Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

Kuna thread nilichangia mada kuna mrusi akani quote "naona shoga unawatetea mashoga wenzako" sikupenda kabisa ikabidi nimblock tu. Sijajua kwa nini mtu ukitoa mawazo yako huru mtu ana ku attack na jambo ambalo anajua litakukwaza!
Kamanda kwa dalili hizo ukiwa na smg hutaacha kuwamwaga ubongo wapinzani wa wazo lako .
Ukikashifiwa jibu kwa hoja. Usimblock atakosa elimu
 
Pro Russia wengi wanaongozwa na mihemko ya kidini eti wanamkomoa Mrekani Bwana Utam
Wewe itakua ndio unamkomoa US sababu RUSSIA waislam wamadheheb gani wale MKUU je UCHINA nao waislam wamadheb gani nao!!?
Shida unataka kuugeuza huu uzi kuwa wakidini jamaa unatuchukia sana waislam sijui tulikukosea nini
Tusamehe MKUU ila
US hachukiwi kwa UDINI sababu wenyewe hawana dini nandio maana wanafikia kuchagua LESBIAN pale IKULU ama UKRISTO unaruhusu huo ULESBIAN makanisani!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmoja kati ya Pro Russo wanaohimili joto la mjadala huu bila kuwakwaza wengine kwa lugha za maudhi ni wewe.Kongole kwako.
Ahsante MKUU
Mie nimeona mengi nikiona unakuja na natusi sikujibu ama nakwambia halaf kwaheri
Nandio maana mpaka sasa sija ignore yeyote nawala sita ignore
Nawala sitatukana mtu haya mambo yamitandaoni hayawezi yakafanya nimtusi mtu kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ushoga upo kila sehemu na sio tabia km uvutaji bangi bali ni tabia zilizo ndan ya mwili , hata wao wanapenda kuwa km ww ila hormoni zinawapinga so hiyo ni km kilema ss kuwapinga ni sw na wale waliokuwa wanaua albino , hlf kituko mnapinga kwny keyboard hlf mnawatumia au hata mnatumika vyumbani , huo unafiki ndo West hawautaki , ova
Aisee umeua .....yaani wasipoelewa hapo basi wasubir siku wakizaa mtoto dume jike ndo watajua unamaanisha nn...
 
Kusoma Ukraine Yaan unaona mimi nasoma?

Basi ngoja nikudadavulie kidogo

Nimesoma shule ya msingi ****
Sekondari nikasoma Bukoba Secondary ***
A Level Nikasoma PUGU 1978-1981
Nikaenda JKT mwaka 1982 Nilipangwa kigoma Lakin baadae nikapelekwa Dar es salaam Kwa ajili ya kulinda Pipe la Kwenda Zanzibar Kunduchi… Tegeta…
Baadae nikaanza Doria za Usiku JKT wawili tulikuwa tunapewa askari Polisi mmoja kwenye gari …
Kwanini nilienda Kigoma Alafu Muda mfupi Dar Ni kwasababu mwaka wetu tulifaulu Kwenda University tulikuwa 72 tu nchi nzima Kwahiyo sisi tulikaa JKT kidogo ..

Chuo kikuu nikasoma UDSM (Chemical and process engineering) japo ndoto nilitaka Nisomee agricultural engineering SUA mwaka 1983

Mwaka 1987 nikaenda Australia Darwin hadi 1989 Nikarejea Tanzania,

Nikapangiwa kazi maalumu lumumba pamoja na kwamba nimesoma mambo ya engineering.

Baadae nikaenda Malaysia kipindi cha Mkapa..

Nikarejea Tanzania …

Ndo mwaka 2012 Nikaletwa Russia Tupo wengi wa namna hiyo ndo maana sijataja Primary niliposoma ingekuwa rahisi kunijua…

Wengine wako Texas wengine wapo Japan ila Russia kama 6 Au 7

Mchumba wa pasko Yule alosoma Urusi kidogo nikutane naye haha
Cc Pascal Mayalla Sky Eclat
Britanicca ( Elimu sina ya siku hizi kama unayojua)
😀😀😀❤ umetisha mkuu kwai saiv upo russia daaa
Nadhani sasa vijana hawa undergraduate wataweka heshima,maana kwa elimu zao hizi za kugoogle kila kitu huwa wanajiona wanajua kila kitu[emoji3]
Jamaa ametoa hoja zinazo eleweka ila wewe ni pro ukraine ambaye ni mweupe
 
Wewe itakua ndio unamkomoa US sababu RUSSIA waislam wamadheheb gani wale MKUU je UCHINA nao waislam wamadheb gani nao!!?
Shida unataka kuugeuza huu uzi kuwa wakidini jamaa unatuchukia sana waislam sijui tulikukosea nini
Tusamehe MKUU ila
US hachukiwi kwa UDINI sababu wenyewe hawana dini nandio maana wanafikia kuchagua LESBIAN pale IKULU ama UKRISTO unaruhusu huo ULESBIAN makanisani!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app

Ha ha ha!! Nyie huwa mnamuabudu yeyote anayeshindana na Marekani, kwenu haijalishi kama ni kafiri au mpagani, almradi anathubutu kutunisha misuli dhidi ya Marekani.....
 
