James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Shida Ina weza kuwa hapa lakini uwe imara usivutwe na nyakati zilipita. Pambana kiroho pia. Maombezi ktk makanisa ni bure. Haitakukost pesa kuamini Mungu anaweza huku ukiendelea na taratibu za kitabibu.Asante, tupo vizuri japo uchumi sometimes unakuwa na shida vita vinatokea,sasa hapo sijui ni vizuri au vibaya? kwetu hakuna shida ila kwa mama sijui si unajua wanafichaga japo nimechunguza kama kuna bibi yao mzaa mama alikuwa na shida kama hiyo na alishapotea porini ninavyosikia
Pole sana.