Ni wa kupuuzia tu!Kuna thread nilichangia mada kuna mrusi akani quote "naona shoga unawatetea mashoga wenzako" sikupenda kabisa ikabidi nimblock tu. Sijajua kwa nini mtu ukitoa mawazo yako huru mtu ana ku attack na jambo ambalo anajua litakukwaza!
Yaani humu kunafunza kuwa na ngozi ya chuma walahiJf unatakiwa uwe mvumilivu Sana aisee.yaani unatakiwa kuzoea mambo mbalimbali
Hiyo sababu haina mashiko hata kidogo.Putin analala usiku,anaota ndoto mbaya akiamka asubuhi anaamrisha jeshi likavamie,kumbe ni hofu ya ndoto tu.Ndiyo maana baadhi ya majenerari hawakukubaliana na yeye swala la kuvamia.Unazingua wewe yani, Ukraine sio threat kwake wakati alitaka amkaribishe adui wake Marekani aweke mitambo yake
Tatizo la Putin ana ukunguru mwingi!Hiyo sababu haina mashiko hata kidogo.Putin analala usiku,anaota ndoto mbaya akiamka asubuhi anaamrisha jeshi likavamie,kumbe ni hofu ya ndoto tu.Ndiyo maana baadhi ya majenerari hawakukubaliana na yeye swala la kuvamia.
Me siwezi panic na sipendi vita kabisa ila kwenye vita hivi russia yupo sahihi, ukraine anameletea majambazi na wauaji kwenye mipàka yake lazima ajiteteeWeka hoja ujibiwe kwa hoja,ukileta vijembe utajibiwa kwa vijembe.Wewe ni mmoja wao aliowasema hapa mtoa mada,mnapanic haraka sana.
Nashukuru boss kwa ukumbusho wa namna ya kuandika neno hili " Mungu"Si bora yeye kuliko wewe ambae hujui hata kuandika neno Mungu
Kweli huu ni uzi wa utani! Asubuhi njema.Hiyo sababu haina mashiko hata kidogo.Putin analala usiku,anaota ndoto mbaya akiamka asubuhi anaamrisha jeshi likavamie,kumbe ni hofu ya ndoto tu.Ndiyo maana baadhi ya majenerari hawakukubaliana na yeye swala la kuvamia.
Watu mnatokwa hadi mishipa ya shingo kwa jazba wakati si Putin wala Zelensiky anaejua hata kama kuna JFKweli huu ni uzi wa utani! Asubuhi njema.
Pole Mkuu. Ha ha haaaa!Watu mnatokwa hadi mishipa ya shingo kwa jazba wakati si Putin wala Zelensiky anaejua hata kama kuna JF
A)Ukraini ni nchi huru ina haki ya kujilinda na kuwa allies yeyeote Kwa maslai ya uma wake.kupinga uvamizi ndio fact pekee naomba japo fact nne zenye mashiko
A)Ukraini ni nchi huru ina haki ya kujilinda na kuwa allies yeyeote Kwa maslai ya uma wake.Naombeni majibu kwa haya maswali msiruke nawakubali kwa fact wapenda amani.
Ni sababu zipi za msingi zinazokufanya uwapinge?
Na kama mnadai kavamia nchi huru kwanini aivamie Ukraine na si nchi nyingine?
Na kama mnadai anaua hovyo raia na kupiga majengo na sio kambi za jeshi au wanajeshi wapo wapi? Human shield ikitokea ni action ipi inapaswa kufuatwa?
Je kama wapinga vita wanataka amani hizo silaha mnapeleka za nini ?
Hayo matwakwa ya mrusi wakiyafata wanapungukiwa nini?
Mrusi angeweka silaha zake Cuba reaction ya US ingekuwaje?
Vipi urusi akubali nato aweke silaha Ukraine ila na yeye akaweke Cuba marekani angekubali?
Mwisho, mnaodai urusi kashindwa vita kuimaliza kwanini akishambulia mnalalamika na akitulia mnabeza, shida nini?
Nyamizi
dudus
Jackal
Tsh
Root
lwaitama1
MK254
4by94
Si nikataka kushangaa tangu lini na wewe ukawa mtu wa kucatch mafeelings kirahisi vile,uwe na jioni njema kama upo hapa kwa Chief Hangaya au asubuhi njema kama upo kwa Mzee Biden hasa mitaa ya New York where dreams are made of [emoji3][emoji3]Pole Mkuu. Ha ha haaaa!
Warusi wa kibaigwa babu yenu andunje putin muda c mrefu ataomba pooo kwa joti wa Ukraine.
Nimehamaa Buguruni kwa mnyamani Sasa ivi nipo Siberia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna Mrusi mmoja humu wa buguruni kwa Mnyamani wa kuitwa green rajab na mwenzie Mrusi wa Tandika kaburi 1 STRUGGLE MAN
Hao jamaa kwanza source zao huwa hazipatikani mtandaoni kirahisi kuzipata lazima uwe pembeni na google translate ya Russian na kiingereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha..Kuna Mrusi mmoja humu wa buguruni kwa Mnyamani wa kuitwa green rajab na mwenzie Mrusi wa Tandika kaburi 1 STRUGGLE MAN
Hao jamaa kwanza source zao huwa hazipatikani mtandaoni kirahisi kuzipata lazima uwe pembeni na google translate ya Russian na kiingereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hoja, Kuna mrusi mmoja humu Hana hoja zaidi ya kuita wenzake mashoga, warusi wengi humu ukiwazidi kidogo mtazamo utayaoga matusi.
Ni Mimi msoma comments za wachangiaji.