwa ujumla, hotuba ya Rais Samia ilikuwa na ujumbe mzito wa kuimarisha Jeshi la Polisi, lakini inahitaji hatua za ziada ili kuhakikisha kwamba changamoto zinazoikabili zinaweza kushughulikiwa kwa ufanisi.
 
Wewe Mama Amon ni mnafiki uliyekubuhu. Kwanini hukukemea CHADEMA na kauli yao ya kihaini ya Samia must go?

Rejea hapa:

Kauli ya Chadema kwamba "Samia must go," bila kuongezewa neno la ziada sio kauli ya kihaini.

Kwa nini?

Ni hivi: Kuna njia tatu za kuitafsiri.
Yaani, kauli hiyo inaweza kusomeka hivi:
  • "Samia must go by force"
  • "Samia must go willingly by resigning"
  • "Samia must go democratically through a ballot box"
Mpaka hapo sioni uhaini wa Chadema.
 
View attachment 3099128
Rais Samia ktk Hafla Moshi
View attachment 3099159
Hoja ya Deusdedit Soka kuhusi intelijensia hafifu ya Jeshi la Polisi

1. Utangulizi

Akiwa katika Chuo cha Polisi Tanzania kilichooko mjini Moshi, Mkoani Kilimanjaro, mnamo tarehe 17 Septemba 2024, Samia Suluhu Hassan, alivaa kofia zake zote kama Rais, Amiri Jeshi Mkuu, na Mkuu wa Nchi katika Jamhuri ya Muungano wa Kidemokrasia ya Tanzania.

Akiwa amevaa kofia hizo alitoa hotuba ya dakika 57 kwa ajili ya kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa mwaka 2024 uliofanyika sambamba na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania.

Katika andiko hili nafanya tathmini ya uzuri, ubaya, na utata kabla ya kujadili hotuba hiyo, kuhitimisha na kutaja mapendekezo mahsusi.

2. Matamko mazuri yenye sura ya kujenga

  • Jeshi letu la polisi linapaswa Kwenda na wakati.
  • Jeshi la polisi lilete bajeti kwa ajili ya kujiimarisha tekinolojia ya kufanya “saveilansi” kwa kutumia mbinu za kisasa na nitatekeleza mahitaji yao mara moja.
  • Jeshi la polisi liboreshe mbinu zake za kuzuia vifo vinavyotokana na ajali za barabarani zinazoweza kuzuilika.
  • Kwa mujibu wa majukumu yake ya kisheria Jeshi la polisi halipaswi kuwafumbia macho wale wote wenye nia ovu ya kuleta vurugu na uvunjifu wa amani.
  • Jeshi la polisi lijitazame na kujisahihisha ili kurudisha Imani yake mbele ya jamii ili kuzuia aibu iliyotokea kule Mwanza jana ambapo ni wazi kuwa umma hauna imani tena na jeshi hili.
  • Bado nina nia ya kuendeleza utekelezaji wa falsafa ya 4R, yaani, “Reforms, Resilience, Reconciliation, and Rebuilding.”
  • Damu ya kila mtanzania ituume tusiwe tunamwaga damu bila sababu maana uhai wa kila binadamu hauna bei.
  • Hatutaruhusu kamwe mataifa ya nje kuingilia uhuru wetu wa kujiamulia mambo yetu ya ndani.
  • Kwa kuwa uchaguzi ujao utapita lakini Tanzania itabaki, nalitaka jeshi la polisi linakuwa macho kabla, wakati na baada ya uchaguzi dhidi ya mtu yeyote mwenye nia ya kuhatarisha amani kwa kisingizio cha uchaguzi.
  • Sikubaliani na matukio ya mauaji yanayohusisha wazazi, viongozi wa dini, wapenzi na waganga wa jadi.
  • Jeshi la polisi liandae mpango kazi wenye kuonyesha vigezo vya kupima ufanisi ili tuweze kupima kasi ya utendaji wa kazi zenu.
View attachment 3099127

