Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli... Kinachofata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Baraza la Mawaziri lolote litakalofuata "amri kutoka juu" za Magufuli litakuwa na matatizo.

Bila kujali uwezo wa mawaziri.
 
Sajini aliyekuwa anauza ukurugenzi kwa milioni tano na ukuu wa idara kwa milioni 2 ? Au sajini gani unamzungumzia. ? Huyu Sajini aliyefukuza watu kazi tamisemi kwa kuwaonea.Pole sana kumbe huwajui watu bado. Hata Huyo atakayemtuma amfanyie vetting anaweza kumhonga pia
Safi sana. Fichua maovu. Tamisemi ni taasisi ambayo inahitaji viongozi waadilifu maana ndiyo heart of Regional and Local Governments ambako ndiko wananchi walipo. Kumbe alipokuwa demoted mpaka Kuwa RAS kumbe yapo madududu. Kwa comment yako naona atabaki kuwa mbunge.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Kupaa kwenda wapi?
 
Wizara aliyoongoza Ummy Mwalimu inaitwa afya, jinsia, wazee, walemavu na watoto.

Hiyo aspect ya ‘jinsia, wazee, walemavu na watoto’ ni sehemu ya social services inayodili na mambo ya safeguarding za hayo makundi na promotion za welfare zao.

Kila kukicha mtu kachinja mke, watoto wanalawitia, mama sijui kanyan’ganywa mtoto, mimba za utotoni bado tatizo, marginalised group mahitaji yao ya msingi kupata utata, standardisation ya huduma za afya zina variation kituo kwa kituo; kila kitu ovyo.

Wanachojivunia ni kuongeza miundombinu na budget ya dawa, but that has nothing to do with outcome ya wizara nor tackling social issues.

The woman is just incompetent kuongoza hiyo wizara. Alipewa hiyo nafasi kwa sababu ata hao mamlaka ya uteuzi sidhani kama wanaelewa competent skills za kupambana na hizo changamoto nilizo taja hapo juu.

Kumuweka Ummy Mwalimu kwenye hiyo wizara ata akirudishwa ni dharau kwa hayo makundi ni sawa na kusema serikali aioni umuhimu wa kupunguza hizo changamoto.

Basically baraza la mawaziri lililopita mawaziri waliojitahidi kwa upande wangu walikuwa Jaffo, Biteko na kwa mbali Bashe (Hila huyu ni tatizo anafahamu vitu juu juu tu hiko siku mapendekezo yake yatawatokea puani) tayari washaona kwenye pamba upuuzi wake wa price floor serikali ilibidi ifanye u turn wenyewe nakurudi kwenye bei za soko.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Mambo ya nje awe January Makamba ,
 
Sasa stroke ndio nini hivyo kuwakumbusha wenzio maumivu!? utasababisha watu wakimbie ID zao 😁😁😁
Kuna mtu aliwahi niambia kuwa ;

"Kuwa makini Sana unapoandika jambo lolote kwani maandishi huwa yanaishi."

Sasa jamaa kajiandikia mambo yake halafu keshasahau alichokifanya.
 
Dr mpango jirani yangu pale chanika tatizo lake ni ameshindwa kubalance collected money versa internal debts payment s hivyo kusababisha pesa kukosekana kuzungushika ndani ya nchi kwa haraka kupelekea wananchi kuichukia serekali every things goes in a matter of balancing atakapo balance hili bila kuingiliwa mambo yatakuwa safi kweli kweli
una uhakika
 
yule wa elimu asirudishwe pale la sivyo iyo wizara igawanywe na yeye apewe elimu ya juu.Ni msomi mzuri katika taaluma ya ualimu ila hakuonesha ubunifu katika kuboresha elimu.Wanafunzi wanahitimu, hasa ngazi za chini za elimu wakiwa hawana uwezo wa kuajiriwa au kujiajiri wanabaki tegemezi kwa wazazi wao
 
Back
Top Bottom