Hakuna hata mpinzani mmoja anayeweza kukaza na msimamo akipewa mlungula,
Si Ajabu hata huyo mwenyekiti wa Kudumu anakula meza moja na watawala nyie mnahangaika na keyboard
Nani angeamini kama Mdee angekua msaliti?
Nani angeamini kama Waitara angesaliti?
Kipindi cha JPM nadhani mliona wanasiasa wa upinzani walivyokua wananunulika kama bidhaa,
Hakuna mwanasiasa wa upinzani mwenye msimamo ni njaa tu zinasumbua, hata hao wanaoongea saiv ni sababu hawawekewa dau mezani,
Mnafikiri Lema angeashinda ubunge angeugomea?
Sasa hivi ukiona mtu yuko upinzani na hana hela msimpe kula huyi njaa tu ndo zimemuweka huko
Nadhani mlimuona Elia F Maiko wa kakonko yeye alikua mwanachadema kindakindaki na aliaminiwa sana lakini Serikali ya jiwe ilimuhonga utendahi wa kijiji akahamia na CCM,
Siamini leo hii Halima mdee alivyokua anapambana kuibiwa kura Kawe Leo hii ndo kawa msaliti namna hii kisa vipande vya shilingi?
Hakuna upinzani Bongo hata hao akina heche ni vile tu hawajapata Ofa
Huyo Lema sasa hivi kawa Mtabiri wa vifo vya viongozi huku akiwa ughaibuni, mmeahajiuliza kwann alikimbia? kama angekua ni mpinzani halisi kwanini asingekaa hapa tukaendeleza mapambano kama wenzake akina Boby Wine?
Alikimbia nchi kwasababu anamadeni mengi alikopa sana kwenye mabenki akitegemea ubunge, sasaivi harakati anaendeshea twiter
Naomba niishie hapo,
Hakuna chama cha upinzani kitatupa ukombozi labda tuamue wenyewe wananchi
Acheni kujisumbua, tupige kazi wajomba
Si Ajabu hata huyo mwenyekiti wa Kudumu anakula meza moja na watawala nyie mnahangaika na keyboard
Nani angeamini kama Mdee angekua msaliti?
Nani angeamini kama Waitara angesaliti?
Kipindi cha JPM nadhani mliona wanasiasa wa upinzani walivyokua wananunulika kama bidhaa,
Hakuna mwanasiasa wa upinzani mwenye msimamo ni njaa tu zinasumbua, hata hao wanaoongea saiv ni sababu hawawekewa dau mezani,
Mnafikiri Lema angeashinda ubunge angeugomea?
Sasa hivi ukiona mtu yuko upinzani na hana hela msimpe kula huyi njaa tu ndo zimemuweka huko
Nadhani mlimuona Elia F Maiko wa kakonko yeye alikua mwanachadema kindakindaki na aliaminiwa sana lakini Serikali ya jiwe ilimuhonga utendahi wa kijiji akahamia na CCM,
Siamini leo hii Halima mdee alivyokua anapambana kuibiwa kura Kawe Leo hii ndo kawa msaliti namna hii kisa vipande vya shilingi?
Hakuna upinzani Bongo hata hao akina heche ni vile tu hawajapata Ofa
Huyo Lema sasa hivi kawa Mtabiri wa vifo vya viongozi huku akiwa ughaibuni, mmeahajiuliza kwann alikimbia? kama angekua ni mpinzani halisi kwanini asingekaa hapa tukaendeleza mapambano kama wenzake akina Boby Wine?
Alikimbia nchi kwasababu anamadeni mengi alikopa sana kwenye mabenki akitegemea ubunge, sasaivi harakati anaendeshea twiter
Naomba niishie hapo,
Hakuna chama cha upinzani kitatupa ukombozi labda tuamue wenyewe wananchi
Acheni kujisumbua, tupige kazi wajomba