Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Tathmini yangu fupi kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri

Baada ya wanachi wa Tanzania kuchagua maendeleo ya kijani nchi nzima, kwa kuwapigia kura za kutosha wagombea wa CCM na kuufutilia mbali upinzani wa kupinga maendeleo ya nchi yetu. Wakati napitia matokea ya sehemu mbalimbali nikapata fikra pevu za kuangalia namna baraza la mawaziri litakavyokuwa. Hii ni tatmini yangu fupi kwa baraza jipya la mawaziri.

Waziri Mkuu
Kutakuwa na vita kubwa ya Uwaziri mkuu, Kassim Majaaliwa amefanya kazi kubwa sana ya kuufuta upinzani, pia amechangia kiasi kukubwa cha kupata hizi kura za kishindo. Naona atakuwa na upinzani mkubwa wa Dr Tulia, katika kuteuliwa kuwa waziri mkuu. Mwanamama huyu amekuwa na taswira nzuri mbele ya Mh Rais kwa kutekeleza yale ya kuwabana wapinzani wa kupinga maendeleo bungeni. Kura yangu ya Uwaziri Mkuu naona ikimuangukia Dr Tulia.

Waziri wa TAMISEMI
Mh Selemani Jaffo ataendelea na wadhifa wake. Hakika ameitendea vyema hii wizara toka akiwa naibu waziri na baadae kuwa Waziri kamili.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto.
Mh Ummy ataendelea na wadhifa wake, amekuwa taswira sahihi ya namna ya kuendesha wizara nyeti.

Wizara ya Fedha
Mh Doto Biteko atakuwa waziri kamili wa wizara hii, ili kuendeleza yale mazuri aliyofanya wakati akiwa waziri wa Madini

Wizara ya Uwekezaji
Mh Anjela Kairuki naona akirudi kuwa waziri wa wizara hii baada ya kuteuliwa katika zile nafasi kumi za Mh Rais

Wizara ya Viwanda
Mh Mpango atakuwa waziri wa wizara hii, ili litatikea ili kumpisha Doto Biteko katika wizara ya Fedha.

Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi
Mh William Lukuvi ataendelea kuwa waziri, japo naona kama karata anatakiwa kuzichanga vizuri

Wizari ya Utalii
Mh Dr Hamis Kingwangala ataendelea kuwa waziri

Wizara ya Kilimo
Namuona Mh Hussein Bashe akiwa waziri kamili wa wizara hii ya kilimo

Wizara ya Michezo
Mh Jokate Mwegelo atateuliwa kuwa mbunge na baadae kupewa wizara hii ya Michezo, Habari na Utamaduni. Hii inatokana na kazi yake nzuri na ya kutukuka akiwa kama Mkuu wa wilaya ya Kisarawe

Wizara ya Vijana,
Mh Mavunde ataendelea kuwa waziri kamili wa wizara hii ya kuawasaidia vijana

Wizara ya Utumishi wa Umma
Mh Jenista Mhagama atakuwa waziri wa wizara hii ili kuendelee kusimamia miongozo ya utumishi wa umma na kuboresha maslahi ya watumishi wa umma

Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Mh Luago Mpina atakabidhiwa wizara hii.

Wizara ya Nishati
Mh Medard Kalemani ataendele kusambaza umeme vijijini kwa kasi kubwa baada ya kuifanya kazi hiyo kwa mafanikio makubwa.

Spika wa Bunge
Kama Waziri mkuu atachagulia Mh Kassim Majaliwa, naona kabisa Mh Tulia atakuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bunge litahitajika kuwa na nguvu kwani naona kutakuwa na hoja nzito nzito zitakazotikisa Muungano wa Tanzania, ikiwa Zanzibar itakuwa chini ya ACT.

Wizara nyingine naomba muendele kupendekeza
sawa sheikh yahaya
 
Baada ya wanachi wa Tanzania kuchagua maendeleo ya kijani nchi nzima, kwa kuwapigia kura za kutosha wagombea wa CCM na kuufutilia mbali upinzani wa kupinga maendeleo ya nchi yetu. Wakati napitia matokea ya sehemu mbalimbali nikapata fikra pevu za kuangalia namna baraza la mawaziri litakavyokuwa. Hii ni tatmini yangu fupi kwa baraza jipya la mawaziri.

Waziri Mkuu
Kutakuwa na vita kubwa ya Uwaziri mkuu, Kassim Majaaliwa amefanya kazi kubwa sana ya kuufuta upinzani, pia amechangia kiasi kukubwa cha kupata hizi kura za kishindo. Naona atakuwa na upinzani mkubwa wa Dr Tulia, katika kuteuliwa kuwa waziri mkuu. Mwanamama huyu amekuwa na taswira nzuri mbele ya Mh Rais kwa kutekeleza yale ya kuwabana wapinzani wa kupinga maendeleo bungeni. Kura yangu ya Uwaziri Mkuu naona ikimuangukia Dr Tulia.

Waziri wa TAMISEMI
Mh Selemani Jaffo ataendelea na wadhifa wake. Hakika ameitendea vyema hii wizara toka akiwa naibu waziri na baadae kuwa Waziri kamili.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto.
Mh Ummy ataendelea na wadhifa wake, amekuwa taswira sahihi ya namna ya kuendesha wizara nyeti.

