Tatizo bday ya nillan vinywaji viliisha mapema

Tatizo bday ya nillan vinywaji viliisha mapema

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
34dd000000ca18f156704037165f44ba.jpg
15d2d0e048efadfaf70f8a077b42eaa4.jpg
e414bb53ef9c6cc4f6bedd44d23f7718.jpg

Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.
 
Ni nani kwenye hii tanzania ya viwonder?
 
34dd000000ca18f156704037165f44ba.jpg
15d2d0e048efadfaf70f8a077b42eaa4.jpg
e414bb53ef9c6cc4f6bedd44d23f7718.jpg

Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.


Kwani ilikua birthday ya mtoto au harusi?
 
Yani diamond na zari mambo yao yako Off set wakati mwingine[emoji23][emoji23]..
sasa kisa cha kufufua birthday kipo wapi? au ndio yale madongo ya mke mwenza...na kubuma kwa white party kwahiyo wameamua kuja kushow off south[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hawa watu wajitambue sasa kuwa wanazidi kuchokwa
 
Yani diamond na zari mambo yao yako Off set wakati mwingine[emoji23][emoji23]..
sasa kisa cha kufufua birthday kipo wapi? au ndio yale madongo ya mke mwenza...na kubuma kwa white party kwahiyo wameamua kuja kushow off south[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hawa watu wajitambue sasa kuwa wanazidi kuchokwa

Duh itakua nimezeeka ila nalazimisha kua kijana,samahani unamaanisha nini kusema "wamefufua b'day ya mtoto wao"
 
Yani diamond na zari mambo yao yako Off set wakati mwingine[emoji23][emoji23]..
sasa kisa cha kufufua birthday kipo wapi? au ndio yale madongo ya mke mwenza...na kubuma kwa white party kwahiyo wameamua kuja kushow off south[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hawa watu wajitambue sasa kuwa wanazidi kuchokwa


Yaani watu wafanye mambo yao nyumbani kwao wewe uwachoke? Kwanini usitafute kazi ya kufanya?
 
Uliona ni busara BDay ya mtoto, watu walewe tilalila tena mchana kweupe...!?
 
Yani diamond na zari mambo yao yako Off set wakati mwingine[emoji23][emoji23]..
sasa kisa cha kufufua birthday kipo wapi? au ndio yale madongo ya mke mwenza...na kubuma kwa white party kwahiyo wameamua kuja kushow off south[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hawa watu wajitambue sasa kuwa wanazidi kuchokwa
Wanaendeleza white party baada ya Mobeto kumfrustrate Bi.Zari ndani ya Uganda alipozaliwa.
 
Yani diamond na zari mambo yao yako Off set wakati mwingine[emoji23][emoji23]..
sasa kisa cha kufufua birthday kipo wapi? au ndio yale madongo ya mke mwenza...na kubuma kwa white party kwahiyo wameamua kuja kushow off south[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hawa watu wajitambue sasa kuwa wanazidi kuchokwa
Yaani kabisa unaamini kwamba Zari White Party ilibuma?! Btw, how unadai "wamefufua" birthday eti kwa ajili ya Hamisa wakati Zari mwenyewe alishawahi kuelezea suala la ku-postpone birthday about 10 days b4 Zari White Party!
Screenshot_2017-12-25-13-59-52.png
 
Tatizo unawafuatilia, wakiandika kitu chochote kwenye social media nani anakulazimisha kusoma?
Siwezi kuacha kusoma vitu vinavyo pop up kwenye suggest list na siwezi kuacha kutumia social networks kisa watu fulani Penye ukweli tunasema
Tatizo unawafuatilia, wakiandika kitu chochote kwenye social media nani anakulazimisha kusoma?
 
Back
Top Bottom