Tathmini yangu Simba Day vs APR

Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya.
 
Wewe unaamini uchawi upo?
 
Wewe mwenyewe umeandika 'kama kweli' halafu unawaita viongozi akili kidogo, viongozi wanaweza kujua vipi kuwa mchezaji Fulani anaroga? Hakuna mchezaji anaerogwa . Hao akina Kapombe watapigwa bench kama kawaida asipojirekebisha Kwa kupiga krosi anababatiza mtu na hakuna mtu atarogwa.
 
Ngoma kucheza kiungo cha chin kumemshinda abadilishiwe majukumu acheze hata namba tisa striker
 
Asilimia kubwa ya uliowataja ni wachezaji wa nje, wanakuja kupiga hela, kula dada zetu na kuondoka!

Tathmini yako nzuri, ila ingeishia na hitimisho kwamba timu zetu zinatakiwa (kwa lazima) ziwe na academy na zianzishe "academy day" ku encourage na ku celebrate local talent. Mfano kipa na orthodox no. 9 natinal team hakuna!
 
Mlikuwa mnamsingizia Boko, sasa Boko hayupo mnatafuta wa kumuangushia jumba bovu.

Kabla ya tarehe 8 mseme mapema Mangungu na Try again wanafaa au waondoke? Msisubiri matokeo ndio muanze kubweka.
 
Ngoma aanzie bench, ni slow halaf anakaa na mpira team ikiwa iko on the move, umeana vile debrah na augustine wana overlap kwa speed, that how inatakiwa. Simba haihitaji kiungo slow na predictable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…