Tathmini yangu Simba Day vs APR

Tathmini yangu Simba Day vs APR

Mada yako ni nzuri sana tu. Maana inaongelea tathmini ya timu yako baada ya mechi. Udhaifu ni hapo mwishoni tu ulipo ihusisha Yanga na viongozi. Umeonesha dalili ya hofu iliyopitiliza.
Mukoko Tonombe juzi amekaririwa Wasafi Fm akisema inapofika mechi ya Simba vs Yanga viongozi wanawaambia mechi hiyo ni yao viongozi, wao wachezaji wa relax.Alikuwa anamaanisha nn? Mechi ya simba vs yanga ni ya ushirikina t hamna lolote labda umeingia leo kujua soka la bongo
 
Mutale anaonekana anavi-element vya usaidoo fulani hivi ambavyo vilituchosha...
1. Kung`ang`ania sana mpira
2. Kuangalia chini sana yaani hainui macho kuona wenzake walipo.
 
Uongozi wa simba tunaomba ile ADHABU YA KIBU ITENDEKE.hatulei maradhi
 
Kama tutamantain kukaa na hawa wachezaji kwa miaka at least miwili, timu ikashikana, tutakuwa na timu hatari sana si kwa Tanzania tu bali hata kwenye michuano ya kimataifa pia
Ni kweli wapewe muda kujenga timu. Inatakiwa wana simba mkubali hilo kupoteza mwaka huu kwa ajili ya misimu ijayo. Kuweni wapole tu.
 
13. Mzamiru ni mmoja wa wachezaji ambao wapo Simba kwa bahati na si uwezo.
14. Kelvin Kijiri ni kipimo sahihi cha umri wa Boka anayedai kuwa na miaka 20 hiyo tarehe 8.
15. Gamondi alifuta na kuchana NOTES na HINTS alizoandika KIPINDI CHA KWANZA baada ya FERNANDEZ na Okajepha kuingia.
 
13. Mzamiru ni mmoja wa wachezaji ambao wapo Simba kwa bahati na si uwezo.
14. Kelvin Kijiri ni kipimo sahihi cha umri wa Boka anayedai kuwa na miaka 20 hiyo tarehe 8.
15. Gamondi alifuta na kuchana NOTES na HINTS alizoandika KIPINDI CHA KWANZA baada ya FERANANDEZ na Okajepha kuingia.
Hamchelewi kuanza kusingizia Bahasha na kulaumiana mkila mkono wa nyani tena. Nyie jidanganyeni na jifarijini tu.
 
Simba wamefanya usajili mzuri, wajipe misimu miwili watatoboa.
 
Ngoma aanzie bench, ni slow halaf anakaa na mpira team ikiwa iko on the move, umeana vile debrah na augustine wana overlap kwa speed, that how inatakiwa. Simba haihitaji kiungo slow na predictable
Ngoma yupo slow kwenye nyanja ipi..

Hebu subiri tuone, ila kwangu ngoma ni bora, anapiga long passes, ana move with a ball, ana move without a ball. Anapiga pass za possession, anapiga pasi za kushambulia... Mzuri kwenye mipira ya juu, kuzuia na kufunga pia(ameshafunga magoli ya kichwa si chini ya ma3 hivi)
 
Back
Top Bottom