Kikapuu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,122
- 1,629
!!!?
Ile iliyovunjika 1990s hadi sasa kadaka nchi ngapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
!!!?
mkuu mbona kimya au unagoogle ?usiruke ruke kwanini hataki nato kusogea Ukraine.
Matatizo gani?sio haikomeshi agenda zingine ukizuia unajitaftia matatizo
Yan ndo Yale Yale kayasema hahah haijafika comment nne mrusi wa Karagwe ashatukanaUmepoteza mwelekeo. Kama kweli ndiye Lwaitama Xavery basi nilifundishwa na mtu ovyo sana japo siamini kama ni wewe kweli
huoni wapinga ajenda hufanywa nini hadi kupakazia watu kesi kwa kulinda maslahi yao. Tamaduni zetu zinakubali ushoga ?Matatizo gani?
Bora wewe upo urusi.Yan ndo Yale Yale kayasema hahah haijafika comment nne mrusi wa Karagwe ashatukana
Ila uzinzi zinakubali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huoni wapinga ajenda hufanywa nini hadi kupakazia watu kesi kwa kulinda maslahi yao. Tamaduni zetu zinakubali ushoga ?
ndio au hapanaIla uzinzi zinakubali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio au hapana.ndio au hapana
Ushoga unakubalika ?
basi huna ujualo nimekuambia jibu ndio au hapana ndio twende kwenye uzinzi.Ndio au hapana.
Watani wetu wengi ni wavaa kobasiAsante kwa kuliuona Hilo.Sisi Ni watu rahimu Sana Ila Warusi wa humu Ni pasua vichwa .
Ndio.basi huna ujualo nimekuambia jibu ndio au hapana ndio twende kwenye uzinzi.
Kwasababu NATO iliundwa kujihami dhidi ya USSR ileee ilikuwa inatisha siyo Urusi kibogoyo,Bora wewe upo urusi.
Eti kwanini urusi hataki Ukraine ajiunge nato?
Hakika mkuu umenenaNaombeni majibu kwa haya maswali msiruke nawakubali kwa fact wapenda amani.
Ni sababu zipi za msingi zinazokufanya uwapinge?
Na kama mnadai kavamia nchi huru kwanini aivamie Ukraine na si nchi nyingine?
Na kama mnadai anaua hovyo raia na kupiga majengo na sio kambi za jeshi au wanajeshi wapo wapi? Human shield ikitokea ni action ipi inapaswa kufuatwa?
Je kama wapinga vita wanataka amani hizo silaha mnapeleka za nini ?
Hayo matwakwa ya mrusi wakiyafata wanapungukiwa nini?
Mrusi angeweka silaha zake Cuba reaction ya US ingekuwaje?
Vipi urusi akubali nato aweke silaha Ukraine ila na yeye akaweke Cuba marekani angekubali?
Mwisho, mnaodai urusi kashindwa vita kuimaliza kwanini akishambulia mnalalamika na akitulia mnabeza, shida nini?
Nyamizi
dudus
Jackal
Tsh
Root
lwaitama1
MK254
4by94
hiki ndicho nilikuwa nakitafuta sasa uko vizuri, ili punguza kujitoa ufahamu. Pande zote sio nzuri kwa urusi na marekani kila mtu yupo kimaslahi zaidi kuliko utu na uhalisia wamaisha kifupi ni wavunjifu wa haki si ndio. Basi simama neutral kuliko kuegemea upande wowote utakuwa better zaidi.Kwasababu NATO iliundwa kujihami dhidi ya USSR ileee ilikuwa inatisha siyo Urusi kibogoyo,
Ndogo za USSR kuitawala Dunia zilizikwa mwaka 1991 baada ya kusambaratishwa!!
Pamoja na wao kudhoofika Lakin NATO ameendelea kuwa imara na kuongeza wanachama!!
Hili Suala linamkera sana Kiongozi wa Urusi ambaye ana ndoto za kudhani siku moja anaweza kurejesha UMOJA huo!!
Mbaya zaidi wanachama wanaoongezeka NATO ni wale waliokuwa USSR,
UKRAINE katika historia ya Urusi ni zaidi ya Estonia Au Lithuania Au Moldova, UKRAINE ndo hata mji mkuu ulitumika Kiev haikuwa MOSCOW!!
Wana intellijensia wengi wa Urusi wana mshikamano na Ukraine na pia siri nyingi za Ukraine wanazijua Urusi na Urusi Kama kuna Taifa linalojua sana mambo yake ya ndani basi ni UKRAINE
Ndo maana hata Ki UKRAINE ni sawa na Kirussia Kwa asilimia zaidi ya 60 ila ki Estonia Au Lativia Au Macedonia language hazifikii hata asilimia 5 ya ufananano na mrusi
Lingine Urusi anaona Ukraine akijiunga na NATO position ya UKRAINE Kwa Urusi ni hatari zaidi kuliko zingine, maana wana Mauripol, Odessa na ile Donbass ni eneo ambalo ni angle nzuri ya kuishambulia Urusi Kama ikitokea ulazima,
Lingine Russia naye anataka atengeneze empire yake kwamba naye ana vinchi vinamtegemea .
Kwenye masuala ya biashara na uwekezaji hata kuwauzia baadhi ya vitu, in case Ukraine akajoin NATO hizo privileges zimeisha sasa,,,,,
UKRAINE INA NATURE YAKE YA MAZINGIRA NI NZURI KUZALISHA URANIUM SANA SANA SANA YAAN SANA hata ZILE Silaha za Nuclear alizo nazo Russia ni Ukraine alimpa Miaka ya 90 ili apewe uhuru wa kujitegemea Kwa mambo yake, na hiyo ilikuwa ni makubaliano
Akachukua silaha zoote za Nuclear akampa Urusi,,
Sasa Russia akiona Hii ni hatari kuwaruhusu NATO KUWEKA MKONO PALE
ILA KWA SASA URUSI MAMBO MENGI YAMEMSHINDA NA HII INAWEZA KUWA TERM YA MWISHO YA PUTIN
BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
tupo pamojaHakika mkuu umenena
Nani kakwambia nataka kuwa better nimfurahishe Mtanzania? Wakati warusi wenyewe niko nao hapa wanalalamika vitendo vya Rais wao mwenyewe ?hiki ndicho nilikuwa nakitafuta sasa uko vizuri, ili punguza kujitoa ufahamu. Pande zote sio nzuri kwa urusi na marekani kila mtu yupo kimaslahi zaidi kuliko utu na uhalisia wamaisha kifupi ni wavunjifu wa haki si ndio. Basi simama neutral kuliko kuegemea upande wowote utakuwa better zaidi.