Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,365
- 2,732
Si CCM mwenzako au haumkubali !!Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si CCM mwenzako au haumkubali !!Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Hata Mbowe mbona ni CCMSi CCM mwenzako au haumkubali !!
Wewe kilasiku unanen'geneka na kukata viuno humu JF, inamaana huwakubali wana ccm wenzio?Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Hahahaha.Nipo hapa nadiscuss baraza la mawaziri la manyani!
Manyani yachaguane who cares!
Bunch of porch monkeys!
alikuaga katibu wa ccm mkoawa dar es salaam,baada ya hapo sijui akawa nani,by then akiwa katibuwa ccm mkoa wa dsm sallary yao makatibu wa mikoa ilikua laki saba na hamsini,Kirumbe Ng’enda ni nani huyu?
Alirudi kuendelea na majukumu yake mengine kwingine ya kulinda “usalama wa Taifa”alikuaga katibu wa ccm mkoawa dar es salaam,baada ya hapo sijui akawa nani
Haaaaaaaaaaaa!Bashite wadhili mkuu
Do Waziri Malibu waziri wa madini4, 5,7, 8,9 na 10 sidhani kama wataula.
Deo Mwanyika naye anaweza kuwemo
Yaani siyo vichekesho tu na viherehereGwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Kabisa ila aweke uyanga pembeni kama magufuli alivyoweka usimba pembeniTarimba ni Michezo
Huyu Jamaa kwa zitto anaingia Mara milioni,bila kupewa asingeambulia chochote hana umaarufu hata kwa wapiga kura na alikuwa Hana Sera kwenye kampeni zake unakosea kusema ni kiboko ya zitto,Kiboko ya Zitto Kabwe Kigoma Mjin
Huyu Jamaa ni Afisa Kipenyo wa miaka mingi sana,
Akiwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Dsm aliwahi kupambana na Mzer Mengi miaka hiyo
Pia aliwahi kutumwa kumkosesha Uenyekiti wa Mkoa Mzee Mangula