Tathmini ya uwepo wa Corona Tanzania

Tathmini ya uwepo wa Corona Tanzania

Sina jirani wala ndugu aliathirika na huu ugonjwa. Huenda upo ila ni kwa idadi ndogo sana ndo maana serikali imeruhusu raia kuendelea na mishe zao za kila siku. Sidhani kama serikali itawaachia raia wake waendelee na shughuli zao wakafe kwa haraiki, haina faida kwa serikali kwa vyovyote vile haijalishi umesimamia angle ipi. Kuna kitu serikali inakijua kuhusu hili, tuwaamini.
 
tulipomkabidhi MUNGU hii VITA ndipo tuliposhinda.
"mtoto hawezi kumuomba baba yake MKATE alafu baba akampa JIWE.".
(nukuu ya yesu)
NA endapo watu wangeendelea kuumwa na kufa
Basi magufuli angechekwa sana .
Ila MUNGU amemuokoa na hyo AIBU.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

Hakika ni kweli, hili ndilo lililotuokoa. Corona ilishika kasi machi,april na mei mwanzoni lakini baada ya hapo kumekuwa na tofauti kubwa sana. Pamoja na kuwa watu walikuwa wanajiuguza ndani wenyewe lkn taarifa zilikuwa zinasikika, maofisini, mtaani, ndugu,n.k lakini kwa sasa kuna utulivu mkubwa ila corona bado ipo na Mungu ataendelea kutupigania.
 
Angechekwa sana huyu mzee.
Kwenye ugonjwa mzito kama huu kuwaambiwa wananchi wako wamuombe MUNGU, wajifukize wale na malimao na tangawizi.
ni wazi kwa akili za kawaida ni UCHIZI.
ila alisimamia msimamo wake.
Hakika ni kweli, hili ndilo lililotuokoa. Corona ilishika kasi machi,april na mei mwanzoni lakini baada ya hapo kumekuwa na tofauti kubwa sana. Pamoja na kuwa watu walikuwa wanajiuguza ndani wenyewe lkn taarifa zilikuwa zinasikika, maofisini, mtaani, ndugu,n.k lakini kwa sasa kuna utulivu mkubwa ila corona bado ipo na Mungu ataendelea kutupigania.
 
Sina jirani wala ndugu aliathirika na huu ugonjwa. Huenda upo ila ni kwa idadi ndogo sana ndo maana serikali imeruhusu raia kuendelea na mishe zao za kila siku. Sidhani kama serikali itawaachia raia wake waendelee na shughuli zao wakafe kwa haraiki, haina faida kwa serikali kwa vyovyote vile haijalishi umesimamia angle ipi. Kuna kitu serikali inakijua kuhusu hili, tuwaamini.

Watu wengi walianza kujifukiza na kunywa malimau na tangawizi,lkn wengi wamepata mild symptoms na vile corona imekuja na stigma wengi walificha na kujiuguza ndani ndani huku wakiendelea na mishe kawaida.
 
Angechekwa sana huyu mzee.
Kwenye ugonjwa mzito kama huu kuwaambiwa wananchi wako wamuombe MUNGU, wajifukize wale na malimao na tangawizi.
ni wazi kwa akili za kawaida ni UCHIZI.
ila alisimamia msimamo wake.
Hapa ndipo nilipomkubali sana Mungu amtunze.
 
Hapa ndipo nilipomkubali sana Mungu amtunze.
Sidhani kama Mungu ndio sababu kuu, kwasababu nchi nyingi kama sio zote pia zilimuomba Mungu, tofauti inawezekana ni huko kula malimao, Tangawizi na kujifukiza kwa wingi, kwasababu ndio kitu ambacho Tanzania imetofautiana na nchi zingine duniani
 
Sidhani kama Mungu ndio sababu kuu, kwasababu nchi nyingi kama sio zote pia zilimuomba Mungu, tofauti inawezekana ni huko kula malimao, Tangawizi na kujifukiza kwa wingi, kwasababu ndio kitu ambacho Tanzania imetofautiana na nchi zingine duniani
Na inaonesha tangawizi inalimwa sana nchini.
Ila mm pia binafsi hakuna ninayemjua wala kusikia ameugua au kufa kisa corona.
 
Na inaonesha tangawizi inalimwa sana nchini.
Ila mm pia binafsi hakuna ninayemjua wala kusikia ameugua au kufa kisa corona.
Huu ugonjwa wa corona, sijajua kwa mataifa mengine, but kwa TZ ni seasonal disease, huja na kutoweka.

