Tatizo kwenye kununua umeme

Tatizo kwenye kununua umeme

Cpp

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
1,199
Reaction score
2,403
Wanajamii umeme unagoma kununulika kwa tigopesa/mpesa, kama kuna njia mbadala tujuzane kulala na kiza kimeo
 
Kwani jana si walitoa taarifa kabsa ,mnunue umeme mapema wana marekebisho kwenye mfumo wa ununuaji
 
Kwani jana si walitoa taarifa kabsa ,mnunue umeme mapema wana marekebisho kwenye mfumo wa ununuaji
Binafsi sikibahatika kulipata tangazo. Wamesema marekebisho hayo yanachukua muda gani? Yani lini tutaweza kununua umeme bila shida?
 
Binafsi sikibahatika kulipata tangazo. Wamesema marekebisho hayo yanachukua muda gani? Yani lini tutaweza kununua umeme bila shida?
Cheki
IMG-20220606-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom