Buza Kwa Mpalange
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 268
- 156
Kasim majaliwaKati yao yupo atayefaa kuwa kiongozi wa nchi hii miaka ijayo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasim majaliwaKati yao yupo atayefaa kuwa kiongozi wa nchi hii miaka ijayo!?
Wanafelishwa wapi wakati mnapenda kucheza vigoma, na kula urojo na wengine wakimaliza darasa la saba ni kuolewa tu fanya utafiti uone maisha ya waislam wenzako uone, ukiona kafaulu bila shaka ana marafiki wengi wakristo na hata mitaa anayotoka sio uswahilini chunguzaUsijidai ulikuwa ng'ambo, alivyowafelisha waislam akasingizia kompyuta ulikuwa wapi?
Naongea hili wewe unaongea lile, iweje aseme ni kompyuta na sio yeye?Wanafelishwa wapi wakati mnapenda kucheza vigoma, na kula urojo na wengine wakimaliza darasa la saba ni kuolewa tu fanya utafiti uone maisha ya waislam wenzako uone, ukiona kafaulu bila shaka ana marafiki wengi wakristo na hata mitaa anayotoka sio uswahilini chunguza
Kwa makonda asiye Na Malinda umebugi meni1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Unachanganya utakatifu Vs uoga...Hivi unamjua wazir mpango wewe...yule magu hamwachi maana ni mtakatifu hata kuiba hajui..magu anampenda balaaa yule
Labda nyuchi wataweza tena za Lumumba tuHii CCM ya sasa hivi ina uwezo hata wakuchukua nchi zote na kuongoza Afrika nzima
Bashite wadhili mkuu
Wadhili Mkuu!Bashite wadhili mkuu
Mkuu umenikosha hapo kwa Mh Mwanri tu1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bashite wadhili mkuu
Kwa akili zenu???mnawezaKwahiyo kila mbunge atakuwa waziri? Punguza upopoma wewe
11. Ngosha JagaKufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri
Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu
1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda