hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Hiki kichekesho mi pia kilinipita.Yaaani Charles Kimei amtoe Philip Mpango? Mnachekesha
Unless Mpango awe ndio PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kichekesho mi pia kilinipita.Yaaani Charles Kimei amtoe Philip Mpango? Mnachekesha
Unless Mpango awe ndio PM
KhaaaaaaaaaUmemsahau babu tale, Naibu waziri wa habari michezo n.k
Anaenda kulinda Nini?hapana waziri mkuu ni Kasim Majaliwa
Bashite waziri wa ulinzi
Bado sijaelewa hii. Ndalichako kurudi elimu na waislamu kutaabika.... connection iko wapi Mkuu?Namba nne waislam wataendelea kutaabika
Duuuuuuuuuh.... Kwa hiyo Ndalichako na Waislamu kuna chuki/vyuki binafsi?Humjui vizuri wewe, alishawafelisha na alipopewa ushahidi akasema ni kompyuta ndio ilikosea, baadae akapita nao udom
Tehe tehe teheHivi unamjua wazir mpango wewe...yule magu hamwachi maana ni mtakatifu hata kuiba hajui..magu anampenda balaaa yule
Huyu Kambudi ni ingizo jipya?Kambudi je
Tusubirie surprises huko mbeleNamwona makonda kwa mbali akila Neema...
Ha ha ha ha [emoji846][emoji1787][emoji1787][emoji12]Bongo bwana ni nchi nzuri sana,yenye furaha na amani tele,wepesi wa kusameheana na kusahau yaliyopita.
wana CCM na wanaChadema leohii wanashirikiana kubashiri balaza jipya la mawaziri 2025.
pongezi kwa wote,hivi ndivyoinatakiwa.
uchaguzi huu tulioshinda ni sisi watanzania kama taifa,sio CCM wala Chadema ni watanzania ndio tumeibuka washindi kwenye huu uchaguzi.
Kumbeeeeee???Huyu Palamangamba Kabudi, atabaki wizara ya mambo ya nje. Na sababu ni kwamba last term alimfurahisha sana mtawala
Akifanya hivyo itakuwa poa sanaCharles Kimei apewe wizara ya fedha , labda na watanzania tutaanza kupoke vi miamala vyetu kutoka Paypal
Ukikuta kakuzidi utam judge kwa hii post?Dah..... Natamani nijue elimu yako mkuu[emoji23][emoji23]
DuuuuuuhNipo hapa nadiscuss baraza la mawaziri la manyani!
Manyani yachaguane who cares!
Bunch of porch monkeys!
Ingizo jipya ni NgwanjiwaHuyu Kambudi ni ingizo jipya?
Hapa mchezo umeisha mzeeViongozi wa juu wa ACT Wazalendo na CHADEMA Kesho, Jumamosi, Oct 31, watazungumza na vyombo vya habari saa nne asubuhi. Watakua Makao Makuu ya CHADEMA Kinondoni.
Why?Akifanya hivyo itakuwa poa sana
Kenya wameulahisisha uchumi wao kwa kufungulia fursa za wananchi wao kufanya biashara kimataifa wakiwa nchini mwao onlineWhy?
bamingham kule marekaniUwaziri watajuana wenyewe,kama mkazi wa kawe tayari nipo kwenye list ya kwenda Bamingam.
Charles Kimei apewe wizara ya fedha , labda na watanzania tutaanza kupoke vi miamala vyetu kutoka Paypal
Kumbe mnamjua ni kiaziGwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.