Tatizo kwenye Chrome

mr man city

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
467
Reaction score
319
Kwema wakuu!

Kuna hili tatizo nalipata kwenye chrome. Huwa kuna muda kuna kitu kina-jidownload lakini niki click kwenye download ili nikistop hakionekani.

Niki-Click kama nataka ku-exit chrome ndio inaandika "download is in progress" hapo ndio na exit ili isiendelee kumaliza mb zangu.

Ila niki open tena chrome hicho kitu bado kinajitokeza.

Huwa nakigundua pale ninapoona kwenye icon ya chrome kwa chini kuna kamstari ka kijani kanapita. Hapo najua imeanza tena kuzingua.
Nimejaribu ku-uninstal na ku-instal upya chrome lakini wapi.

Tusaidiane kidogo wakuu kwenye hili. CHROME ni ya kwenye pc sio simu.

 
Nenda kwenye vile vidoti vitatu juu kulia bonyeza halafu screenshot weka hapa. Uliweka crack au software yeyote iliokutaka kuzma Anti-Virus wakat wa ku install?
 
Nenda kwenye vile vidoti vitatu juu kulia bonyeza halafu screenshot weka hapa. Uliweka crack au software yeyote iliokutaka kuzma Anti-Virus wakat wa ku install?
Mimi sio mtaalamu sana wa computer. Ila anti virus niliyopewa ni smadav tu. Ndio ipo.je natakiwa kui uninstall?
 

Attachments

  • IMG20220524013325.jpg
    957.4 KB · Views: 10
Pole sana hiyo version mpya inazingua sana, hapo inakuwa inacheck new update..

Cha kufanya download offline setup version ya chini (mi nimeinstall version 98), kwahiyo chagua 98 mpka 100..
Ukishainstall nenda local disc c then tafuta folder la chrome, ingia utakuta setup ya update , utarename kwa kuongeza namba ili kuzuia updates, ukiacha hivyo hivyo itajiupdate na utarud kwenye tatizo lile.
 
Sawa mkuu..ngoja nilifanyie kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…