3. Matamko mabaya yenye sura ta vitisho
  • Tarehe 11 Septemba 2024 Chadema walifanya mkutano huko Arusha, ambapo ajenda kuu ilikuwa ni jinsi ya kutumia maandamano kama mbinu ya kuvuruga amani na utulivu nchini.
  • Wanataka kumwondoa Rais madarakani kwa njia ya maandamano lakini Rais hawezi kuondolewa kwa njia hiyo.
  • Wamesahau misukosuko waliyopita hapo nyuma mpaka wakakimbia nchi nami kuwarejesha kwa kutumia falsafa ya 4R zangu wanayoikejeli
  • Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
View attachment 3099129
4. Matamko tata yenye sura ya vijembe na mkanganyiko
  • Ukimya wangu sio ujinga maana unanipa fursa ya kutafakari.
  • Kauli za wakosoaji wangu wengi ni uropokaji bila werevu maana wao ni kama debe shinda lisiloacha kuvuma.
  • Sio sawa kwa kifo kimoja tu cha Ally Mohamed Kibao wa Chadema kusababisha mtikisiko wa mwili na akili kiasi cha kuibua mihemuko ya kuhatarisha amani na utulivu wakati ni kifo kama vifo vya watu wengine waliouwawa siku za nyuma na wanaoendelea kuuawa kila siku kwa sababu mbalimbali, na katika matukio haya mengine hakukuwepo na mihemuko ya aina hiyo.
  • Balozi za kigeni zilizokemea na kutaka uchunguzi wa kifo cha Mohamed KIbao ufanyike zilifanya hivyo bila baraka za Marais wa nchi wanazoziwakilisha na kinyume cha mwongozo wa kidiplomasia wa Viena.
View attachment 3099132

5. Mjadala wa kutathmini kauli za Rais Ssmia

Kuna mambo mawili napenda kuyajadili kwa kifupi. Moja ni kuhusu kauli ya Rais Samia kwamba Chadema wamesema wanataka kumwondoa Ikulu kinyume cha matakwa ya kikatiba. Ninayo mawazo tofauti.

Kauli ya Chadema kwamba "Samia must go," bila kuongezewa neno la ziada sio kauli ya kihaini.

Kwa nini?

Ni hivi: Kuna njia tatu za kuitafsiri.
Yaani, kauli hiyo inaweza kusomeka hivi:
  • "Samia must go by force"
  • "Samia must go willingly by resigning"
  • "Samia must go democratically through a ballot box"
Mpaka hapo sioni uhaini wa Chadema.

Na pili, Rais Samia amesema "kifo ni kifo" kwa maana kuwa kifo cha Ally Mohammed Kibao hakina tofauti na vifo vinavyotakana na sababu baki kama vile ajali za barabarani.

Hivyo, tathmini yangu itajikita katika moja kuu: endapo Rais Samia anajua na kuelewa tofauti kati ya uhalifu na uadilifu au hapana? Hasa, maswali sasa yanazuko:
  • Rais Samia h+anajua tofauti kati ya kifo kinachosababisha kwa makusudi na kifo kinachotokea kwa bahati mbaya?
  • Rais Samia anajua tofauti kati ya uovu wa kimaadili na uovu wa kifizikia, yaani moral evil versus physical evil?
  • Rais Samia anajua tofauti kati ya tendo la jinai lenye kiima cha dhamira na kiarifa cha utekelezaji, yaani mens rea versus mens reus?
  • Rais Samia anajua kuwa sayansi inayochunguza anatomia na fiziolojia ya matendo ya kihalifu (criminological praxiology) inasema kuwa kila kitendo kinachofanyika kwa makusudi ni kama mnyororo wenyw sehemu tatu, yaani LENGO, MBINU NA MAZINGIRA, na kwamba uadilifu wa kitendo hicho unapimwa kwa kuangalia pingili zote tatu kwa mpigo ili kujiridhisha kuwa hakuna pingili yoyote yenye doa la uovu?
  • Siku Rais Samia alipokuwa kiapo cha Urais kwa mara ya kwanza Rais alitwambia kuwa tumwamini kama Rais makini kwa kuwa yeye amelelewa katika familia yenye maadili yanayowezesha kuwa mkuu wa nchi bila kujali jinsia, dini wala hali yake baki. Katika mazingira ya hotuba ya sasa bado anataka tuamini maneno yake yale?
  • Na swali kubwa zIdi: wasaidizi wa Rais waliosaidia kuandaa na kuandika hotuba ya Rais wanao weledi kiasi gani hadi wampotoshe Rais kwa kiwango hiki?
  • Lakini pia, yeye Rais akipotishwa kwa nini akubali kulishwa matango pori bila kuyachukua kabisa?
Kwa maoni yangu, kuna jawabu moja tu kwa maswali haya: Kuna ombwe la kimaadili na kiweledi mahali fulani.

