Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Usijidai ulikuwa ng'ambo, alivyowafelisha waislam akasingizia kompyuta ulikuwa wapi?
Wanafelishwa wapi wakati mnapenda kucheza vigoma, na kula urojo na wengine wakimaliza darasa la saba ni kuolewa tu fanya utafiti uone maisha ya waislam wenzako uone, ukiona kafaulu bila shaka ana marafiki wengi wakristo na hata mitaa anayotoka sio uswahilini chunguza
 
Wanafelishwa wapi wakati mnapenda kucheza vigoma, na kula urojo na wengine wakimaliza darasa la saba ni kuolewa tu fanya utafiti uone maisha ya waislam wenzako uone, ukiona kafaulu bila shaka ana marafiki wengi wakristo na hata mitaa anayotoka sio uswahilini chunguza
Naongea hili wewe unaongea lile, iweje aseme ni kompyuta na sio yeye?
 
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Kwa makonda asiye Na Malinda umebugi meni
 
Sura mpya kwenye baraza

1. Jackson Kiswaga

2. Mwana Fa

3. Msambatavangu

4. Katambi

5. Gwajiboy

6.Kimei

Wateuliwa nafasi 10

1. Makonda
2. Mwanri
3.Queen Sendiga
 
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8. Mwanry (X-RC Tabora) namuona akateuliwa kwenye nafasi ya ubunge na atapewa wizara.
9. Paul Makonda - Ni mmoja kati ya vijana watakao teuliwa na kisha kupewa unaibu waziri (mambo ya ndani).
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Mkuu umenikosha hapo kwa Mh Mwanri tu
 
Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri

Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu

1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda
11. Ngosha Jaga
12. Tujage Lulu
13. Wajagahi Sengi
14. Magulu Nkembele
15. Bebeshi Ulisata
15. Nangu Maguta
16.Nda Nhale
17. Magulu Kusata
18. Lamaga Nshimba
19. Hela Jinga
20. Mwabeja Getegete
 
Back
Top Bottom