Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Mkuu hashindwi kumteua lisu kushika kitengo, hana hiana mzee wa watu. Si mnamuona mzee Silaa!☺
 
Kinachofurahisha ni kwamba safari hii ni kazi kazi hakuna excuse, asilimia kubwa ya wabunge na madiwani wanatoka chama tawala na hii itawasaidia sana kwenye utendaji.

Naiona connection nzuri kati ya serikali yaani mawaziri na wawakilishi wa wananchi.

Wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wakitumia wataalamu katika sehemu zao, na wakashirikiana na wabunge na madiwani wao vizuri watamsaidia sana rais katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea watanzania maendeleo.

Tufike mahali rais anapopita kwenye maeneo yetu tuone akipewa pongezi zaidi ya yale malalamiko ya wananchi kukosa huduma au kukosa wa kuwasikiliza.
 
Kumpa Kimei wizara ya fedha ni hatari sana kwa nchi hii.

Hawa jamaa wapo kimkakati sana,utaona wachaga wapo kila penye dili za hela na wanapata upendeleo sana.
Akiingia mtu mwingine vigezo vitaangaliwa hadi unatoka nje ya mchakato.

Wachaga hawafai kupewa nafasi kama hizo.
Mwache kimei wetu Kuna kitu tumemtuma
 
hata uwe na watendaji wote unaowajua wanachapa kaziii kwa weledi na ustadi .... endapo maamuzi ya mwisho lazima yatoke kwa mmoja tu ni vigumu kuwa na mabadiliko ya kimaendeleo, na endapo kutaendelea kuwa ule utaratibu wa kutengua alichoamua waziri kila mara ..... sahauuu Tanzania uiwazayoo

fanya kazi, Tanzania ni zaidi ya tuijuavyoo
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli... Kinachofata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
William lukuvi anafaa kuendelea Ardhi. Kaweka nidhamu kule
 
Fedha huwezi ukamuacha Dr Mpango aliedumu kipindi chote 5yrs.
Dr mpango jirani yangu pale chanika tatizo lake ni ameshindwa kubalance collected money versa internal debts payment s hivyo kusababisha pesa kukosekana kuzungushika ndani ya nchi kwa haraka kupelekea wananchi kuichukia serekali every things goes in a matter of balancing atakapo balance hili bila kuingiliwa mambo yatakuwa safi kweli kweli
 
Mbona Bashite na Sabaya hatuwaoni kwenye listi ya hao mawaziri,Hawa ni muhimu kuwashughulikia wapinzani, wapinzani wamekwamisha maendeleo sababu walikuwa wanakusanya Kodi Leo Tz itaizidi Ulaya majimbo yote ni CCM tutegemee kuanza kula mara 4 kwa siku toka kuwa na uhakika wa mlo mmoja.
 
Dr mpango jirani yangu pale chanika tatizo lake ni ameshindwa kubalance collected money versa internal debts payment s hivyo kusababisha pesa kukosekana kuzungushika ndani ya nchi kwa haraka kupelekea wananchi kuichukia serekali every things goes in a matter of balancing atakapo balance hili bila kuingiliwa mambo yatakuwa safi kweli kweli
Hakuna mwananchi anaeichukia serikali thus wameamua kuichagua CCM kwa kishindo na kususia maandamano ya wapinzani
 
Hakuna mwananchi anaeichukia serikali thus wameamua kuichagua ccm kwa kishindo na kususia maandamano ya wapinzani
Wananchi walitaka kuandamana polisi wakajazwa mitaani although ni haki ya kikatiba endapo watatoa taarifa rasmi

Naipongeza sana CCM, ni chama changu pendwa sana, kidumu Chama Cha Mapinduzi, zidumu Fikra za Rais wetu.
 
Back
Top Bottom