Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

O
Umesahau kuwataja watu wafuatao:- 1. Kurwa Biteko
2. Doto James
3. Aliyeongoza Kura za naomi Jimbo la kawe
4. Mbunge wa jimbo la busanda mkoa wa geita
 
Ndoto hii. Magufuli will surprise all of you.

Anaweza hata akawachagua baadhi ya wapinzani kuwa wabunge na kuwapa Uwaziri😊
 
CCM hawana utaratibu wa kugawana vyeo mitandaoni kama upande ule mwingine ambao jamaa kabla hata ya matokeo kutangazwa akadai yeye ni waziri mkuu.
 
CCM hawana utaratibu wa kugawana vyeo mitandaoni kama upande ule mwingine ambao jamaa kabla hata ya matokeo kutangazwa akadai yeye ni waziri mkuu.
Tathmini ni tofauti na kugawa. Tunajua mwenye mamlaka ni Mh Rais na wasaidizi wake. Sisi tunachojaribu ni kuendana nq upepo unavyovuma
 
O

Umesahau kuwataja watu wafuatao:- 1. Kurwa Biteko
2. Doto James
3. Aliyeongoza Kura za naomi Jimbo la kawe
4. Mbunge wa jimbo la busanda mkoa wa geita
Hawa watapewa wizara gani mkuu?
 
Umeeleweka nasoma kichwa cha habari. Nimesema hii ni tamthimini yangu na sijamfunga yoyote kusema tofauti. Mh Rais yeye ndiyo atakayekuja kuitimisha haya yote kulingana na maono yake makuUmeeleweka
 
Tathmini ni tofauti na kugawa. Tunajua mwenye mamlaka ni Mh Rais na wasaidizi wake. Sisi tunachojaribu ni kuendana nq upepo unavyovuma
Haya nimekuelewa ,

Ila huo sio utaratibu wa Chama kugawana vyeo mitandaoni.
 
Namuona Mwana FA akiwa either waziri au naibu waziri wa michezo

Huku Yule jamaa aliyetoka CRDB kuwa waziri wa Fedha
 
Kufuatia matokeo ya uchaguzi mkuu ambapo asilimia 99 ya wabunge watakuwa wakitoka CCM basi, na pia kwa kuwa zipo sura mpya kabisa ambazo zimeingia bungeni kwa mara ya kwanza na nyingine kuendelea kukalia nafasi zao basi, huu uzi ni mahsusi kwa ajili ya kuwatambua wale ambao dalili zinaonyesha kuwa watakuwa sehemu ya baraza la mawaziri

Wafuatao ni top 10 ya wale ambao hawajawahi kuwa wabunge lakini kwa vyovyote wengi wao watakuwa sehemu ya baraza jipya la Mawaziri, wapo watakaokuwa mawaziri kamili na wengine manaibu

1. Charles Kimei
2. Prof. Adolf Mkenda
3. Prof. Kitila Mkumbo
4. Askofu Josephat Gwajima
5. Jerry Slaa
6. Mrisho Gambo
7. Fredy Lowassa
8. Shaashisha Mafuwe
9. Patrobas Katambi
10. Kirumbe Ng'enda

Lakini pia wapo wengine watakaoteuliwa kuwa wabunge na Mh, hivyo wana nafasi kubwa pia ya kuwa ndani ya baraza hilo!

Kwa hizo sura mpya, na maeneo ambayo pia waligombea ni wazi kabisa ni mkakati mahsusi wa kuwaingiza sehemu nyingine nyeti zaidi!

N.B: Ieleweke kuwa Mh, naye hatabiriki pengine anaweza akabadilisha upepo humo angani na akaendelea na lile baraza lake la awali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…