Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Twende na Rungwe..Rungwe ndio rais wa mioyo ya watanzania wengine wanapiga kelele tu
Goodnight sis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende na Rungwe..Rungwe ndio rais wa mioyo ya watanzania wengine wanapiga kelele tu
Mkombozi wa kweli wa Tanzania ni ELIMU kitu ambacho watawala hawataki kabisa kutupatia, wengi tunadhani DIV:1 zetu ktk NECTA exams ndio elimu bora.Huyo Msaliti Lissu anahangaika tu!
Malizia kinywaji chako mapema kabla hujageuzwa asusa pindi utakapo poteza kumbukumbu zako kutokana ulevi wako. Kwa kutuambia hayo, ni lazima ukubali kuwa unaweka rehani heshima yako mbele ya jamii.Malizia bia ukalale kabla ya wahuni wa kinondoni hawajaanza kufanya yao kwa walevi
😂😂😂 Watu mnaongea aisee.Malizia bia ukalale kabla ya wahuni wa kinondoni hawajaanza kufanya yao kwa walevi