Wizara ya Fedha
Mh Doto Biteko atakuwa waziri kamili wa wizara hii, ili kuendeleza yale mazuri aliyofanya wakati akiwa waziri wa Madini

Wizara ya Uwekezaji
Mh Anjela Kairuki naona akirudi kuwa waziri wa wizara hii baada ya kuteuliwa katika zile nafasi kumi za Mh Rais

Wizara ya Viwanda
Mh Mpango atakuwa waziri wa wizara hii, ili litatikea ili kumpisha Doto Biteko katika wizara ya Fedha.

Wizara ya Ardhi na maendeleo ya Makazi
Mh William Lukuvi ataendelea kuwa waziri, japo naona kama karata anatakiwa kuzichanga vizuri

Wizari ya Utalii
Mh Dr Hamis Kingwangala ataendelea kuwa waziri

Wizara ya Kilimo
Namuona Mh Hussein Bashe akiwa waziri kamili wa wizara hii ya kilimo

Wizara ya Michezo
Mh Jokate Mwegelo atateuliwa kuwa mbunge na baadae kupewa wizara hii ya Michezo, Habari na Utamaduni. Hii inatokana na kazi yake nzuri na ya kutukuka akiwa kama Mkuu wa wilaya ya Kisarawe

Wizara ya Vijana,
Mh Mavunde ataendelea kuwa waziri kamili wa wizara hii ya kuawasaidia vijana

Wizara ya Utumishi wa Umma
Mh Jenista Mhagama atakuwa waziri wa wizara hii ili kuendelee kusimamia miongozo ya utumishi wa umma na kuboresha maslahi ya watumishi wa umma

Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Mh Luago Mpina atakabidhiwa wizara hii.

Wizara ya Nishati
Mh Medard Kalemani ataendele kusambaza umeme vijijini kwa kasi kubwa baada ya kuifanya kazi hiyo kwa mafanikio makubwa.

Spika wa Bunge
Kama Waziri mkuu atachagulia Mh Kassim Majaliwa, naona kabisa Mh Tulia atakuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bunge litahitajika kuwa na nguvu kwani naona kutakuwa na hoja nzito nzito zitakazotikisa Muungano wa Tanzania, ikiwa Zanzibar itakuwa chini ya ACT.

Wizara nyingine naomba muendele kupendekeza
WAZIRI MKUU SI FREEMAN AIKAEL MBOWE, ha ha ha nacheka huko naogopa.
 
Uwe unasoma kichwa cha habari. Nimesema hii ni tamthimini yangu na sijamfunga yoyote kusema tofauti. Mh Rais yeye ndiyo atakayekuja kuitimisha haya yote kulingana na maono yake makuu.
Acha uchochezi nani kakuuliza
 
Kama tunavyojua kuanzia leo ndio ukomo la Mawaziri. Kutokana na kuapishwa rasmi kwa Raia John Magufuli. Kinachofuata sasa ni Rais kuitisha bunge na kupeleka jina la Waziri Mkuu ambaye pasipo shaka naona Majaliwa Kassim atarudi.... Pamoja na kurudi Majaliwa, hawa watu watamsaidia sana Rais katika utendaji wake...

1. Ummy Mwalimu - abaki pale pale Afya
2. Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
5. Dr. Kalemani - abaki pale pale
6. Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
10. Dr. Kimei - Biashara au Naibu Fedha
11. Prof. Kitila Mkumbo - wizara ya Maji au Ujenzi
12. Jenista Mhagama - abaki pale pale
13. Prof. Mkenda - Maliasili

PREDICTION YA INGIZO JIPYA MANAIBU...
1. Mwambe (Masasi) former TIC DG
2. David Silinde
3. Kunambi - Former Director wa Dodoma Jiji

AMBAO WAMEFANYA KAZI KUBWA ILA UMEFIKA MUDA WA WA KUPUMNZISHWA, AS THEIR LEVEL IMEFIKA LIMIT
1. Bashungwa - Aliyekuwa Waziri wa vViwanda
2. Stela Manyanya - Aliyekuwa Naibu Viwanda
3. Juliana Shonza - Michezo
4. Kanyasu - Maliasili Naibu
5. Simar - aliyekuwa Naibu Mazingira
6. Kamwele - aliyekuwa wa Ujenzi

These will be a dream team 2020-2025!. hao niliobashiri ni wachapa kazi na wabunifu...
 
Futa wafuatao:-
2.Sagini (Butiama) - aende TAMISEMI
3. Prof. Ndalichako - abaki pale pale
4. Prof. Muhongo - aende Madini
Mwigulu - abaki pale pale
7. Bashe - apandishwe either Kilimo au Biashara au ujenzi
8. Kabudi - abaki pale pale
9. Zungu - abaki pale pale. Naibu wake awe Mrisho Gambo
ShonZa na bashungwa wapumzishwe kwa uzee upi walio nao , wamefanya kazi nzuri sana
 
Kumpa Kimei wizara ya fedha ni hatari sana kwa nchi hii.

Hawa jamaa wapo kimkakati sana,utaona wachaga wapo kila penye dili za hela na wanapata upendeleo sana.
Akiingia mtu mwingine vigezo vitaangaliwa hadi unatoka nje ya mchakato.

Wachaga hawafai kupewa nafasi kama hizo.
Acha upumbavu wewe bwege,tumia kichwa cha chini kufikiri,wivu ni kidonda
 
Back
Top Bottom