Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

kwahiyo kama USA akikosea basi ndo Mataifa mengine yaendelee kukosea ? USA ndo kipimo cha usahihi ? mkiambiwa mnaiabudu USA mnalia lia
Umesoma lakini hujaelewa. Nmesema kelele zinazopigwa Ukraine zipigwe hata akikosea US, zipigwe kwa israel inavyowafanyia wapalestna. Sio kisa US na genge lake kawambia Ukraine ndiko watu wanakufa na nyie wapiga vigelele wake manaanza makelele. Huko kwingine kwani hawafi?
 
Naombeni majibu kwa haya maswali msiruke nawakubali kwa fact wapenda amani.

Ni sababu zipi za msingi zinazokufanya uwapinge?

Na kama mnadai kavamia nchi huru kwanini aivamie Ukraine na si nchi nyingine?

Na kama mnadai anaua hovyo raia na kupiga majengo na sio kambi za jeshi au wanajeshi wapo wapi? Human shield ikitokea ni action ipi inapaswa kufuatwa?

Je kama wapinga vita wanataka amani hizo silaha mnapeleka za nini ?

Hayo matwakwa ya mrusi wakiyafata wanapungukiwa nini?

Mrusi angeweka silaha zake Cuba reaction ya US ingekuwaje?

Vipi urusi akubali nato aweke silaha Ukraine ila na yeye akaweke Cuba marekani angekubali?

Mwisho, mnaodai urusi kashindwa vita kuimaliza kwanini akishambulia mnalalamika na akitulia mnabeza, shida nini?

Nyamizi
dudus
Jackal
Tsh
Root
lwaitama1
MK254
4by94
1.ni uvamizi .
2.alishavamia pia nchi nyingine eg Georgia.
3.Kuna taratibu za kuingia nchi iliyo huru kiutawala , kiuchumi na kisiasa.
4.Alishauriwa sana kusitisha uvamizi ndani ya Ukraine ila akavimba bichwa mf Macrom na Karl Nahammer
5.Ukraine ni nchi huru kiutawala inajipangia mambo yake yote ya kiutawala , Urusi sio UN
6.Cuba ? OP
7. USA + Cuba , OP
8.Hata watutsi walilalamika sana ila walishinda at the end na kelele zao ndo alarm ya kuwa walipambana kujitetea ( Ukraine ) na sio kufanya mauaji ya halaiki km wahutu ( Urusi )

ONGEZA MASWALI YENYE UTIMAMU Mrusi wa namtumbo
 
1.ni uvamizi .
2.alishavamia pia nchi nyingine eg Georgia.
3.Kuna taratibu za kuingia nchi iliyo huru kiutawala , kiuchumi na kisiasa.
4.Alishauriwa sana kusitisha uvamizi ndani ya Ukraine ila akavimba bichwa mf Macrom na Karl Nahammer
5.Ukraine ni nchi huru kiutawala inajipangia mambo yake yote ya kiutawala , Urusi sio UN
6.Cuba ? OP
7. USA + Cuba , OP
8.Hata watutsi walilalamika sana ila walishinda at the end na kelele zao ndo alarm ya kuwa walipambana kujitetea ( Ukraine ) na sio kufanya mauaji ya halaiki km wahutu ( Urusi )

ONGEZA MASWALI YENYE UTIMAMU Mrusi wa namtumbo
ni nini chanzo cha uvamizi ?
 
Mnasapoti wanaosapoti ushoga SASA mnatofauti gani
ushoga upo kila sehemu na sio tabia km uvutaji bangi bali ni tabia zilizo ndan ya mwili , hata wao wanapenda kuwa km ww ila hormoni zinawapinga so hiyo ni km kilema ss kuwapinga ni sw na wale waliokuwa wanaua albino , hlf kituko mnapinga kwny keyboard hlf mnawatumia au hata mnatumika vyumbani , huo unafiki ndo West hawautaki , ova
 
Labda NATO wanataka kuiweka urusi kinganjani ili waendelee kiulaini ueneza mambo Yao?na mambo yako ni kina ushoga na mengine maovu si walitaka waichukue Ukraine ili waweke military base yao ili wawe na uwezo wa kuipiga urusi? of course hamuwezi kuelewa mmeshikiwa akili.
kwan Urusi nan alimwambia avamie Ukraine ?
 
ushoga upo kila sehemu na sio tabia km uvutaji bangi bali ni tabia zilizo ndan ya mwili , hata wao wanapenda kuwa km ww ila hormoni zinawapinga so hiyo ni km kilema ss kuwapinga ni sw na wale waliokuwa wanaua albino , hlf kituko mnapinga kwny keyboard hlf mnawatumia au hata mnatumika vyumbani , huo unafiki ndo West hawautaki , ova
nchi inayosapoti ushoga ni ipi ?
 
