Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau babu tale, Naibu waziri wa habari michezo n.kKufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri!
Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu!
1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda
Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!
Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!
N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
Ndiyo akili finyu za mbogamboga, yaani kuna wenzao wamepoteza maisha, kuumizwa na kuwa vilema lakini wao walaa wanawaza kugawana vyeo tuu...Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri!
Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu!
1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda
Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!
Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!
N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
Naibu FaTarimba ni Michezo
Namba nne waislam wataendelea kutaabika1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8........
9.........
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Kwa magu hamna lisilowezekanaYaaani Charles Kimei amtoe Philip Mpango? Mnachekesha
Unless Mpango awe ndio PM
Kivipi mkuu, mbona yupo neutral au kuna lililonyuma ya paziaNamba nne waislam wataendelea kutaabika
Hiyo ni ya faUmemsahau babu tale, Naibu waziri wa habari michezo n.k
Humjui vizuri wewe, alishawafelisha na alipopewa ushahidi akasema ni kompyuta ndio ilikosea, baadae akapita nao udomKivipi mkuu, mbona yupo neutral au kuna lililonyuma ya pazia
Hivi unamjua wazir mpango wewe...yule magu hamwachi maana ni mtakatifu hata kuiba hajui..magu anampenda balaaa yule1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8........
9.........
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Kambudi je1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8........
9.........
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Haaa,ni kweli inaweza kuwaBashite wadhili mkuu
Namwona makonda kwa mbali akila Neema...1. Jerry Muro atateuliwa ubunge na kuukwaa uwaziri!
2. Julius Mtatiro
3. Antony Mtaka
Basi anafanya kitu kibaya mno katika ustawi wa taifa letu, na hiyo dhambi itamrudiaHumjui vizuri wewe, alishawafelisha na alipopewa ushahidi akasema ni kompyuta ndio ilikosea, baadae akapita nao udom
Huyu Palamangamba Kabudi, atabaki wizara ya mambo ya nje. Na sababu ni kwamba last term alimfurahisha sana mtawalaKambudi je
Mkuu, ebu tulia kwanza wala usiwe na haraka....😉😉Hivi unamjua wazir mpango wewe...yule magu hamwachi maana ni mtakatifu hata kuiba hajui..magu anampenda balaaa yule
Udom alipita nao vipi mkuu?Humjui vizuri wewe, alishawafelisha na alipopewa ushahidi akasema ni kompyuta ndio ilikosea, baadae akapita nao udom
Hii CCM ya sasa hivi ina uwezo hata wakuchukua nchi zote na kuongoza Afrika nzima