Chadema kama chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii ni tofauti sana na vyama vingine. Tofauti kubwa iliyopo ni kuwa chawa kama wale wa Mama huku si sifa bali ni machukizo.
Chadema iliyoko mioyoni mwa watu hutambua wakichemka wao na hata tunapochemka sisi. Hii ni bila kujali mpiga fyongo ni mkubwa au mdogo, ni Mbowe au Lema.
"Kama watoto mapacha hutokea wakati wakashindwa kuelewana sembuse miye na wewe Neema?"
Ipo kwenye rekodi kuwa Mbowe amewamwagia misifa Mama na polisi. Mbowe kaonyesha jinsi gani maridhiano hayakuwa rahisi. Yeye kama mtu mzima akiyafananisha na kumshawishi demu 😀😀."
"Mwenye macho haambiwi tazama wala mwenye masikio kwamba hakusikia."
Kwenye hotuba yake Mbowe kasisitiza umoja na vyama vingine dhidi ya mapande mapande ya uvyama kwenye ukombozi wa nchi hii. Ni wazi kuwa nchi hii haitakombolewa na Chadema peke yao.
Kwa upande mwingine ni wazi kuwa kiu ya watu haikutibiwa jana. Hii ikizingatiwa yapo mengi tuliyoyategemea pamoja na kuwa muda ulikuwa mchache:
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-jifunzeni-kwenye-ziara-ya-makamu-wa-rais-kahama.2057817/
-- hatukujifunza. Hii safisha njia kwa ajili ya viongozi kupita na kunakoitwa ulinzi kuimarishwa ni kero, na wananchi hawaipendi.
Ni muhimu Chadema kujitofautisha nao. Hata hii ya ma bodyguards mgongoni haina tija. Ya CCM yasiwe yetu.
https://www.jamiiforums.com/threads/mikutano-ya-siasa-wamebana-wameachia.2053571/
https://www.jamiiforums.com/threads...jibu-wa-kutengeneza-ajira-ni-ya-nini.2056617/
-- zipo kero nyingi kwa watu ambao hao ndiyo ulio mtaji wetu halisi. Kuruhusu mikutano au kukubali kuridhiana hakuwezi kutafsiriwa kama hisani. Labda tu ikiwa adui akisifiwa ni kwa kuwa kauvaa mkenge!
https://www.jamiiforums.com/threads...a-serikali-msitake-faida-tu-wekezeni.2052039/
https://www.jamiiforums.com/threads...-haramu-inaposhangilia-mapato-haramu.2053553/
Hata hivyo si mbaya wakatuita wanavyotaka, ila 25 Jan kitaeleweka tu.
Izingatiwe:
https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
Na pia:
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-bila-kuwapa-makavu-hakuna-katiba-mpya.1906749/
Mh. Tundu Lissu karibu nyumbani, ulipo tupo.
Aluta Continua.
Chadema iliyoko mioyoni mwa watu hutambua wakichemka wao na hata tunapochemka sisi. Hii ni bila kujali mpiga fyongo ni mkubwa au mdogo, ni Mbowe au Lema.
"Kama watoto mapacha hutokea wakati wakashindwa kuelewana sembuse miye na wewe Neema?"
Ipo kwenye rekodi kuwa Mbowe amewamwagia misifa Mama na polisi. Mbowe kaonyesha jinsi gani maridhiano hayakuwa rahisi. Yeye kama mtu mzima akiyafananisha na kumshawishi demu 😀😀."
"Mwenye macho haambiwi tazama wala mwenye masikio kwamba hakusikia."
Kwenye hotuba yake Mbowe kasisitiza umoja na vyama vingine dhidi ya mapande mapande ya uvyama kwenye ukombozi wa nchi hii. Ni wazi kuwa nchi hii haitakombolewa na Chadema peke yao.
Kwa upande mwingine ni wazi kuwa kiu ya watu haikutibiwa jana. Hii ikizingatiwa yapo mengi tuliyoyategemea pamoja na kuwa muda ulikuwa mchache:
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-jifunzeni-kwenye-ziara-ya-makamu-wa-rais-kahama.2057817/
-- hatukujifunza. Hii safisha njia kwa ajili ya viongozi kupita na kunakoitwa ulinzi kuimarishwa ni kero, na wananchi hawaipendi.
Ni muhimu Chadema kujitofautisha nao. Hata hii ya ma bodyguards mgongoni haina tija. Ya CCM yasiwe yetu.
https://www.jamiiforums.com/threads/mikutano-ya-siasa-wamebana-wameachia.2053571/
https://www.jamiiforums.com/threads...jibu-wa-kutengeneza-ajira-ni-ya-nini.2056617/
-- zipo kero nyingi kwa watu ambao hao ndiyo ulio mtaji wetu halisi. Kuruhusu mikutano au kukubali kuridhiana hakuwezi kutafsiriwa kama hisani. Labda tu ikiwa adui akisifiwa ni kwa kuwa kauvaa mkenge!
https://www.jamiiforums.com/threads...a-serikali-msitake-faida-tu-wekezeni.2052039/
https://www.jamiiforums.com/threads...-haramu-inaposhangilia-mapato-haramu.2053553/
Hata hivyo si mbaya wakatuita wanavyotaka, ila 25 Jan kitaeleweka tu.
Izingatiwe:
https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
Na pia:
https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-bila-kuwapa-makavu-hakuna-katiba-mpya.1906749/
Mh. Tundu Lissu karibu nyumbani, ulipo tupo.
Aluta Continua.