Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Kwa hiyo unamtolea mtu maneno machafu kwa makusudi halafu hapo hapo unamshauri awe mvumilivu [emoji3][emoji3]Jf unatakiwa uwe mvumilivu Sana aisee.yaani unatakiwa kuzoea mambo mbalimbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unamtolea mtu maneno machafu kwa makusudi halafu hapo hapo unamshauri awe mvumilivu [emoji3][emoji3]Jf unatakiwa uwe mvumilivu Sana aisee.yaani unatakiwa kuzoea mambo mbalimbali
inshu sio kusapoti inshu ni uwepo , Serikali zinatambua tu uwepo wao , muda ukifika hata nchi yako dona country itaunga mkono tu , kwasasa ni unafiki tu ndo unatufanya tuwapinge , KILE NI KILEMAnchi inayosapoti ushoga ni ipi ?
kumbe sasa kwanini urusi hataki sasa ?Ukraine kutaka kujiunga NATO
Asante [emoji122][emoji122]Hazikuingii akilini either ni kwa sababu umeshachagua upande wa kushabikia au akili hizo za kuelewa sababu zao hazipo au vyote kwa pamoja
ww tupe hizo hatua tukueleweshe utoke gizaniunajua ili tendo litokee lazima kuwe na sababu iliyosukuma tendo hilo lifanyike. Usiruke kwenye effect tu nataka uniambie hatua kwa hatua hadi uvamizi kutokea.
ushoga ni kilema cha kuzaliwa ?inshu sio kusapoti inshu ni uwepo , Serikali zinatambua tu uwepo wao , muda ukifika hata nchi yako dona country itaunga mkono tu , kwasasa ni unafiki tu ndo unatufanya tuwapinge , KILE NI KILEMA
ni kuulize ww , maana natambua kila nchi ina uhuru wa kuchagua "who/where to match/bond"kumbe sasa kwanini urusi hataki sasa ?
wapo wa kuzaliwa pia + waliolemazwa na watu km ww either ktk ukuaji au kweny utu uzimaushoga ni kilema cha kuzaliwa ?
usitafute ni kujibu wew unadai kavamia nchi huru. Ukanijibu kwa chanzo cha uvamizi ni kujiunga Nato hii ni moja ya hatua iliyofanya hadi uvamizi utokee, tuendelee. Kwanini urusi hataki Ukraine ajiungeww tupe hizo hatua tukueleweshe utoke gizani
unatafuta nikutukane sasa Mimi sio shoga, kama Mimi shoga basi unanifundishaga wewe. Nilikuwa sijui kama wapo hadi wa kuzaliwa. Kwahiyo asilimia kubwa ya lesbian ni tomboy auwapo wa kuzaliwa pia + waliolemazwa na watu km ww either ktk ukuaji au kweny utu uzima
Kwanza wanaelewa basi? Wapo wapo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ipo Latvia na Estonia so wangetaka hilo wangefanya kupitia Estonia na Latvia washirika wa NATO , muwe mnafuatilia , Pro Russia wengi wana upeo mfupi
ww ni pro Russia tupe sababu zilizokufanya umuunge mkono Urusi kweny huu uvamizusitafute ni kujibu wew unadai kavamia nchi huru. Ukanijibu kwa chanzo cha uvamizi ni kujiunga Nato hii ni moja ya hatua iliyofanya hadi uvamizi utokee, tuendelee. Kwanini urusi hataki Ukraine ajiunge
Kwanza hii Tanzania lini ilipinga ushoga? Hapa ni unatambulika na ruksa,inshu sio kusapoti inshu ni uwepo , Serikali zinatambua tu uwepo wao , muda ukifika hata nchi yako dona country itaunga mkono tu , kwasasa ni unafiki tu ndo unatufanya tuwapinge , KILE NI KILEMA
usiruke ruke kwanini hataki nato kusogea Ukraine.ww ni pro Russia tupe sababu zilizokufanya umuunge mkono Urusi kweny huu uvamiz
sio haikomeshi agenda zingine ukizuia unajitaftia matatizoKwanza hii Tanzania lini ilipinga ushoga? Hapa ni unatambulika na ruksa,
Kumbuka sakata la makonda, afu fuatilia tamko au msimamo wa serikali ndo utajua kitu.
Watu wanahemkwa na kupovukwa bure, na hawana la kufanya.
Wengi ni wale wa ijumaaPro Russia wengi wanaongozwa na mihemko ya kidini eti wanamkomoa Mrekani Bwana Utam
Kabisa mkuu?
Marekani ingetaka weka base Ukraine ingeweka muda mrefu tu, hawakutaka wekaipo Latvia na Estonia so wangetaka hilo wangefanya kupitia Estonia na Latvia washirika wa NATO , muwe mnafuatilia , Pro Russia wengi wana upeo mfupi
Urusi anataka arudishe USSRKabisa mkuu?
eti kwanini urusi hataki Ukraine ajiunge nato?