Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

1. Jerry Muro atateuliwa ubunge na kuukwaa uwaziri!
2. Julius Mtatiro
3. Antony Mtaka
Spika atakua yule mwanamke. Acha Ndughai aendelee kujipendekeza Ila uspika atausikia kwenye redio
 
Kuna Mbunge fulani wa Nkenge akipewa hata unaibu Waziri atafaa sana,jamaa ni kichwa sana tokea huko kote alipotoka
 
Sioni umuhimu wa mawazili kwenye wizara nyingi bora hilo' fungu lipelekwe mikoani kuleta maendeleo moja kwa moja kwa usimamizi wa Raisi na waziri mkuu then ziundwe wizara 5 tu ndo zipewe mawaziri na wabunge kawakae majimboni na watu wao wajiletee maendeleo, sehemu za muhimu ni fedha, miundo, elimu na tamisemi hata afya abaki karibu peke yake.
 
Ngojeeni mkichaguliwa kuwa marais ndio mchague mawaziri wenu.
 
Sababu wapinzani walikuwa wanapinga maendeleo. Sasa basi!
Acha utani Mkuu vyama vingi vimeanza lini,mlikuwa madarakani tangu uhuru mpaka leo kwenye kampeni bado mnahubiri Barabara , Sijui Madawati mara Maji kweli ..?nenda Dodoma tu hapo kwa Ndugai uone umaskini wa wapiga kura wake ulivyotamalaki.
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake..

Kwa wabunge wa CCM waliopita, na ambao atawateua majembe ya kazi ni mengi mnoo. Ni yeye ndio ataamua nani na wakati gani awape wizara.
 
Acha utani Mkuu vyama vingi vimeanza lini,mlikuwa madarakani tangu uhuru mpaka leo kwenye kampeni bado mnahubiri Barabara , Sijui Madawati mara Maji kweli ..?nenda Dodoma tu hapo kwa Ndugai uone umaskini wa wapiga kura wake ulivyotamalaki.
Kamwe usichanganye habari ya zilipendwa na hii Tanzania mpya ya JPM. Ndiyo maana tuliwaambieni mapema kabla hata ya uchaguzi mjipange bcz yeye hana utani wala muwali, mkaishia kutubeza na kutuita misukule ya Lumumba baada ya kuhadaliwa na ile nyomi bandia ya kuediti. Huko unakozungumzia tumetoka kabisa, na wala hatutakaa tufikirie kurudi tena.

"You can take that to the bank," so says Mr Mzungu. JPM siyo sawa na Mzungu anayetuahidi maandamano kumbe alimaanisha kumsindikiza kwenda Ubalozini. Dkt. akiahidi anatekeleza VILIVYO, KIKAMILIFU, HARAKA & KWA KISHINDO!
 
Natumaini hivi karibuni Mhe. Rais atafanya uteuzi wa Mawaziri kuongoza Wizara mbalimbali. Nawapigia debe Wahe. Wabunge wafuatao:- (1) Mhe. William Lukuvi - Wizara ya Ardhi. (2) Dr. Philip Mpango - Wizara ya Fedha. (3) Mhe. Dotto Biteko - Wizara ya Nishati. (4) Prof. Muhongo - Wizara ya Madini. (5) Mhe. David Silinde - Waziri mdogo Wizara ya Fedha. (6) Dr. Kimei -Wizara ya Biashara. n.k.
 
Utabiri wako umefeli.

Ndugai na Tulia wamerudi kwenye nyadhifa zao zilezile. Majaliwa atatemwa uwaziri mkuu, lakini sijui kama atapewa wizara nyingine maana hii haitapendeza hata kidogo. Dalili zinaonyesha JPM anataka kumpa mtu mwingine uwaziri mkuu.

Hizo wizara nyingine kutakuwa na mabadiliko, ameshasema mwenyewe Magu.
 
1. Charles Kinei - Atapewa uwaziri Fedha/Mipango.
2. Mrisho Gambo - Atapewa wizara ya mambo ya ndani.
3. Hussein Bashe - Atapanda na kuwa waziri kamili Kilimo/Mifugo...
Majaliwa atakuwa backbencher safari hii. Kumbukeni mambo ya korosho na tishio la kupigiwa hadi shangazi zake. Haikuishia pale.
 
M-bet wangeichukua hii watu tukatengeneza mikeka ya baraza la mawaziri na odds za kutosha tukapiga mpunga[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom