Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Na kula ruzuku yetu milioni 300 kila mwezi na kuishtaki serikali inyimwe mikopo WBMbona Bashite na Sabaya hatuwaoni kwenye listi ya hao mawaziri,Hawa ni muhimu kuwashughulikia wapinzani, wapinzani wamekwamisha maendeleo sababu walikuwa wanakusanya Kodi Leo Tz itaizidi Ulaya majimbo yote ni CCM tutegemee kuanza kula mara 4 kwa siku toka kuwa na uhakika wa mlo mmoja.
Vya kupewa havina gharama, Mr Your Binded (you are bound)Vyakupewa vina madhara sana means your binded
Sababu wapinzani walikuwa wanapinga maendeleo. Sasa basi!Acha utani wewe, wameshindwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru ije kuwa leo.
Watu wengine uwa mnajifariji sana.
Eti nchi itapaa nenda huko Sangakurunyese uone wananchi wanavyotaabika kwa mlo mmoja na shida kubwa ya Maji safi,Maradhi,Umaskini na Ujinga.
Kupaa kwenda wapi?
Takwimu ziko wapi? (Speak with facts!)Wizara aliyoongoza Ummy Mwalimu inaitwa afya, jinsia, wazee, walemavu na watoto.
Hiyo aspect ya ‘jinsia, wazee, walemavu na watoto’ ni sehemu ya social services inayodili na mambo ya safeguarding za hayo makundi na promotion za welfare zao.
Kila kukicha mtu kachinja mke, watoto wanalawitia, mama sijui kanyan’ganywa mtoto, mimba za utotoni bado tatizo, marginalised group mahitaji yao ya msingi kupata utata, standardisation ya huduma za afya zina variation kituo kwa kituo; kila kitu ovyo.
Wanachojivunia ni kuongeza miundombinu na budget ya dawa, but that has nothing to do with outcome ya wizara nor tackling social issues.
The woman is just incompetent kuongoza hiyo wizara. Alipewa hiyo nafasi kwa sababu ata hao mamlaka ya uteuzi sidhani kama wanaelewa competent skills za kupambana na hizo changamoto nilizo taja hapo juu.
Kumuweka Ummy Mwalimu kwenye hiyo wizara ata akirudishwa ni dharau kwa hayo makundi ni sawa na kusema serikali aioni umuhimu wa kupunguza hizo changamoto.
Basically baraza la mawaziri lililopita mawaziri waliojitahidi kwa upande wangu walikuwa Jaffo, Biteko na kwa mbali Bashe (Hila huyu ni tatizo anafahamu vitu juu juu tu hiko siku mapendekezo yake yatawatokea puani) tayari washaona kwenye pamba upuuzi wake wa price floor serikali ilibidi ifanye u turn wenyewe nakurudi kwenye bei za soko.
Dona kantri hailalamiki ikinyimwa misaadaNa kula ruzuku yetu milioni 300 kila mwezi na kuishtaki serikali inyimwe mikopo WB
Dona kantri hailalamiki ikinyimwa misaadaNa kula ruzuku yetu milioni 300 kila mwezi na kuishtaki serikali inyimwe mikopo WB
Bila Dr.mpango na lukuvi hapo list yako haina maanaKama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...
1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili
PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji
AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi
These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
😂😂😂😂😂😂😂Usikute uko unabung'aa standby kuleee KIA ama JNIA. Njoo, ulimwengu uko huku!
"Tunduma, mpooo? Pipooz! Pipooz! Pipooz! Mwaka huu tutashinda, na lazima watutangaze! Tutashinda na Tume ya Uchaguzi hiihii. Wasipotutangaza, nitawaingiza wananchi barabarani." ~ Mr MzunguHao ndo wakushukuriwa.
Pamoja na NEC NA ZEC.
sio ballot box.
No polisi,no ccm.View attachment 1621232
In short, muhula huu TOCHI YA USTAWI, MAENDELEO & FANAKA INAWAKA MNG'AO WA ENEJI YA "NYUKI-WANALIA"!!!
Sana, kabla ya kuandika lolote inakupasa kufikiri, kufikia muafaka na kuwa tayari kwa madhara yatokanayo na andiko lako.Kumbe kutunza kumbu2 ni muhimu hivi?
Kama ndiyo hivi, siwashangai sana hawa vijana wa Mr Mzungu kupoteza kila kitu kwenye uchaguzi maana walimezeshwa ghiliba na hadaa za mwanasheria wao, mara "Liinchi gani, halina hata ndege moja!" Mara "Midege ya nini, sisi tunataka pesa mifukoni!" Kwa mtu azamaye majini, chochote kieleacho juu ya maji, hata mawimbi yenyewe, kwake huonekana nanga ya kujiokolea.Sana, kabla ya kuandika lolote inakupasa kufikiri, kufikia muafaka na kuwa tayari kwa madhara yatokanayo na andiko lako.
"Tunduma, mpooo? Pipooz! Pipooz! Pipooz! Mwaka huu tutashinda, na lazima watutangaze! Tutashinda na Tume ya Uchaguzi hiihii. Wasipotutangaza, nitawaingiza wananchi barabarani." ~ Mr Mzungu
"Ninyi kapigeni kura; halafu kazi ya kuzilinda niachieni mimi, sawa?" ~ GBL, Arusha Mjini.
IMPLICATION: Wapinzani wameshindwa Uchaguzi Mkuu KIHALALI.
Hizo credible stats utazitoa wapi wakati wizara yenyewe aihamasishi watu ku report domestic physical abuses sana matatizo yakitokea watu wanayamaliza kwa utamaduni wa vikao vya familia, matokeo yake unakuta binti anaishi kwenye abusive marriage mpaka siku mumewe atakapo mtoa uhai.Takwimu
Takwimu ziko wapi? (Speak with facts!)
Fred Lowassa viwanda na biasharaKama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake..
Kazi nzuri za JPM za ustawi, maendeleo na fanaka kwa wananchi ndiyo siri ya imani kubwa ya wananchi kwake na ushindi mnono. Hiyo ndiyo siri ya mafanikio yake makubwa. Sera mbovu na namna ya kuziwasilisha ndivyo vimewaangusheni vibaya. Msimtafute mchawi mwingine.Ndo mkaamua kuiba kura?
Spana na grease mtatumia sana,ngoma ni ileile hakuna jipyaSauti ya wanyonge itasikika, watumishi watawatendea haki kwa muda na viwango vinavyotakiwa
Mungu ambariki rais na wasaidizi wake wote, Mungu ibariki Tanzania[emoji120]