Tathmini yangu Simba Day vs APR

Tathmini yangu Simba Day vs APR

1.Kuwa na makipa 2 wa kigeni ni matumizi mabaya ya fedha, Ayoub Lakred apewe Thank You

2.Kevin Kijiri ameimudu sana nafasi ya kulia, Kapombe awe mvumilivu

3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito kama Mohamed Quattara

4.Fabrice Ngoma apewe Thank You, wachezaji wa viungo mafundi tunao wa kutosha

5.Awesu Awesu fundi sana wa mpira, sana tena

6.Edwin Balua ni Vicinious Junior Jr, hatari tupu huyu dogo

7.Jean Charles Ahoua aongeze kasi bado hajatufurahisha

8.Debora Mavambo ni fundi kweli kweli

9.Augustine Okajepha kiungo wa chini mkata umeme kwa wote wasiolipa bili

10.Joshula Mutale nimekubali ni SGR

11.Freddy Michael Funga Funga sina cha kusema

12.Steven Mukwala ni mshambuliaji hatari mno na amekamilika haswa.Kama sio kupania gemu ile leo j2 angekuwa talk of the town.

13.Timu tunayo, tunaweza kufungwa na Yanga kwa sababu mechi zile zinachezwa na viongozi lkn haiondoi ukweli kuwa tuna timu nzuri, wachezaji watiwe moyo, viongozi waongeze umoja, wasaliti waangamizwe, mashabiki watulie, hata roma haikujengwa kwa siku moja.

Simba nguvu moja
Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya.
 
Kama kweli wanafanya hivyo na wameendelea kuachwa basi viongozi watakuwa na akili kidogo. Haiwezekani wanatumia mamilioni kusajili na mshahara juu halafu mtu anakuja kuroga wenzie. Na haya malalamiko ni ya muda mrefu. Tuseme hawaamini kama uchawi upo?
Wewe unaamini uchawi upo?
 
Kama kweli wanafanya hivyo na wameendelea kuachwa basi viongozi watakuwa na akili kidogo. Haiwezekani wanatumia mamilioni kusajili na mshahara juu halafu mtu anakuja kuroga wenzie. Na haya malalamiko ni ya muda mrefu. Tuseme hawaamini kama uchawi upo?
Wewe mwenyewe umeandika 'kama kweli' halafu unawaita viongozi akili kidogo, viongozi wanaweza kujua vipi kuwa mchezaji Fulani anaroga? Hakuna mchezaji anaerogwa . Hao akina Kapombe watapigwa bench kama kawaida asipojirekebisha Kwa kupiga krosi anababatiza mtu na hakuna mtu atarogwa.
 
Ngoma kucheza kiungo cha chin kumemshinda abadilishiwe majukumu acheze hata namba tisa striker
 
1.Kuwa na makipa 2 wa kigeni ni matumizi mabaya ya fedha, Ayoub Lakred apewe Thank You

2.Kevin Kijiri ameimudu sana nafasi ya kulia, Kapombe awe mvumilivu

3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito kama Mohamed Quattara

4.Fabrice Ngoma apewe Thank You, wachezaji wa viungo mafundi tunao wa kutosha

5.Awesu Awesu fundi sana wa mpira, sana tena

6.Edwin Balua ni Vicinious Junior Jr, hatari tupu huyu dogo

7.Jean Charles Ahoua aongeze kasi bado hajatufurahisha

8.Debora Mavambo ni fundi kweli kweli

9.Augustine Okajepha kiungo wa chini mkata umeme kwa wote wasiolipa bili

10.Joshula Mutale nimekubali ni SGR

11.Freddy Michael Funga Funga sina cha kusema

12.Steven Mukwala ni mshambuliaji hatari mno na amekamilika haswa.Kama sio kupania gemu ile leo j2 angekuwa talk of the town.

13.Timu tunayo, tunaweza kufungwa na Yanga kwa sababu mechi zile zinachezwa na viongozi lkn haiondoi ukweli kuwa tuna timu nzuri, wachezaji watiwe moyo, viongozi waongeze umoja, wasaliti waangamizwe, mashabiki watulie, hata roma haikujengwa kwa siku moja.

Simba nguvu moja
Asilimia kubwa ya uliowataja ni wachezaji wa nje, wanakuja kupiga hela, kula dada zetu na kuondoka!

Tathmini yako nzuri, ila ingeishia na hitimisho kwamba timu zetu zinatakiwa (kwa lazima) ziwe na academy na zianzishe "academy day" ku encourage na ku celebrate local talent. Mfano kipa na orthodox no. 9 natinal team hakuna!
 
Kama kweli wanafanya hivyo na wameendelea kuachwa basi viongozi watakuwa na akili kidogo. Haiwezekani wanatumia mamilioni kusajili na mshahara juu halafu mtu anakuja kuroga wenzie. Na haya malalamiko ni ya muda mrefu. Tuseme hawaamini kama uchawi upo?
Mlikuwa mnamsingizia Boko, sasa Boko hayupo mnatafuta wa kumuangushia jumba bovu.

Kabla ya tarehe 8 mseme mapema Mangungu na Try again wanafaa au waondoke? Msisubiri matokeo ndio muanze kubweka.
 
Hapana, ngoma asipewe thank you, ngoma bado ana vitu vingi kiukweli, ngoma na debora wakicheza double pivot ni hatari, lakini changamoto simba haina namba 10 mnyumbulifu, mwenye jicho la pass ya mwisho, mwenye kuchezesha watu wote pale juu, yule jean charles inabidi abadilike aboreshe mapungufu yake.. La sivyo ni mchezaji wa kawaida, itabidi simba icheze 4-4-2, simba wacheze na double strikers, mkicheza na mfumo wa striker mmoja maana yake namba 10 ana kazi ya kushuka chini, kuunganisha timu, kuivuta juu, na kuwa hatari zaidi kwenye robo ya mpinzani, jean kakosa sifa hizi.
Ngoma aanzie bench, ni slow halaf anakaa na mpira team ikiwa iko on the move, umeana vile debrah na augustine wana overlap kwa speed, that how inatakiwa. Simba haihitaji kiungo slow na predictable
 
Back
Top Bottom