Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Ulikuwepo wakati ligiWatoto wa umiseta na umitashumta walipaswa kuwemo kwenye bajeti za TFF na wizara ya michezo, japo kwa kupelekewa walimu wa mpira. Wachezaji 12 wa kigeni kwenye timu ni upuuzi usiokuwa na kubishana.
Ina wachezaji wa 3 wa kigeni? Watano ? Saba?
Kumi?
Uliona kuna mafanikio yoyote tulipata?
As taifa au hata Club.