Nadhani umekuzwa sana kisiasa. Na kuna agenda nyuma yake.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ninaishi Sinza, ninatembelea sana sehemu za Kariakoo, Ilala, Mbezi, G/mboto, Mwenge, Morogoro nk.

Ndani ya hii miezi mitano, nimeshuhudia kifo kimoja na familia nzima kupelekwa quarantine ila walipona na sasa nipo nao mtaani. Personally hivi nimevishuhudia. Tetesi zinasema kuwa Corona ipo Tanzania kama mataifa yeyote tu. Je, hii habari ni ya kweli au uzushi tu?

Basi naomba tuutathmini uhalisia kwa pamoja. Kwa Mtanzania atayesoma huu uzi, naomba utuelezee uko ulipo kuna kisa chochote ulichokiskia au mpo salama?

IG#swahili_alpha

Mkuu kupata tathmini ya huu ugonjwa mahali popote kwani ilihitaji kuulizana kijima kijima namna hii?

Kwa nini kuandikia mate hali wino upo?

Ngoma haipimwi kwa macho wala kilichomwua marehemu hakifanyiwi tathmini kihisia.

Mzizi wa fitina ni kupima tu. Hakuna vipimo, hakuna facts. Hakuna facts, no right to speak.

Tutaendelea kujidanganya huku tukipukutika kimya kimya tukidhania ilikuwa 'stroke' kumbe kovidi kumi na Tisa.
 
Kuna vile vyama vya siasa vilikuwa busy kueneza uwongo na kulazimisha serikali ifungie watu ndani naona sasa hivi wanafanya mikutano yao ya ndani wanajazana halafu hakuna social distance wala kuvaa barakoa.
 
Mkuu kupata tathmini ya huu ugonjwa mahali popote kwani ilihitaji kuulizana kijima kijima namna hii?

Kwa nini kuandikia mate hali wino upo?

Ngoma haipimwi kwa macho wala kilichomwua marehemu hakifanyiwi tathmini kihisia.

Mzizi wa fitina ni kupima tu. Hakuna vipimo, hakuna facts. Hakuna facts, no right to speak.

Tutaendelea kujidanganya huku tukipukutika kimya kimya tukidhania ilikuwa 'stroke' kumbe kovidi kumi na Tisa.
Hivi kwanini hatupimi Ebola Tanzania?, hivi Ugonjwa wa Dengue tulikua tunapima kila mtu?, hivi jambo gani linakupa ujasiri wa kusema kwamba Tanzania hakuna Ebola wakati hatujawahi kupima mtu hata mmoja?. Hivi unahisi bado Dengue ipo kama ilivyokuepo mwaka mmoja nyuma?.

Lazima kuwepo sababu na vigezo vya kupema watu, haukurupuki kupima raia wako dengue au Ebola kama ugonjwa wenyewe sio tishio kwa Taifa au hata mkoa, tishio kwa maana hakuna wagonjwa wengi mitaani na Hospitalini ambao wanagundulika kuambukizwa, au hakuna vifo vingi vinavyohusishwa na huo ugonjwa.
 
Kuna vile vyama vya siasa vilikuwa busy kueneza uwongo na kulazimisha serikali ifungie watu ndani naona sasa hivi wanafanya mikutano yao ya ndani wanajazana halafu hakuna social distance wala kuvaa barakoa.
Hili huwa linanishangaza sana.
 
Hivi kwanini hatupimi Ebola Tanzania?, hivi Ugonjwa wa Dengue tulikua tunapima kila mtu?, hivi jambo gani linakupa ujasiri wa kusema kwamba Tanzania hakuna Ebola wakati hatujawahi kupima mtu hata mmoja?. Hivi unahisi bado Dengue ipo kama ilivyokuepo mwaka mmoja nyuma?.

Lazima kuwepo sababu na vigezo vya kupema watu, haukurupuki kupima raia wako dengue au Ebola kama ugonjwa wenyewe sio tishio kwa Taifa au hata mkoa, tishio kwa maana hakuna wagonjwa wengi mitaani na Hospitalini ambao wanagundulika kuambukizwa, au hakuna vifo vingi vinavyohusishwa na huo ugonjwa.

Mbona tunapima ukimwi mkuu? Tena kuna uhamasishaji wa hali ya juu kwenye kupima ukimwi? Au wewe hujazisikia hamazishaji hizo?

Mbona hata madhehebu mengi tu hata ndoa haifungwi bila uthibitisho wa afya ki ukimwi?

Acheni siasa kwenye magonjwa ambayo yapo, yanayo ambukiza kwa kasi na hata kuuwa tahadhari husika zisipochukuliwa!
 
