Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

Tathmini: Utani wa mtandaoni kati ya Pro Zelensky vs Pro Putin

ushoga upo kila sehemu na sio tabia km uvutaji bangi bali ni tabia zilizo ndan ya mwili , hata wao wanapenda kuwa km ww ila hormoni zinawapinga so hiyo ni km kilema ss kuwapinga ni sw na wale waliokuwa wanaua albino , hlf kituko mnapinga kwny keyboard hlf mnawatumia au hata mnatumika vyumbani , huo unafiki ndo West hawautaki , ova
Dooooh[emoji22][emoji22][emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Puttin sidhani hata kama watendaji wake wanaumelewa, nadhani wanatii mamlaka tu.
Madikteka bhana na kwenye uchaguzi utasikia wameshinda kwa 98% ngoja wang'oke madarakani furaha nchi nzima!
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
unatafuta nikutukane sasa Mimi sio shoga, kama Mimi shoga basi unanifundishaga wewe. Nilikuwa sijui kama wapo hadi wa kuzaliwa. Kwahiyo asilimia kubwa ya lesbian ni tomboy au
duh unaonekana ni mkaririji mzuri na sio muelewa , nimeandika "na watu kama wewe " sijasema " na wewe "

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
usiruke ruke kwanini hataki nato kusogea Ukraine.
ni jukumu la ww unaeshabikia ushushe nondo tukuweke sawa , binafsi sishabikii uvamiz karne ya 21 ( barbaric mentality ), so ww unaoona ni ujanja ndo utuambie ss kwann amzuie , maana NATO ingekuwa tishio kwa Urusi bas Urusi angeumia kupitia Latvia na Estonia

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa mkuu?

eti kwanini urusi hataki Ukraine ajiunge nato?
una maswali ya kitoto , majibu unayajua ila unakaza fuvu , kwa kila namna mkosaji ni Urusi , Urusi amekuwa anaingilia siasa za Ukraine kwa muda sana , ila Ukraine alikuwa kimya ikafika muda wananchi wakaungana na kumtoa aliyekuwa kibaraka wa Urusi mwaka 2014, Huyo kibaraka akakimbilia Ukraine mashariki then akaanzisha harakati za kutaka Majimbo ya mashariki kutaka kujitenga na Ukraine sababu majimbo hayo yanazungumza Kirusi , vikundi vilisumbua sana ila ikafika muda akaingia Zelewinsky mwaka 2019 akaja na upepo akawadhibiti hivyo vikundi kisha akaendeleza agenda ya kujiunga na Umoja wa Ulaya na NATO kwa usalama wa Ukraine dhidi ya Urusi aliyekuwa muonevu wao kwa muda sana , Putin alipoona ushawishi wake unakaribia kudhorota akaamua kujihusisha moja kwa moja kwenye mapigano hayo , Putin akatumia NATO iwe tiketi ya kuivamia Ukraine ila kiukweli tujiulize kwann Hakuzivamia Estonia na Latvia waliojiunga na NATO licha ya kuwa majirani na Urusi ? unaona kuwa hizo sehemu hazikuwa za maslai kwa Urusi ila mashariki ya Ukraine kuna maliasili za kutosha so Ukraine kujiunga NATO itakuwa ngumu kwa Putin kuendelea Kuexploit Ukraine sababu any attack in Ukraine litajibiwa na members wote wa NATO , so Putin kwanza anazuia NATO sio kwa usalama wake bali ni maslai yake ndani ya Ukraine

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
huoni wapinga ajenda hufanywa nini hadi kupakazia watu kesi kwa kulinda maslahi yao. Tamaduni zetu zinakubali ushoga ?
ushoga hauna tamaduni , hata huko ulaya uliwai kuwa unapingwa ila hii jamii inaongezeka na sio mbaya kuwatambua tu maana wanajikuta hivyo sio kwa kuchagua kama unavyojikuta mwanamke au mwanaume bila kuchagua

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kwasababu NATO iliundwa kujihami dhidi ya USSR ileee ilikuwa inatisha siyo Urusi kibogoyo,

Ndoto za USSR kuitawala Dunia zilizikwa mwaka 1991 baada ya kusambaratishwa!!

Pamoja na wao kudhoofika Lakin NATO ameendelea kuwa imara na kuongeza wanachama!!

Hili Suala linamkera sana Kiongozi wa Urusi ambaye ana ndoto za kudhani siku moja anaweza kurejesha UMOJA huo!!

Mbaya zaidi wanachama wanaoongezeka NATO ni wale waliokuwa USSR,

UKRAINE katika historia ya Urusi ni zaidi ya Estonia Au Lithuania Au Moldova, UKRAINE ndo hata mji mkuu ulitumika Kiev haikuwa MOSCOW!!

Wana intellijensia wengi wa Urusi wana mshikamano na Ukraine na pia siri nyingi za Ukraine wanazijua Urusi na Urusi Kama kuna Taifa linalojua sana mambo yake ya ndani basi ni UKRAINE

Ndo maana hata Ki UKRAINE ni sawa na Kirussia Kwa asilimia zaidi ya 60 ila ki Estonia Au Lativia Au Macedonia language hazifikii hata asilimia 5 ya ufananano na mrusi

Lingine Urusi anaona Ukraine akijiunga na NATO position ya UKRAINE Kwa Urusi ni hatari zaidi kuliko zingine, maana wana Mauripol, Odessa na ile Donbass ni eneo ambalo ni angle nzuri ya kuishambulia Urusi Kama ikitokea ulazima,

Lingine Russia naye anataka atengeneze empire yake kwamba naye ana vinchi vinamtegemea .

