Za jioni naomba kuuliza tatizo la gari inapofika kwenye mlima mshale wa spidi haupandi kuzidi namba 2
Pale ila ikifka tambalale unatembea kawaida
Na matumizi ya mafuta yameongezeka kwa hizi siku mbili baada ya ili tatizo kutokea
Gari ni carina si
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ila ikifka tambalale unatembea kawaida
Na matumizi ya mafuta yameongezeka kwa hizi siku mbili baada ya ili tatizo kutokea
Gari ni carina si
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app