Tzmzalendo og
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 337
- 136
Mambo yameanza kuwekwa wazi😂😂😂. Baada ya ripot ya CAG kuna walevi walisikika wakisema hvoo😂😂Je makusanyo ya kodi ya April yalitangazwa? Taswira tungeipata kuanzia hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yameanza kuwekwa wazi😂😂😂. Baada ya ripot ya CAG kuna walevi walisikika wakisema hvoo😂😂Je makusanyo ya kodi ya April yalitangazwa? Taswira tungeipata kuanzia hapo.
Mlikuwa mnakusanya kodi ama mnawapora watu pesa zao - Mama endelea kusanya kodi usipore wananchi wako.Kodi ndio msingi Wa kila kitu. Katikà kutekeleza mipango ya Taifa lolote. Hebu tusaidiane kupeana mrejesho Wa makusanyo ya kodi kwa mwezi Wa NNE na watano. Mama amesisitiza watu walipe kodi bila shurti.
Mwitikio ukoje?
Hapoo sasa. But watakwambia tumepata uhuru wa kupost matapishi yoyote mtandaoni so hyo syo muhim kwetu nyumbuHadi Januari itakuwa too late!! Lazima tujue mwelekeo Wa makusanyo ya kodi mapema ili kama kuna kasoro mahali irekebishwe mapema! Hatutegemei makusanyo kushuka kuliko mwaka Jana! Utaratibu Wa kutangaza mà kusanyo kila mwezi kwa wakati uendelee, vinginevyo TRA watalala na wataishia kupokea rushwa tu. Hatutakubali tarakimu ya billions, ni trillions tu ili kazi iendelee.
R.i.p bob marley... emancipate yourself from mental slavery, non but ourselves can free our minds!
Nimeishia hapo et Nchi ilikuwepo kitambo nikajua yanayofuata ni🎃🎃🤯Sasa wewe si ukalipe kwenye hizo biashara zako, hii nchi imekuwepo kitambo tu, makodi ya hivyo ya mwendazake yaliua uchumi, na hela alikwapua akapeleka anapopajua,bado kelele za kijinga zinaendelea
Tunazungumzia kodi!! Hivi mfanyabiashara kuambiwa atoe risiti za EFD hapo à meporwa? Hakuna aliyeporwa, ila tabia ya kukwepa kodi haikuvumiliwa kabisa! Kulikuwa na zero tollerance kwa mkwepa kodi! Bila hivyo wabongo lazima wakupkige!! Inavyoelekea wafanya biashara wengine wameshakaa mkao wa kukwepa kodi!!Mlikuwa mnakusanya kodi ama mnawapora watu pesa zao - Mama endelea kusanya kodi usipore wananchi wako.
Tulishazika propaganda za kupika data na kutangaza ili hali ni uongo,sasa hatupigo kelele tunafanya tuJe makusanyo ya kodi ya April yalitangazwa? Taswira tungeipata kuanzia hapo.
WEWE UMELIPA KWA UPANDE WANGU BADOKodi ndio msingi Wa kila kitu. Katikà kutekeleza mipango ya Taifa lolote. Hebu tusaidiane kupeana mrejesho Wa makusanyo ya kodi kwa mwezi Wa NNE na watano. Mama amesisitiza watu walipe kodi bila shurti.
Mwitikio ukoje?
Kuna kitu umeona kimekwama kufanyika sababu kodi imeshuka au ndiyo unademka tu?Kodi ndio msingi Wa kila kitu. Katikà kutekeleza mipango ya Taifa lolote. Hebu tusaidiane kupeana mrejesho Wa makusanyo ya kodi kwa mwezi Wa NNE na watano. Mama amesisitiza watu walipe kodi bila shurti.
Mwitikio ukoje?
Si suala LA kupiga kelele Bali ni suala la uwazi/transparency ambayo ni msingi mojawapo Wa utawala bora!!, mambo ya kimya kimya tutapigwa changa la macho!! Pesa tunazitoa sisi lazima tupewe feedback! Tunasubiri tutangaziwe makusanyo ya kodi ya April kisha May!!Tulishazika propaganda za kupika data na kutangaza ili hali ni uongo,sasa hatupigo kelele tunafanya tu
Mpigaji mahususi na genge lake hawapo sasa,na masalia yanapukutika mdogomdogoSi suala LA kupiga kelele Bali ni suala la uwazi/transparency ambayo ni msingi mojawapo Wa utawala bora!!, mambo ya kimya kimya tutapigwa changa la macho!! Pesa tunazitoa sisi lazima tupewe feedback! Tunasubiri tutangaziwe makusanyo ya kodi ya April kisha May!!