Nani kakwambia nataka kuwa better nimfurahishe Mtanzania? Wakati warusi wenyewe niko nao hapa wanalalamika vitendo vya Rais wao mwenyewe ?
Neutrality inakuwa kwenye mambo ya msingi na ya maana ila siwezi kumuunga mkono Putin Kwa anayoyafanya Hivi ninyi sikia tu kutawaliwa kidikteta TANZANIA HAIJAWAI ONJA HATA ROBO YA KUTAWALIWA KIDIKTETA KAMA ANAVYOTAWALA PUTIN
watu wamepoteza ndugu kila siku , jeshini chamber za kuwanyonga wanaopinga zimejaa kila kona!
Vyumba vya juice za Polonium zimejaa Kwa watu anaowaita na kula nao breakfast kesho Au keshokutwa wanaondoka
Tuje Kwa masuala ya uhuru wa habari
Kuna mtandao unaitwa Telegram watu wanadhani ni wa wa Marekani kutokana na kuwa HURU Hapana huu
Ulianzishwa na Russians wawili ambao ni mtu na mdogo wake, walioikimbia nchi yao. Sasa hivi
Pavel Valeryevich Durov. Ambaye ndiye anayeiendesha Telegram anaishi Dubai
Kutokana na kuikimbia nchi
, kampuni yake ya kwanza aliyoianzisha na kaka yake walimpora ndipo alipoondoka Russia akaamua kuiendeleza nje ya nchi kwa kuisajili kama Telegram ikiwa na makao makuu Ujerumani baadae akaihamishia Dubai ma sasa ameshapewa uraia wa huko.
Chanzo cha kumuandama yeye na kampuni yake ilikuwa ni kitendo cha
kuwapa sana platform wapinzani na kuyapa platform madudu yanayoibuliwa dhidi ya Serikali. Mdipo Putin akatuma watu kuinunua akagoma, {mfano kama hapa TANZANIA Magufuli Angemwambia
Maxence Melo kwamba niuzie hii kampuni ili kuziba mdomo }
ila baadaye akaondolewa na board kwa kigezo kuwa miaka kadhaa nyuma aliwahi kuandika barua ya kujiuzuru na hakuwahi kui recall. Kampuni akanyang'anywa wakapewa kampuni amnayo ni rafiki na serikali
Putin ni mshenzi sana nimeandika hapo nyuma tarehe 13-28 April nilikuwa albania na nilikaribishwa na Kononenko Yuria ambaye alikuwa anafanya kazi na Jamaa hawa wanalaani sana , maana wafanyakazi wawili Upande wa IT waliuwawa Kwa kutotoa taarifa sahihi za Jamaa walipo
Britanicca