6. Hitimisho kuhusu aliyoyasema na aliyoyasahau
  • Kauli ya Rais kuhusu “waropokaji” inaweza kuchochea ukamataji holela kama ule uliofanyika dhidi ya Deusdedith Soka kwa sababu tu ya kauli zake za kuvikosoa vyombo vya dola (tazama video hapo juu).
  • Rais hajasema lolote kuhusu hadidu za rejea za Kamati ya Waziri Mkuu aliyosema ameiunda kwa ajili ya kuchungiza mauaji holela, na hivyo kuleta shaka katika uhalisia wa kazi ya kamati hiyo.
  • Rais anasema kuwa kuna watu walifanya kikao kilichopanga kufanya uhalifu lakini hajaelekeza vyombo vya dola kuchukua hatua zozote dhidi yao, jambo linaloleta mashaka katika kile anachokisema.
  • Rais ametoa kauli zenye kubatilishana katika suala la kukuza na kuhami uhai wa raia wasio na hatia, maana hakutofautisha vifo kwa kuzingatia sababu zake.
  • Rais hakusema lolote kuhusu marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa yam waka 2023 inayoweza kuchochea machafuko nchini.
View attachment 3099134

7. Mapendekezo
  • Rais aweke bayana hadidu za rejea kwa ajili ya Tume ya Waziri Mkuu.
  • Rais atoe tamko la kuvitaka vyombo vya dola kuacha kuwakamata wakosoaji wa serikali kwa njia ya hoja. Kazi mojawapo ya rais ni kulinda uhuru wa raia katika suala la kufikiri na kueleza fikra zao bila hofu ya kutekwa, kuteswa na kuwekwa kuzuizini.
  • Rais atoe agizo la kuachiwa kina Soka kwa sababu kosa lao ni kuikosoa serikali kwa njia ya hoja, na jambo hili sio kosa la jinai, sio uhaini na sio ugaidi.
  • Rais aagize watu wote waliokaa kikao cha kuandaa vurugu wanafikishwa mbele ya sheria badala ya kuwa mlalamikaji na afisa propaganda. Kanuni ya kutofautisha kati ya taasisi na magenge ya wahuni ndani ya taasisi itumike hapa pia kama vilivyotumika kwa upande wa serikali.
  • Rais amwagize mwanasheria mkuu wa serikali kusababisha marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kuondoa dosari zilizo katika vifungu vya 3, 5(2) na 19(1). Vifungu hivi vinaweza kusababisha machafuko nchini kupitia mikono ya maafisa usalama watakaoamua kuvitumia kufanya kazi za kipolisi.

Raia Mwema.
Naungana na uchambuzi wako .... Asante Sana.

Taifa linahitaji uponyaji.
 
Ana hofu na hajiamini, jambo linalomfanya avitegemee vyombo vya ulinzi na usalama hususani jeshi la polisi na idara ya usalama wa taifa kumbeba.

Na wao kwa kulitambua hilo, wanaweza ku abuse mamlaka yao kwa jinsi watakavyo, atawafanya nini wakati mwenyewe anategemea mbeleko yao.

A dangerous situation is developing.
 
Back
Top Bottom