Mbona tunapima ukimwi mkuu? Tena kuna uhamasishaji wa hali ya juu kwenye kupima ukimwi? Au wewe hujazisikia hamazishaji hizo?

Mbona hata madhehebu mengi tu hata ndoa haifungwi bila uthibitisho wa afya ki ukimwi?

Acheni siasa kwenye magonjwa ambayo yapo, yanayo ambukiza kwa kasi na hata kuuwa tahadhari husika zisipochukuliwa!
Sasa kama tutakua tunaulizana bila kujibu maswali uliyoulizwa hatuwezi kuwa na mjadala wenye maana. Nilikujibu kwa kukuambia kwamba serikali itaamua kupima tu kama ugonjwa utaonekana ni tishio katika jamii, ugonjwa unakua ni tishio kama
1)Umeambukiza watu wengi ni unahatari ya kuambukiza watu wengi zaidi.
2)Umesababisha Hispitali zetu kupokea wagonjwa wengi wanaogundulika kuwa na maambukizi
3)Unasababisha vifo vingi mitaani na Hosputalini vinavyohusishwa na ugonjwa huo.

Ukimwi umekidhi vigezo vyote katika ya hivyo vitatu nilivyovijata hapo juu.

Sasa wewe nijibu kigezo kipi kinakufanya kutaka Serikali ipime Corona kama inavyopima Ukimwi, toa ushahidi kwa jibu lako.

Kwanini usishauri Serikali ipime Ebola na dengue?
 
Sasa kama tutakua tunaulizana bila kujibu maswali uliyoulizwa hatuwezi kuwa na mjadala wenye maana. Nilikujibu kwa kukuambia kwamba serikali itaamua kupima tu kama ugonjwa utaonekana ni tishio katika jamii, ugonjwa unakua ni tishio kama
1)Umeambukiza watu wengi ni unahatari ya kuambukiza watu wengi zaidi.
2)Umesababisha Hispitali zetu kupokea wagonjwa wengi wanaogundulika kuwa na maambukizi
3)Unasababisha vifo vingi mitaani na Hosputalini vinavyohusishwa na ugonjwa huo.

Ukimwi umekidhi vigezo vyote katika ya hivyo vitatu nilivyovijata hapo juu.

Sasa wewe nijibu kigezo kipi kinakufanya kutaka Serikali ipime Corona kama inavyopima Ukimwi, toa ushahidi kwa jibu lako.

Kwanini usishauri Serikali ipime Ebola na dengue?
wengine sio wakujibizana nao mkuu

Mimi niko eneo ambalo lina wanafunzi elfu nane na wote wametok mikoa tofaut adi leo mwezi unatimia hatujapata izo case
 
wengine sio wakujibizana nao mkuu

Mimi niko eneo ambalo lina wanafunzi elfu nane na wote wametok mikoa tofaut adi leo mwezi unatimia hatujapata izo case

Kwa kigezo hicho peke yake hamna haja ya kujiridhisha tena kwa lolote kwa maana ugonjwa haupo tena kwetu!

Kama hizi ndiyo products za hivyo vyuo vyetu vyenye wanafunzi 8,000 ni heri nibakie kwetu 'ikungu lya bashashi' nibobee kwenye ramli kwani kweli nitajibizana nawe nini?

Ushauri kuntu kwa serikali yetu tukufu, sasa ni wakati wa declare Corona kwishney. Msomi mart66 amethibitisha hilo na kufanya hilo beyond reasonable doubt.
 
Kwa kigezo hicho peke yake hamna haja ya kujiridhisha tena kwa lolote kwa maana ugonjwa haupo tena kwetu!

Kama hizi ndiyo products za hivyo vyuo vyetu vyenye wanafunzi 8,000 ni heri nibakie kwetu 'ikungu lya bashashi' nibobee kwenye ramli kwani kweli nitajibizana nawe nini?

Ushauri kuntu kwa serikali yetu tukufu, sasa ni wakati wa declare Corona kwishney. Msomi mart66 amethibitisha hilo na kufanya hilo beyond reasonable doubt.
Mimi CIO msomi no kilaza tu naongea kitu nachokion kila siku
Kama sehemu zingin watu wapo na imeripotiwa siwezi pinga
Kama rate ya maambukizi ingekuw kubwa lazima kati ya watu elfu nane tungesikia kifo ata kimoja cha mwnafunzi
Nb rate ya maambukizi imepungua tofaut na apo awali
 
Sasa kama tutakua tunaulizana bila kujibu maswali uliyoulizwa hatuwezi kuwa na mjadala wenye maana. Nilikujibu kwa kukuambia kwamba serikali itaamua kupima tu kama ugonjwa utaonekana ni tishio katika jamii, ugonjwa unakua ni tishio kama
1)Umeambukiza watu wengi ni unahatari ya kuambukiza watu wengi zaidi.
2)Umesababisha Hispitali zetu kupokea wagonjwa wengi wanaogundulika kuwa na maambukizi
3)Unasababisha vifo vingi mitaani na Hosputalini vinavyohusishwa na ugonjwa huo.