Kwenye masuala ya biashara na uwekezaji hata kuwauzia baadhi ya vitu, in case Ukraine akajoin NATO hizo privileges zimeisha sasa,,,,,

UKRAINE INA NATURE YAKE YA MAZINGIRA NI NZURI KUZALISHA URANIUM SANA SANA SANA YAAN SANA hata ZILE Silaha za Nuclear alizo nazo Russia ni Ukraine alimpa Miaka ya 90 ili apewe uhuru wa kujitegemea Kwa mambo yake, na hiyo ilikuwa ni makubaliano
Akachukua silaha zoote za Nuclear akampa Urusi,,
Sasa Russia akiona Hii ni hatari kuwaruhusu NATO KUWEKA MKONO PALE

Kimsingi makubaliano ya UKRAINE Kubaki Neutral hayana mashiko tena kwakuwa sasa Miaka imesharuhusu na Ukraine ni Taifa HURU hapangiwi awe na urafiki na nani na awe na uadui na nani,

Juzi nilikuwa Albania nimekutana na familia ya Kirusi ambayo wameenda huko baada ya Kutishwa kusapot upinzani Yaan walikuwa wanafanya kazi kwenye platform ya Telegram na wakawa wanaendekeza mijadala ya siasa na kutoa taarifa zaidi za Upinzani.

Jambo ambalo lilimkera Putin wakaamua kukimbia, hiyo familia ya Yuria Kononenko wameshare na mimi mambo mengi sana na kwenye kitabu ntakacho andika kuna mengi ntayaweka,

Ila Urusi Kwa sasa wanaona kuna haja ya kuacha uongozi wa ubabe na udikteta ndo inapelekea kufanya maamuzi ya hovyo na kuvamia nchi nyingine bila kushauriana na walio wazunguka

ILA KWA SASA URUSI MAMBO MENGI YAMEMSHINDA NA HII INAWEZA KUWA TERM YA MWISHO YA PUTIN

BRITANICCA ENCYCLOPEDIA
heshima kwako mkuu

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
hiki ndicho nilikuwa nakitafuta sasa uko vizuri, ili punguza kujitoa ufahamu. Pande zote sio nzuri kwa urusi na marekani kila mtu yupo kimaslahi zaidi kuliko utu na uhalisia wamaisha kifupi ni wavunjifu wa haki si ndio. Basi simama neutral kuliko kuegemea upande wowote utakuwa better zaidi.
Kwa kinachotokea Ukraine lazima ukemee Urusi , maslai ya Urusi ww yanakusaidia nn ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hata haujielewe farisi ameuliza maswali pale juu hamja yajibu toa hoja kwanini unaitetea ukraine
Ila pro ukraine mihemko ndo inawaendeza hata hamjielewe
kashajibiwa muda tu , majibu kayaona ila kachuna , na nmemsisitiza aulize maswali yaliyopevuka maana kwenye hayo.maswali sijaona swali pevu , ingekuwa paper , nautafuta u TO

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Nani kakwambia nataka kuwa better nimfurahishe Mtanzania? Wakati warusi wenyewe niko nao hapa wanalalamika vitendo vya Rais wao mwenyewe ?

Neutrality inakuwa kwenye mambo ya msingi na ya maana ila siwezi kumuunga mkono Putin Kwa anayoyafanya Hivi ninyi sikia tu kutawaliwa kidikteta TANZANIA HAIJAWAI ONJA HATA ROBO YA KUTAWALIWA KIDIKTETA KAMA ANAVYOTAWALA PUTIN

watu wamepoteza ndugu kila siku , jeshini chamber za kuwanyonga wanaopinga zimejaa kila kona!

Vyumba vya juice za Polonium zimejaa Kwa watu anaowaita na kula nao breakfast kesho Au keshokutwa wanaondoka

Tuje Kwa masuala ya uhuru wa habari

Kuna mtandao unaitwa Telegram watu wanadhani ni wa wa Marekani kutokana na kuwa HURU Hapana huu

Ulianzishwa na Russians wawili ambao ni mtu na mdogo wake, walioikimbia nchi yao. Sasa hivi Pavel Valeryevich Durov. Ambaye ndiye anayeiendesha Telegram anaishi Dubai

Kutokana na kuikimbia nchi

, kampuni yake ya kwanza aliyoianzisha na kaka yake walimpora ndipo alipoondoka Russia akaamua kuiendeleza nje ya nchi kwa kuisajili kama Telegram ikiwa na makao makuu Ujerumani baadae akaihamishia Dubai ma sasa ameshapewa uraia wa huko.

Chanzo cha kumuandama yeye na kampuni yake ilikuwa ni kitendo cha kuwapa sana platform wapinzani na kuyapa platform madudu yanayoibuliwa dhidi ya Serikali. Mdipo Putin akatuma watu kuinunua akagoma, {mfano kama hapa TANZANIA Magufuli Angemwambia Maxence Melo kwamba niuzie hii kampuni ili kuziba mdomo }

ila baadaye akaondolewa na board kwa kigezo kuwa miaka kadhaa nyuma aliwahi kuandika barua ya kujiuzuru na hakuwahi kui recall. Kampuni akanyang'anywa wakapewa kampuni amnayo ni rafiki na serikali


Putin ni mshenzi sana nimeandika hapo nyuma tarehe 13-28 April nilikuwa albania na nilikaribishwa na Kononenko Yuria ambaye alikuwa anafanya kazi na Jamaa hawa wanalaani sana , maana wafanyakazi wawili Upande wa IT waliuwawa Kwa kutotoa taarifa sahihi za Jamaa walipo


Britanicca
thanks , Putin kwa nje anaonekana kuwa na vyote hivyo , dj mlete kati Britanicca na wimbo wa "Waiter ongeza nyingine"

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom