Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Mbona Bashite na Sabaya hatuwaoni kwenye listi ya hao mawaziri,Hawa ni muhimu kuwashughulikia wapinzani, wapinzani wamekwamisha maendeleo sababu walikuwa wanakusanya Kodi Leo Tz itaizidi Ulaya majimbo yote ni CCM tutegemee kuanza kula mara 4 kwa siku toka kuwa na uhakika wa mlo mmoja.
Na kula ruzuku yetu milioni 300 kila mwezi na kuishtaki serikali inyimwe mikopo WB
 
Acha utani wewe, wameshindwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru ije kuwa leo.

Watu wengine uwa mnajifariji sana.

Eti nchi itapaa nenda huko Sangakurunyese uone wananchi wanavyotaabika kwa mlo mmoja na shida kubwa ya Maji safi,Maradhi,Umaskini na Ujinga.
Sababu wapinzani walikuwa wanapinga maendeleo. Sasa basi!
 
Takwimu
Wizara aliyoongoza Ummy Mwalimu inaitwa afya, jinsia, wazee, walemavu na watoto.

Hiyo aspect ya ‘jinsia, wazee, walemavu na watoto’ ni sehemu ya social services inayodili na mambo ya safeguarding za hayo makundi na promotion za welfare zao.

Kila kukicha mtu kachinja mke, watoto wanalawitia, mama sijui kanyan’ganywa mtoto, mimba za utotoni bado tatizo, marginalised group mahitaji yao ya msingi kupata utata, standardisation ya huduma za afya zina variation kituo kwa kituo; kila kitu ovyo.

Wanachojivunia ni kuongeza miundombinu na budget ya dawa, but that has nothing to do with outcome ya wizara nor tackling social issues.

The woman is just incompetent kuongoza hiyo wizara. Alipewa hiyo nafasi kwa sababu ata hao mamlaka ya uteuzi sidhani kama wanaelewa competent skills za kupambana na hizo changamoto nilizo taja hapo juu.

Kumuweka Ummy Mwalimu kwenye hiyo wizara ata akirudishwa ni dharau kwa hayo makundi ni sawa na kusema serikali aioni umuhimu wa kupunguza hizo changamoto.

Basically baraza la mawaziri lililopita mawaziri waliojitahidi kwa upande wangu walikuwa Jaffo, Biteko na kwa mbali Bashe (Hila huyu ni tatizo anafahamu vitu juu juu tu hiko siku mapendekezo yake yatawatokea puani) tayari washaona kwenye pamba upuuzi wake wa price floor serikali ilibidi ifanye u turn wenyewe nakurudi kwenye bei za soko.
Takwimu ziko wapi? (Speak with facts!)
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
Bila Dr.mpango na lukuvi hapo list yako haina maana
 
SAASHISHA MAFUWE awepo kama naibu waziri kwa sababu kaangusha mbuyu Mbowe.
 
Hao ndo wakushukuriwa.
Pamoja na NEC NA ZEC.
sio ballot box.
No polisi,no ccm.View attachment 1621232
"Tunduma, mpooo? Pipooz! Pipooz! Pipooz! Mwaka huu tutashinda, na lazima watutangaze! Tutashinda na Tume ya Uchaguzi hiihii. Wasipotutangaza, nitawaingiza wananchi barabarani." ~ Mr Mzungu

"Ninyi kapigeni kura; halafu kazi ya kuzilinda niachieni mimi, sawa?"
~ GBL, Arusha Mjini.

IMPLICATION: Wapinzani wameshindwa Uchaguzi Mkuu KIHALALI.
 
In short, muhula huu TOCHI YA USTAWI, MAENDELEO & FANAKA INAWAKA MNG'AO WA ENEJI YA "NYUKI-WANALIA"!!!