Ukimwi umekidhi vigezo vyote katika ya hivyo vitatu nilivyovijata hapo juu.

Sasa wewe nijibu kigezo kipi kinakufanya kutaka Serikali ipime Corona kama inavyopima Ukimwi, toa ushahidi kwa jibu lako.

Kwanini usishauri Serikali ipime Ebola na dengue?

Si Ebola wala Dengue iliyowahi kuthibitishwa kuwapo nchini. Hivyo suala la kwa nini Ebola wala Dengue havipimwi ni suala lisilo na mjadala.

Ukimwi dhidi ya Corona? Ni wazi kuwa ni heri kupima Corona kuliko hata kupima ukimwi kwa sababu lukuki zilizo wazi wala zisizo hitaji mjadala. Uthibitisho katika hilo upo wazi mno kiasi hata kukuorodheshea itakuwa ni kukudunisha bure mkuu.

Burundi baada ya Nkurunziza imetuacha peke yetu. Sasa hivi wao Corona ni issue yaani agenda no#1.

Wanasema waungwana aisifiaye mvua itakuwa imemnyea. Wanajua nini kimemtanguliza Nkurunziza mbele za haki.

Kwamba sote tumekubaliana na hii janja janja? Jidanganyeni wenyewe.
 
Kwanini hutaki kukubaliana na ukweli kwamba Tanzania Corona imepungua sana ukilinganisha na nchi zingine?. Hivi Kenya mnaweza kuthubutu kufungua vyuo na shule zote bila wanafunzi kuambukizwa kwa wingi kiasi cha wazazi kuwarudisha watoto wa majumbani?.

UNICEF wenyewe wamekiri na kusema ni salama kwa wanafunzi kurudi mashuleni, wewe unayeendelea kukataa na kubisha unalengo gani?.
Bila kupima unatumia data ipi kuonesha maambukizi yamepungua??hivi watanzania wengi mbna hua hampendi kushirikisha akili kwenye hoja zenu!mnachoambiwa na serikali ni kubandika tu akilini na kuamini bila kujadili.....Kwa kweli serikali yenu inafanya kimaksudi kutofadhili sector ya elimu ili muendelee kuwa wajinga na kutouliza maswali
 
Si Ebola wala Dengue iliyowahi kuthibitishwa kuwapo nchini. Hivyo suala la kwa nini Ebola wala Dengue havipimwi ni suala lisilo na mjadala.

Ukimwi dhidi ya Corona? Ni wazi kuwa ni heri kupima Corona kuliko hata kupima ukimwi kwa sababu lukuki zilizo wazi wala zisizo hitaji mjadala. Uthibitisho katika hilo upo wazi mno kiasi hata kukuorodheshea itakuwa ni kukudunisha bure mkuu.

Burundi baada ya Nkurunziza imetuacha peke yetu. Sasa hivi wao Corona ni issue yaani agenda no#1.

Wanasema waungwana aisifiaye mvua itakuwa imemnyea. Wanajua nini kimemtanguliza Nkurunziza mbele za haki.

Kwamba sote tumekubaliana na hii janja janja? Jidanganyeni wenyewe.
Kaka inaonekana hufuatilii mambo ya nchi yako vizuri, unasema Dengue haijathibitishwa kuwepo nchini?, dengue imetikisa na kuuwa watanzania wengi kuliko Corona mwaka mmoja uliopita, hadi sasa dengue ipo lakini imepungua sana, kama ilivyo malaria


Bahati mbaya sana sayansi haifanyi kazi kwa kutumia hisia za watu, wewe unahisi hivyo unavyosema kwamba kila kitu kipo wazi hakihitaji maelezo, Serikali na sisi watu wengine tunafuata kanuni za "Epidemiology" ambazo ndizo zenye kutoa muongozo wa wakati gani Serikali inapaswa kuamua kupima watu wake kwa lazima na wakati gani inakua sio muhimu, kwa sasa hakuna kigezo hata kimoja Tanzania cha kupima watanzania kwa lazima, sasa hivi Corona Tanzania ni Endemic disease kama malaria na dengue.
 
Back
Top Bottom