Kusoma Ukraine Yaan unaona mimi nasoma?

Basi ngoja nikudadavulie kidogo

Nimesoma shule ya msingi ****
Sekondari nikasoma Bukoba Secondary ***
A Level Nikasoma PUGU 1978-1981
Nikaenda JKT mwaka 1982 Nilipangwa kigoma Lakin baadae nikapelekwa Dar es salaam Kwa ajili ya kulinda Pipe la Kwenda Zanzibar Kunduchi… Tegeta…
Baadae nikaanza Doria za Usiku JKT wawili tulikuwa tunapewa askari Polisi mmoja kwenye gari …
Kwanini nilienda Kigoma Alafu Muda mfupi Dar Ni kwasababu mwaka wetu tulifaulu Kwenda University tulikuwa 72 tu nchi nzima Kwahiyo sisi tulikaa JKT kidogo ..

Chuo kikuu nikasoma UDSM (Chemical and process engineering) japo ndoto nilitaka Nisomee agricultural engineering SUA mwaka 1983

Mwaka 1987 nikaenda Australia Darwin hadi 1989 Nikarejea Tanzania,

Nikapangiwa kazi maalumu lumumba pamoja na kwamba nimesoma mambo ya engineering.

Baadae nikaenda Malaysia kipindi cha Mkapa..

Nikarejea Tanzania …

Ndo mwaka 2012 Nikaletwa Russia Tupo wengi wa namna hiyo ndo maana sijataja Primary niliposoma ingekuwa rahisi kunijua…

Wengine wako Texas wengine wapo Japan ila Russia kama 6 Au 7

Mchumba wa pasko Yule alosoma Urusi kidogo nikutane naye haha
Cc Pascal Mayalla Sky Eclat
Britanicca ( Elimu sina ya siku hizi kama unayojua)
Kwaiyo saiv upo kwa mzee putin unakula upepo tu, heshima yako ila mimi ni mzee kijana

Usichukie sana kila mahali pawe na A na B ila hoja nimsingi wa mambo yote
 
Kusoma Ukraine Yaan unaona mimi nasoma?

Basi ngoja nikudadavulie kidogo

Nimesoma shule ya msingi ****
Sekondari nikasoma Bukoba Secondary ***
A Level Nikasoma PUGU 1978-1981
Nikaenda JKT mwaka 1982 Nilipangwa kigoma Lakin baadae nikapelekwa Dar es salaam Kwa ajili ya kulinda Pipe la Kwenda Zanzibar Kunduchi… Tegeta…
Baadae nikaanza Doria za Usiku JKT wawili tulikuwa tunapewa askari Polisi mmoja kwenye gari …
Kwanini nilienda Kigoma Alafu Muda mfupi Dar Ni kwasababu mwaka wetu tulifaulu Kwenda University tulikuwa 72 tu nchi nzima Kwahiyo sisi tulikaa JKT kidogo ..

Chuo kikuu nikasoma UDSM (Chemical and process engineering) japo ndoto nilitaka Nisomee agricultural engineering SUA mwaka 1983

Mwaka 1987 nikaenda Australia Darwin hadi 1989 Nikarejea Tanzania,

Nikapangiwa kazi maalumu lumumba pamoja na kwamba nimesoma mambo ya engineering.

Baadae nikaenda Malaysia kipindi cha Mkapa..

Nikarejea Tanzania …

Ndo mwaka 2012 Nikaletwa Russia Tupo wengi wa namna hiyo ndo maana sijataja Primary niliposoma ingekuwa rahisi kunijua…

Wengine wako Texas wengine wapo Japan ila Russia kama 6 Au 7

Mchumba wa pasko Yule alosoma Urusi kidogo nikutane naye haha
Cc Pascal Mayalla Sky Eclat
Britanicca ( Elimu sina ya siku hizi kama unayojua)
Wewe ni msaidizi wa Mzee Kinana ?

Alafu usisahau kumuombea Musiba msamaha kwa Kinana na Membe.

Kuna kipindi ulipotea humu, hasa baada ya zile 'clip' za mazungumzo yenu kuvujishwa ila baada ya uteuzi wa Kinana na wewe umerejea kwa kasi sana.
britanicca
 
Wewe ni msaidizi wa Mzee Kinana ?

Alafu usisahau kumuombea Musiba msamaha kwa Kinana na Membe.

Kuna kipindi ulipotea humu, hasa baada ya zile 'clip' za mazungumzo yenu kuvujishwa ila baada ya uteuzi wa Kinana na wewe umerejea kwa kasi sana.
britanicca
Kwani we ndo Musiba mkuu ! Acha utani mi si msaidizi wa Kinana
 
Back
Top Bottom