Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
acha baki baki kwanza, nakatoto kapyaa akitoka mapema asije vuruga mawimbiIla we jamaa bwana kweli umeshindwa mtoa mtoto wa watu jela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha baki baki kwanza, nakatoto kapyaa akitoka mapema asije vuruga mawimbiIla we jamaa bwana kweli umeshindwa mtoa mtoto wa watu jela.
Haitosumbua mambo ya kuchemsha sababu ndio ugonjwa mkubwa....kwahiyo ukinunua used BMW cha kwanza ng'oa hizo weka mpyaa gari haitosumbua
Usumbufu gani huo mwingine huo bwasheeee 😀😀😀😀😀.. gari naona ni BenzHaitosumbua mambo ya kuchemsha sababu ndio ugonjwa mkubwa....
Usumbufu mwingine kama ulikuwepo utaendelea kupambana nao kama kawaida.
Dunia kijiji bhana...Wakiambiwa wanadai Dunia kijiji
Umeanzisha vita na Wajerumani weusi...
Wakikupiga me sipo..[emoji2960][emoji2960]
Benz inatufaa Wanyonge?Usumbufu gani huo mwingine huo bwasheeee 😀😀😀😀😀.. gari naona ni Benz
Bimmer za zamani zina mechanical kama alivyosema mdau.. Wakaona sio efficient..! Ila hili sio tatizo.. Inatakiwa mmiliki ufahamu kuwa pump inahitaji replacement baada ya muda fulani.. Sio lazima usubirie signs..kama timing belt/chain..!
Sio Bimmer tuu.. Kila gari pump yake ina umbali kadhaa kabla ya kuchoka...
Hahahahahaha lazma wawashe na hazard kusindikiza mapigo
Shida inaanzia hapo.Wabongo hatuna mazoea na kitu inaitwa mandatory service...
sanaa benz za wanyongee huoni zilivyojaaa humu. mjini kuliko crownBenz inatufaa Wanyonge?
Tabu zote hizo za nini ?
Haya magereza ya ufahari yanawatesa sana waTz.
katoka huko mkuuu kuja kujazia nyama 😀😀Hizi ndio story wajapan mnapenda.
Uko sahihi.2JZ haibadilishwi water pump..!!?
Hizo engines zipo recommended kubadilisha water pump kwenye kila timing belt change..!
Tofauti ni muda wa kubalisha tuu.. Ila eventually water pump ya kila gari itafail tuu..!
Usumbufu gani huo mwingine huo bwasheeee 😀😀😀😀😀.. gari naona ni Benz
Kuna siku nilienda kukopa taasisis flani binafsi ya mikopo na gari flani ya Europe.. 😀😀😀 wakanipa mdada aje kuni access tukatumia gari.. mtoto kuingia hoi 😁😁 kanaanza kusema toka nimezaliwa ndio leo nimepanda gari hii... alafu mie nipo cool tu kama mtu wa maana... kulikuwa na bonge la movie 😎😎😎.. aache kufanisha mikangafu na gariNi magereza ya ufahari kweli. Ila watu wana reason kuyanunua. Kuna kitu extra wanapata kuliko kutoka point A kwenda point B
sasa hivi utapa experience zake sio kwa kuzagaa kwa C200 kompressor.. kushinda crown.. hazipiti gari kumi bila kompressor kuwepo 😀😀Ndo maana nikasema usumbufu mwingine kama ulikuwepo.
Ila anyway Benz sijasikiasikia sana story zake. Labda wenye experience watupe mrejesho.
Kuwa specific, Range Rover na Jaguar zote zinatumia BMW engine, hata hii Range Rover ya sasa hivi new Model inatumia BMW engine, Rolls Royce pia inatumia BMW engines, Mini zinatumia BMW engines, sasa hilo tatizo common kwa engine ipi ya BMW ? BMW wanaunda engines aina mbali mbali, kusema tu kwamba hili ni tatizo common kwa BMW engines haitoshi, ulipaswa useme Engine x y z ya BMW ina tatizo hili!
Mambo kama haya hayampiti kirahisi.katoka huko mkuuu kuja kujazia nyama 😀😀