Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

lwaitama1

Member
Joined
Nov 8, 2021
Posts
39
Reaction score
196
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin)

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
 
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin )

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
Umepoteza mwelekeo. Kama kweli ndiye Lwaitama Xavery basi nilifundishwa na mtu ovyo sana japo siamini kama ni wewe kweli
 
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin )

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
Pro Ukraine hawajuagi kitu yaani Wana mihemko wakati pro Russia ni watu wa facts.mfano wewe huna facts hapo.
 
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin )

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
Kwanza naungana na wewe kuhusu utani na mengine.
Ila Pro Russian ndio tunasimamia ukweli ma fact. Kuwa dunia inafumbia macho uovu anaofanya US na genge lake, lakini wa Russia ndio mnapiga kelele. Tunachotaka mpige kelele hizi hizi kwa uovu anaofanya US. US ameua sana watu kwa kigezo cha demokrasia pale North Korea, Vietnam, kavuruga sana nchi za South America na kuweka madikteta.
Lakini haya yote kwemye historia ni kama minor events.
Pro Russia tunapinga double standards. Pale Palestina Israel almost anachukua eneo lote lakini mmefumba macho kama vile some people are more humans than others.
 
Kuna thread nilichangia mada kuna mrusi akani quote "naona shoga unawatetea mashoga wenzako" sikupenda kabisa ikabidi nimblock tu. Sijajua kwa nini mtu ukitoa mawazo yako huru mtu ana ku attack na jambo ambalo anajua litakukwaza!
 
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin )

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
kwa fact zipi mlizo nazo?
Kama unapenda amani kwanini ushabikie vita ?
Unaishi kwa amani?
Unaijua amani ?
 
Tahtmini ya Utani wa hapa mtandaoni kati ya Wafuasi wa Zelensky (Pro Ukraine vs Pro Putin )

Prow Ukraine ni watu poa sana, wengi ni wapenda amani wasiopenda uonevu wa kijinga

Pro Ukraine hawashabikii mtu bali wanasimamia facts,

wanasimamia haki, hawapendi uonevu. Wengi jata Zelensky hawamjui ni nani. Ni watu fulani peace sana, ukiwa challenge hawakuchukii watakupa mkono wa kirafiki.

Upande mwingine kuna Pro Putin, hata hawaijui Russia, wanayemjua ni Putin tu, ni watu wenye visirani, huwa wanaongozwa na chuki na ushabiki. Wao wakigundua hauiungi mkono Russia wanaamua kukukatia story, wanachagua kukuchukia na kuona umetumwa na US.

Kuwakuta wenye uelewa na wanaokubali challenge na facts kama @⁨Kalamu1⁩ ni wachache sana, utatafuta hadi uchoke

Cha msingi watu tunatofautiana katika hili Lakin unakuta lingine tunakubaliana

Johhana leta maneno, wapi Nafaka na Nyamizi

Namshukuru Mwanangu Thadeusi Musembi mchambuzi fulani ambaye hatakaa ajue Kama namfuatilia sana

Cc britanicca

Sky Eclat
Russia wengi ni undergraduate kuanzia 2015
-waislam
-ccm
 
Naombeni majibu kwa haya maswali msiruke nawakubali kwa fact wapenda amani.

Ni sababu zipi za msingi zinazokufanya uwapinge?

Na kama mnadai kavamia nchi huru kwanini aivamie Ukraine na si nchi nyingine?

Na kama mnadai anaua hovyo raia na kupiga majengo na sio kambi za jeshi au wanajeshi wapo wapi? Human shield ikitokea ni action ipi inapaswa kufuatwa?

Je kama wapinga vita wanataka amani hizo silaha mnapeleka za nini ?

Hayo matwakwa ya mrusi wakiyafata wanapungukiwa nini?

Mrusi angeweka silaha zake Cuba reaction ya US ingekuwaje?

Vipi urusi akubali nato aweke silaha Ukraine ila na yeye akaweke Cuba marekani angekubali?

Mwisho, mnaodai urusi kashindwa vita kuimaliza kwanini akishambulia mnalalamika na akitulia mnabeza, shida nini?

Nyamizi
dudus
Jackal
Tsh
Root
lwaitama1
MK254
4by94
 
Ukweli kabisa binafsi sipendi uonevu,tangu mwanzo nilijaribu sana kuzielewa sababu za Putin kuivamia Russia lakini zilikuwa haziniingii akilini.Nimejaribu kuwa mdadisi kwa walioko upande wa Putin hakuna anaekuja na sababu zenye mashiko,sana sana utaambulia kukashfiwa tu.

Kuna watu hawa pia Imeloa Tsh Proved Aleyn dudus na wengine wengi.Hawa watu wamenifanya kuona kumbe kile nilichokiamini tangu mwanzo wa huu mgogoro nilikuwa sahihi.
 
Kuna thread nilichangia mada kuna mrusi akani quote "naona shoga unawatetea mashoga wenzako" sikupenda kabisa ikabidi nimblock tu. Sijajua kwa nini mtu ukitoa mawazo yako huru mtu ana ku attack na jambo ambalo anajua litakukwaza!
Hilo ndilo limekuwa tusi la karibu 90% ya Pro Russia,na mimi huwa nafanya kublock tu nasonga mbele na wale walioko tayari tujibizane kwa lugha ya kiungwana
 
Ukweli kabisa binafsi sipendi uonevu,tangu mwanzo nilijaribu sana kuzielewa sababu za Putin kuivamia Russia lakini zilikuwa haziniingii akilini.Nimejaribu kuwa mdadisi kwa walioko upande wa Putin hakuna anaekuja na sababu zenye mashiko,sana sana utaambulia kukashfiwa tu.

Kuna watu hawa pia Imeloa Tsh Proved Aleyn dudus na wengine wengi.Hawa watu wamenifanya kuona kumbe kile nilichokiamini tangu mwanzo wa huu mgogoro nilikuwa sahihi.
Puttin sidhani hata kama watendaji wake wanaumelewa, nadhani wanatii mamlaka tu.
 
Back
Top Bottom