Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Sasa Kama ni haki ya kikatiba why wanaogopa watu kuandamana,na nini chanzo cha hao kuandamanaWananchi walitaka kuandamana polisi wakajazwa mitaani although ni haki ya kikatiba endapo watatoa taarifa rasmi NAIPONGEZA SANA CCM NI CHAMA CHANGU PENDWA SANA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI ZIDUMU FIKRA ZA RAIS WETU
hamna kitu wanadeliver waende wakalime tikitiki.ShonZa na bashungwa wapumzishwe kwa uzee upi walio nao , wamefanya kazi nzuri sana
Hapana wizara ya hela inatatizo sanahuyu jamaa anajua kuongea kweli na kupanga mistari vizuri sana napenda sana huyu abakie kama mwanaharakati kunogesha mwendo
Baraza la Mawaziri lolote litakalofuata "amri kutoka juu" za Magufuli litakuwa na matatizo.Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli... Kinachofata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...
1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili
PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji
AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi
These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Safi sana. Fichua maovu. Tamisemi ni taasisi ambayo inahitaji viongozi waadilifu maana ndiyo heart of Regional and Local Governments ambako ndiko wananchi walipo. Kumbe alipokuwa demoted mpaka Kuwa RAS kumbe yapo madududu. Kwa comment yako naona atabaki kuwa mbunge.Sajini aliyekuwa anauza ukurugenzi kwa milioni tano na ukuu wa idara kwa milioni 2 ? Au sajini gani unamzungumzia. ? Huyu Sajini aliyefukuza watu kazi tamisemi kwa kuwaonea.Pole sana kumbe huwajui watu bado. Hata Huyo atakayemtuma amfanyie vetting anaweza kumhonga pia
Kupaa kwenda wapi?Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...
1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili
PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji
AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi
These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Tumbo mkuu.Mwalimu Nyerere aliwahi kutuasa, 'akitokea mtu akakushauri jambo la kijinga, na wewe ukakubali ushauri wake, basi wewe ndo mjinga'
Mambo ya nje awe January Makamba ,Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...
1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili
PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji
AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi
These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Kuna mtu aliwahi niambia kuwa ;Sasa stroke ndio nini hivyo kuwakumbusha wenzio maumivu!? utasababisha watu wakimbie ID zao πππ
Kuna mtu aliwahi niambia kuwa ;
"Kuwa makini Sana unapoandika jambo lolote kwani maandishi huwa yanaishi."
Sasa jamaa kajiandikia mambo yake halafu keshasahau alichokifanya.
[emoji23] [emoji23] kwakweliBinafsi Shonza sijawahi kuelewa anafanya nini
tayari tushampata baba askofu wetu atakua waziri wa dini na atatupeleka bilmiham kama sijakosea jinaKwanini Tanzania hatuna Waziri wa Propaganda na Dini?
una uhakikaDr mpango jirani yangu pale chanika tatizo lake ni ameshindwa kubalance collected money versa internal debts payment s hivyo kusababisha pesa kukosekana kuzungushika ndani ya nchi kwa haraka kupelekea wananchi kuichukia serekali every things goes in a matter of balancing atakapo balance hili bila kuingiliwa mambo yatakuwa safi kweli kweli