Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo wewe jana ulikuwa unakata kata viuno humu ukishangilia ushindi wake?saasa unakataa vipi kama na yeye akaendelea kukutumikia kwa njia nyengine?Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
AnafaaTarimba ni Michezo
Kwahiyo kila mbunge atakuwa waziri? Punguza upopoma weweSiyo wewe jana ulikuwa unakata kata viuno humu ukishangilia ushindi wake?saasa unakataa vipi kama na yeye akaendelea kukutumikia kwa njia nyengine?
Mnajua hata mnachokitaka kweli!!!
Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri!
Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu!
1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda
Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!
Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!
N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
Ongeza Sagini Jumanne na Geoffrey Mwambe.
Mkuu #2 si nasikia Lema hajaridhika na matokeo ya wapiga kura, sasa atapewa uwaziri huku akihangaikia kesi ya matokeo au ni majungu tu kufukuta?1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8........
9.........
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae
Sasa mbona mmempitisha Kama mkijua ni kituko na vichekesho , ccm bana hua hata hamjielewi mnataka nnGwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
Lema ataitwa na atakatiwa chake, then ataridhia. Na ikiwa atakataa, basi atatafutiwa lolote ili kumdhoofishaMkuu #2 si nasikia Lema hajaridhika na matokeo ya wapiga kura, sasa atapewa uwaziri huku akihangaikia kesi ya matokeo au ni majungu tu kufukuta?
Hivi Fred Lowassa ni kaka yako? Pongezi zimfikie popote alipo kapambana sana.Gwajima aongoze wizara? Jamani punguzeni vichekesho basi.
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo.
4. Ndalichako - Anarudikua Elimu.
5. Ummy - Atabakia wizara ya Afya.
6. Kalemani - Anabaki nishati.
7. Dotto Biteko - Anabaki madini.
8........
9.........
10.........
11...........
12..............
Nitaendelea badae