Tatizo common kwenye engine za BMW

Tatizo common kwenye engine za BMW

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW.

Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii…

"Achana na hizo gari zinachemsha sana"

Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana siyo kitu cha ajabu ukitembea hapa mjini ukakutana na BMW mtu amepaki pembeni ya barabara na akafungua Bonet.

Na kama zingekuwa nyingi hapa mjini kama toyota basi hicho kitu watu wangekiexperience sana.

Kama mimi mtu akiniomba ushauri anataka kununua BMW used nitamshauri kitu kimoja tu abadilishe water pump.

Engine nyingi BMW zinakuja na Water pump za Umeme. Na watu wengi ambao BMW zinawachemshia sababu kwa asilimia nyingi huwa ni hiyo water pump kuchoka.

images (1).jpeg


Around 120,000Km badili water pump. Japo ni gharama lakini utatembelea sana kabla ya kubadili tena.

Siyo kitu cha ajabu hata kutoa milioni kununua hiyo pump.
 
Yeah kwa mfano kwenye 3 series, kuanzia generation ya E46 kurudi nyuma walikua wanatumia mechanical water pump ila kuanzia E90 wakaanza na electric.

Aisee ni kichomi. Hii kitu utalia na utakonda kilo 100. Na mbaya zaidi haioneshi dalili zozote inazima tu kama Infinix ya kichina.

Pia ukibadirisha pump badirisha na thermostart.
 
Yeah kwa mfano kwenye 3 series, kuanzia generation ya E46 kurudi nyuma walikua wanatumia mechanical water pump ila kuanzia E90 wakaanza na electric.
...

Yes umeongeza kitu hapo BMW nyingi ambazo matoleo yake yameanza baada ya 2000 zina electric water pump.

Yeah na ishu ya thermostat niliisahau.
 
Yeah kwa mfano kwenye 3 series, kuanzia generation ya E46 kurudi nyuma walikua wanatumia mechanical water pump ila kuanzia E90 wakaanza na electric.

Aisee ni kichomi. Hii kitu utalia na utakonda kilo 100. Na mbaya zaidi haioneshi dalili zozote inazima tu kama Infinix ya kichina.

Pia ukibadirisha pump badirisha na thermostart.
Allu anakupa hi😎 usivunge
 
Kuna tatizo moja common kwenye engine za BMW.

Kama ukiomba ushauri kwa mtu ambaye amecome across na hizo gari wengi moja ya sababu ambayo atakupa kama sababu ya wewe kuacha kununua hilo gari ni hii…

"Achana na hizo gari zinachemsha sana"

Ni kweli kabisa gari za BMW zinachemsha, Ndio maana siyo kitu cha ajabu ukitembea hapa mjini ukakutana na BMW mtu amepaki pembeni ya barabara na akafungua Bonet.

Na kama zingekuwa nyingi hapa mjini kama toyota basi hicho kitu watu wangekiexperience sana.

Kama mimi mtu akiniomba ushauri anataka kununua BMW used nitamshauri kitu kimoja tu abadilishe water pump.

Engine nyingi BMW zinakuja na Water pump za Umeme. Na watu wengi ambao BMW zinawachemshia sababu kwa asilimia nyingi huwa ni hiyo water pump kuchoka.

View attachment 2100108

Around 120,000Km badili water pump. Japo ni gharama lakini utatembelea sana kabla ya kubadili tena.

Siyo kitu cha ajabu hata kutoa milioni kununua hiyo pump.
Umeanzisha vita na Wajerumani weusi...
Wakikupiga me sipo..[emoji2960][emoji2960]
 
Bimmer za zamani zina mechanical kama alivyosema mdau.. Wakaona sio efficient..!
Ila hili sio tatizo.. Inatakiwa mmiliki ufahamu kuwa pump inahitaji replacement baada ya muda fulani.. Sio lazima usubirie signs..kama timing belt/chain..!
Sio Bimmer tuu.. Kila gari pump yake ina umbali kadhaa kabla ya kuchoka..!

Electric water pump zina faida nyingi kulinganisha na kufeli kwake..
Mechanical pump zinapunguza hp itakayofika kwenye matairi.. Sababu zinakuwa belt driven na engine.. Zinaconsume power ya engine..
Mechanical Pump inaweza isifeli.. Ila belt ikikatika kwisha kazi..! Tofauti na electric inayotegemea battery..
Mwisho kabisa.. Electric ipo efficient kwenye cooling ya engine.. Mfano ukiwa kwenye high speed.. Pump itafanya kazi kidogo sababu hewa nyingi inaingia.. Unlike mechanical ambayo ipo connected na mzunguko wa engine.. Itazunguka kwa kasi zaidi wakati hakuna ulazima huo..!
 
Bimmer za zamani zina mechanical kama alivyosema mdau.. Wakaona sio efficient..!
Ila hili sio tatizo.. Inatakiwa mmiliki ufahamu kuwa pump inahitaji replacement baada ya muda fulani.. Sio lazima usubirie signs..kama timing belt/chain..!
Sio Bimmer tuu.. Kila gari pump yake ina umbali kadhaa kabla ya kuchoka..!

Electrical water pump zina faida nyingi kulinganisha na kufeli kwake..
Mechanical pump zinapunguza hp itakayofika kwenye matairi.. Sababu zinakuwa belt driven na engine.. Zinaconsume power ya engine..
Mechanical Pump inaweza isifeli.. Ila belt ikikatika kwisha kazi..! Tofauti na electrical inayotegemea battery..
Mwisho kabisa.. Electrical ipo efficient kwenye cooling ya engine.. Mfano ukiwa kwenye high speed.. Pump itafanya kazi kidogo sababu hewa nyingi inaingia.. Unlike mechanical ambayo ipo connected na mzunguko wa engine.. Itazunguka kwa kasi zaidi wakati hakuna ulazima huo..!
Ndo hivyo mkuu watu wanapaki hizo E60 na kuendelea ila 2JZ haina hayo mambo kabisa...ni mwendo wa kibati tuu...😂😂😂😂
 
Ndo hivyo mkuu watu wanapaki hizo E60 na kuendelea ila 2JZ haina hayo mambo kabisa...ni mwendo wa kibati tuu...😂😂😂😂
2JZ haibadilishwi water pump..!!?
Hizo engines zipo recommended kubadilisha water pump kwenye kila timing belt change..!

Tofauti ni muda wa kubalisha tuu.. Ila eventually water pump ya kila gari itafail tuu..!
 
Back
Top Bottom