Sauti ya wanyonge itasikika, watumishi watawatendea haki kwa muda na viwango vinavyotakiwa
Mungu ambariki rais na wasaidizi wake wote, Mungu ibariki Tanzania🙏
 
Sana, kabla ya kuandika lolote inakupasa kufikiri, kufikia muafaka na kuwa tayari kwa madhara yatokanayo na andiko lako.
Kama ndiyo hivi, siwashangai sana hawa vijana wa Mr Mzungu kupoteza kila kitu kwenye uchaguzi maana walimezeshwa ghiliba na hadaa za mwanasheria wao, mara "Liinchi gani, halina hata ndege moja!" Mara "Midege ya nini, sisi tunataka pesa mifukoni!" Kwa mtu azamaye majini, chochote kieleacho juu ya maji, hata mawimbi yenyewe, kwake huonekana nanga ya kujiokolea.
 
Ndo mkaamua kuiba kura?
"Tunduma, mpooo? Pipooz! Pipooz! Pipooz! Mwaka huu tutashinda, na lazima watutangaze! Tutashinda na Tume ya Uchaguzi hiihii. Wasipotutangaza, nitawaingiza wananchi barabarani." ~ Mr Mzungu

"Ninyi kapigeni kura; halafu kazi ya kuzilinda niachieni mimi, sawa?"
~ GBL, Arusha Mjini.

IMPLICATION: Wapinzani wameshindwa Uchaguzi Mkuu KIHALALI.
 
Hivi kwa standard za tume ya taifa au za kimataifa, kipengele kwa kipengele, uchaguzi ulikuwa wa haki? Watanzania wameona. Kuwa Kimya siyo kwamba kulikuwa na haki
 
Takwimu

Takwimu ziko wapi? (Speak with facts!)
Hizo credible stats utazitoa wapi wakati wizara yenyewe aihamasishi watu ku report domestic physical abuses sana matatizo yakitokea watu wanayamaliza kwa utamaduni wa vikao vya familia, matokeo yake unakuta binti anaishi kwenye abusive marriage mpaka siku mumewe atakapo mtoa uhai.

Kwenye hizo incidents chache zinazoripitiwa polisi udhani kama NBS wana utaratibu kukusanya data za domestic abuse cases kutoka polisi, wala hospitalini (hawa kwanza ata sijui kama wana utaratibu wa ku record stats watu wanaofika kwao kisa vipigo vya nyumbani na ku share hizo data na wizara ziwasaidie kwenye policy making ) hao ustawi wa jamii ndio kabisa sijui kama wanaushirikiano wowote NBS.

Kilichobaki ni observation tu za frequency ya domestic violence and other forms of abuse at the final end mtu keshauliwa, mtoto keshalawitiwa, bibi keshachinjwa; kibaya zaidi inaonyesha watu bado hawana woga. Source zingine za dat ni studies kama hizo za UN but the are at small scale they don’t provide the extent of the problem https://evaw-global-database.unwomen.org/en/countries/africa/united-republic-of-tanzania lakini takwimu za maana Tanzania zitokee wapi.

Ni hivi hiyo wizara Ummy Mwalimu sio size yake, she wouldn’t know where to start jinsi ya kupambana na hizo issues. Ni dharau kumrudisha kwenye hiyo wizara considering the frequency of abuse reported everyday on social media’s maana ata mainstream media awajali sana.

The whole thing is appalling.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake..
Fred Lowassa viwanda na biashara
 
Ndo mkaamua kuiba kura?
Kazi nzuri za JPM za ustawi, maendeleo na fanaka kwa wananchi ndiyo siri ya imani kubwa ya wananchi kwake na ushindi mnono. Hiyo ndiyo siri ya mafanikio yake makubwa. Sera mbovu na namna ya kuziwasilisha ndivyo vimewaangusheni vibaya. Msimtafute mchawi mwingine.
 
Sauti ya wanyonge itasikika, watumishi watawatendea haki kwa muda na viwango vinavyotakiwa
Mungu ambariki rais na wasaidizi wake wote, Mungu ibariki Tanzania[emoji120]
Spana na grease mtatumia sana,ngoma ni ileile hakuna jipya
 
Back
Top Bottom