Labda NATO wanataka kuiweka urusi kinganjani ili waendelee kiulaini ueneza mambo Yao?na mambo yako ni kina ushoga na mengine maovu si walitaka waichukue Ukraine ili waweke military base yao ili wawe na uwezo wa kuipiga urusi? of course hamuwezi kuelewa mmeshikiwa akili.
ipo Latvia na Estonia so wangetaka hilo wangefanya kupitia Estonia na Latvia washirika wa NATO , muwe mnafuatilia , Pro Russia wengi wana upeo mfupi
 
Mbona hujamlizia kusema kwa na wewe pro Ukraine kindakindaki Bora wakuue.

Russia & USA wote ni monster sisi wote tumechagua upaande wa kusabikia, stick to your side hio democracy unaiona na huruma mnayo jitiisha, Kuna watu Dunia wanahitaji huruma kama hio lkn hamjawah hata siku moja kuwaonea huruma .View attachment 2214706
una uhakika gan hawajawai kuwaonea huruma ? Pro Russia wana chembe za u imbecils
 
Labda NATO wanataka kuiweka urusi kinganjani ili waendelee kiulaini ueneza mambo Yao?na mambo yako ni kina ushoga na mengine maovu si walitaka waichukue Ukraine ili waweke military base yao ili wawe na uwezo wa kuipiga urusi? of course hamuwezi kuelewa mmeshikiwa akili.
Bado hujatoa sababu ya msingi ya kwa nini Putin kaivamia Ukraine,na wala sitoshangaa kwa sababu sio wewe tu hata watendaji waliopo Kremlin wengi wao hawajaielewa.
 
Bado hujatoa sababu ya msingi ya kwa nini Putin kaivamia Ukraine,na wala sitoshangaa kwa sababu sio wewe tu hata watendaji waliopo Kremlin wengi wao hawajaielewa.
nipo dilemma
Ebu nisaidieni sababu ya uvamizi ni ipi ?
 
heheeee pole MKUU
maana nimecheka kama mazuri kwakweli asee
ila kwa hapo wanayumba sana pro RUSSO wenzangu nawaona wengi wanahio kawaida
ingawaje west wanaunga mkono hayo mambo ila sidhanii kama nihalali kuwabandika wenziwao humu ambao hata hamujuani
Mmoja kati ya Pro Russo wanaohimili joto la mjadala huu bila kuwakwaza wengine kwa lugha za maudhi ni wewe.Kongole kwako.
 
kwan kuna shughuli gan Ukraine anayofanya Mrusi mbali na Uvamiz ?
unajua ili tendo litokee lazima kuwe na sababu iliyosukuma tendo hilo lifanyike. Usiruke kwenye effect tu nataka uniambie hatua kwa hatua hadi uvamizi kutokea.
 
Umesoma lakini hujaelewa. Nmesema kelele zinazopigwa Ukraine zipigwe hata akikosea US, zipigwe kwa israel inavyowafanyia wapalestna. Sio kisa US na genge lake kawambia Ukraine ndiko watu wanakufa na nyie wapiga vigelele wake manaanza makelele. Huko kwingine kwani hawafi?
mbona tulikosoa uhusika wa West popote pale mf Libyia , kelele zetu zisingemsaidia Ghadaf km hata umoja wa afrika ( AU ) ulikuwa kimya pia Misri , Algeria na Tunisia zilikuwa training grounds za wasaasi walipanga kumtoa Ghadaf pia huko Iraq umoja wa asia ( ACD ) ulikuwa kimya kipind Iraq inaingia kweny mgogoro na west , pia hata huko Somalia , OAU ilikuwa kimya haikupaza sauti au kuhamasisha waafrika kuungana dhidi ya foreign invasion in Afrika , so naona ni kituko kuwakosoa EU / NATO kwa kujihusisha na Ukraine nchi iliyo kwenye ukanda wao na bara lao , jiulize kwann hawakujisisha (NATO / EU ) na Syria ? walimuacha USA apambane mwenyew huko Syria
 
Back
Top Bottom